Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
Labda pombe ime kukomaza🤭Nikitulia hâta bar
Wasiliana na Humphrey Polepole mnaweza kushurikiana kutafuta tiba kwa pamoja.
Utakuwa ndio nguo unazovaaNikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Utakuwa ndio nguo unazov
Tumia logic and factsHata muandiko wako unaonekana unamiaka 58+
Ila jamaniiii...kisa cha kujichosha hivyo? Ili iweje sasaView attachment 2922264kama hauezi kunyanyua tandam kama hiyo hapo juu, kubali tu wakuuzie makobazi ya wazee
Hizi tandamu ndio huwa zinawazeesha .View attachment 2922264kama hauezi kunyanyua tandam kama hiyo hapo juu, kubali tu wakuuzie makobazi ya wazee
Inawezekana anakunywa pombe za buku, buku hizo katika sekta za kuzeesha hazijambo.Labda pombe ime kukomaza[emoji2960]