To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Hata muandiko wako unaonekana unamiaka 58+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hata muandiko wako unaonekana unamiaka 58+
Huyu naona bado mdogo sana..itakua ana twenty samsing huyu... 😂 😂 😂 😂 😂 au ukute ni yeye..kama anaipenda liverpool basi atakua ni yeye..Huyu mleta thread atakua classmate wako kay 😁
Sasa uache kuparamia madirisha ya watu kupiga chabo.Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Chibuku!Hahaha ni pombe ipi ina mlo kamili.
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo na kujaa gesi ni sababu pia ni sababu atafute hela ukiwa hauna hela maisha yanakuchagua huwezi kuyachaguaKazi ngumu, Pombe kali, Wanawake Wazee= Uzee huu hapa dakika O tu.
Zile hazija wahi mwacha mtu salama🤣🤣🤣Inawezekana anakunywa pombe za buku, buku hizo katika sekta za kuzeesha hazijambo.
Inaonekana ni mtu wa stress sana hata uandishi wako unasadifu acha kabisa kunywa bia bigwa kitu kingine we jikubali uwe na amani kuendelea na mishe mishe zakoMimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Na ambazo si fake zipo na zinawanyoosha vilevile.Hakuna mjanja wa kubugia pombe duniani.Mkuu hizo grants ni feki nyingi na unakuta mtu anazibugia kwa fujo bila kuzingatia ustaarabu wake
Punguza kunywa pombe chafuMimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
We ni jinga sana siwez kua na stress foreverInaonekana ni mtu wa stress sana hata uandishi wako unasadifu acha kabisa kunywa bia bigwa kitu kingine we jikubali uwe na amani kuendelea na mishe mishe zako
Nina miezi mitatu sasa sijagusa pepsi baridiSoda
Poa poa kama huna stress zingatia ushauri unaopewaWe ni jinga sana siwez kua na stress forever
Dawa yake ndogo Sana.
Epuka ku date wamama watu wazima.
Thread Closed From NowView attachment 2922264kama hauezi kunyanyua tandam kama hiyo hapo juu, kubali tu wakuuzie makobazi ya wazee
😁Na ambazo si fake zipo na zinawanyoosha vilevile.Hakuna mjanja wa kubugia pombe duniani.
du jamaa Kwa akili hiyo lazma uwe mzee tu mwamba anakupa ushauri upunguze stress we unamtukana sasa umeanzisha Uzi wa Nini mi mwenyewe shaidi niliwahi kuwa na msala mahakamani ushaidi mezani ndani ya mwezi nilikuwa Babu Kwa mawazo ....We ni jinga sana siwez kua na stress forever
kubali tu umezeeka maana umepitia magumu mengi sana na bado yanakuhenyesha vilivyo 🐒Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana