financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Au unanyanduana sana mkuu? Nasikia ni sababu, wanasema 1 ogasm ni kama kukimbia km 7 so tathimini unakimbia km ngapi km 7x...😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe, sigara, sukari na mafuta huzeesha watu sana epuka vitu hivyo. Kula matunda, vegetables na whole grains.
KupikaMafuta ya kupaka au kupikia?
Hebu weka picha yako kwanza tuone. Wachana na maneno mingi.Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Pombe kaliMimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Soda inazeesha mnoNina miezi mitatu sasa sijagusa pepsi baridi
Safari Lager hiyo ukinywa kwanza unashiba baadae ndio unalewa[emoji23][emoji23]Hahaha ni pombe ipi ina mlo kamili.
Hapo DM huwezi kuikwepa maana hiyo pombe inasukari ya kutosha vyema unywe hizi liteSafari Lager hiyo ukinywa kwanza unashiba baadae ndio unalewa[emoji23][emoji23]
47Umri wako mdogo wa miaka mingapi?
Hiv unaanzaje kutia jimama kama hilo? Kuna watu mna roho za paka aise. Mi siweziView attachment 2922264kama hauezi kunyanyua tandam kama hiyo hapo juu, kubali tu wakuuzie makobazi ya wazee
Kwahiyo na wewe unachosha wenzako??Ila jamaniiii...kisa cha kujichosha hivyo? Ili iweje sasa
DM ndio Nini chief? Hizo lite siwezi maana naweza kunywa stock ya bar nzima halafu hazina test kabisa.Hapo DM huwezi kuikwepa maana hiyo pombe inasukari ya kutosha vyema unywe hizi lite
DM ndio Nini chief? Hizo lite siwezi maana naweza kunywa stock ya bar nzima halafu hazina kisukari mkuu
Kisukari mkuu wangu....dawa ya pombe ukimaliza kunywa piga maji mengi sanaDM ndio Nini chief? Hizo lite siwezi maana naweza kunywa stock ya bar nzima halafu hazina test kabisa.