Mimi ndiye niliyefanya soda iuzwe shilingi 500 badala ya shilingi 600

Fanya utatue Na changamoto hii mpya ya mabinti kutorudisha chupa
 
Shukran Kwa mchango wako kwa wanyonge!
 
MBR au MDR??Yaani kuandika tu hujui sijui ulimshawishi vipi Avinash Jha hadi akakuelewa na jamaa ake Kavindra

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Tusaidie pia Kupendekeza Job Ndugai arejeshwe kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Tena ulitukosea saana,ungefanya iuzwe elfu nane (8000 kwa chupa)ile mi kemikali sio poa,watu wanatakawa washindwe kuinunua?
 
Mkuu hongera sana. Sasa Fanya mpango ukafanye kazi kwenye viwanda vya nondo na mabati aisee
 

tunaomba na tozo
 
Hongera. Huo ndio muda Pepsi ilianza kuuza kuliko Coca na mpaka leo Pepsi inapendwa sana.
 
Ulitumia njia zipi kuwashawishi mpaka kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…