Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
SahihiHenessy ni Gongo tena asili yake ni Gongo la Mwafrika!
Grant Whiskey ni Gongo pia
Gongo ni Spirit
Tofauti ni nani anatengeneza Gongo hiyo.
Naunga mkono hoja mara 1000%
Wale wanaodai hoja ya Msukuma imesukumwa na kutokuwa na Elimu ya Mzungu wajitathmini.
Cc. Nangu NyauSioni hoja hapo zaidi ya ule ule upumbavu.
Yeye Msukuma kwanini asianzishe kiwanda na kuboresha hiyo Gongo halafu TBS waipitishe aiingize kwenye soko la ushindani pamoja na kutoa ajira.
Bunge limekuwa kijiwe cha porojo na vitu visivyokuwa na fact, huku mtaani tunaita oyaoya..
Ndo nani?Nakutumia dedication song mbosso_ huyo hapo..
π€π€π€ππππ
MkuuWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Hao Wenye Hizo elimu ndiyo walioliingiza taifa kwenye mikataba ya hovyoWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Kwani wa chuo kikuu hawajui pombe na hawali mbususu au wameokokaWakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Mimi mpaka chuo kikuu sijawai kunywa POMBEKwani wa chuo kikuu hawajui pombe na hawali mbususu au wameokoka
HongeraMimi mpaka chuo kikuu sijawai kunywa POMBE
KwemaUpo kaka....kwema...
100%, hii inaonyesha jinsi tulivyokuwa na fursa ila kwa ujinga au kutokujua tunajiwekea visheria vya kutuumiza wenyewe, soko lipo sana ndio maana tunaagiza pombe nyingi sana kutoka nje, ukiangalia investments za distillers wala sio kubwa sana, tuamke wote wananchi na serikali hii sekta inaweza kutengeneza ajira nyingi sana na utajiri mkubwa kwa wananchiNi kweli, vilevile Gongo hiyohiyo ndiyo imewafanya wengine kuwa mabilionea.
Hakuna chechote Kibaya na Gongo zaidi ya Monopoly ya Wenye viwanda vya Kutengeneza Gongo....kuna tofauti
Tatizo kubwa ni vipimo tu vya pombe.
Tanzania tuna mabilionea waliolala(wamelazwa makusudi) na wakipewa nafasi na kuwezeshwa hawana tofauti na mabilionea wa Ulaya na Kwingine mfano....Wamiliki wa Distillers wakubwa Ulaya au hata mabilionea ya aina ya Kina Hilton wa Mahoteli n.k Tupo nao ila tunajidharau kwa sababu-hii inasikitisha- kwa sababu elimu tunayopata inatufundisha iwe hivyo.
Ninasema kwa Uhakika. Miaka ya nyuma nilibahatika kufanya Uchambuzi wa Mifumo, na kubuni mfumo wa Mtandao, katika kupumzika nilipelekwa katika moja ya small business (distillery and Bar)ya ndugu yake niliyemfanyia Uchambuzi, Aisee nyie acheni tu, nilimuuliza kuanzia mtaji mpaka sheria wanazotumia, Kifupi Tunaweza- tukiondoa rushwa wanayopata Serikali zetu Afrika(siyo rushwa halisi) bali ahadi ya mapato ya kodi itokanayo na Viwanda hivyo, please keep in mind "Manipulation"+ "Monopoly" na kuondoa sheria wanazoziita 'sio rafiki" na kuweka sheria zinazodumaza ubunifu wetu na kukandamiza kabisa tamaduni zetu Mfano zile zinazohusu Standardisation na hata zile za Kuoana(harmonisation) kwa Copyright and Trademark laws baina yetu na huko. Sasa mpaka ufike muda wa kuwa at par...washachota za kutosha washa ji establish....suffice to say Monopoly inatamalaki!100%, hii inaonyesha jinsi tulivyokuwa na fursa ila kwa ujinga au kutokujua tunajiwekea visheria vya kutuumiza wenyewe, soko lipo sana ndio maana tunaagiza pombe nyingi sana kutoka nje, ukiangalia investments za distillers wala sio kubwa sana, tuamke wote wananchi na serikali hii sekta inaweza kutengeneza ajira nyingi sana na utajiri mkubwa kwa wananchi
ππππππNimecheka kama mazur
Mtoa hoja ni Dokta wa heshima..Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu
Haahaaa,ππππππ
We acha tu, halafu huku kwetu wanatuletea za kuleta na Please Hate and Dis your mbunges. Wakati kwao Ulaya huko- kisheria, lazima miswada iwasilishwe kwa lugha na maneno yanaowezwa kusomwa na kueleweka na Primary school student. Ahhhh ππ
Ume elezea vyema sana mkuuNinasema kwa Uhakika. Miaka ya nyuma nilibahatika kufanya Uchambuzi wa Mifumo, na kubuni mfumo wa Mtandao, katika kupumzika nilipelekwa katika moja ya small business (distillery and Bar)ya ndugu yake niliyemfanyia Uchambuzi, Aisee nyie acheni tu, nilimuuliza kuanzia mtaji mpaka sheria wanazotumia, Kifupi Tunaweza- tukiondoa rushwa wanayopata Serikali zetu Afrika(siyo rushwa halisi) bali ahadi ya mapato ya kodi itokanayo na Viwanda hivyo, please keep in mind "Manipulation"+ "Monopoly" na kuondoa sheria wanazoziita 'sio rafiki" na kuweka sheria zinazodumaza ubunifu wetu na kukandamiza kabisa tamaduni zetu Mfano zile zinazohusu Standardisation na hata zile za Kuoana(harmonisation) kwa Copyright and Trademark laws baina yetu na huko. Sasa mpaka ufike muda wa kuwa at par...washachota za kutosha washa ji establish....suffice to say Monopoly inatamalaki!
Ndio maana hili neno "Tunaweza" linawakwaza sana aisee!
Fursa zipo, mitaji ipo Ubunifu upo ni Nia na Dhamira thabiti ndio inahitajika.
Nipo gado...Kwema
Amekosea nini hapo?Wakati umefika ili kuwa mbunge lazima uwe na elimu ya chuo kikuu