Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Sasa uache kuparamia madirisha ya watu kupiga chabo.
 
Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Inaonekana ni mtu wa stress sana hata uandishi wako unasadifu acha kabisa kunywa bia bigwa kitu kingine we jikubali uwe na amani kuendelea na mishe mishe zako
 
Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Punguza kunywa pombe chafu

Tafuta pesa.
 
Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
kubali tu umezeeka maana umepitia magumu mengi sana na bado yanakuhenyesha vilivyo 🐒

ndio hali ya dunia usisikitike sana 🐒
 
Acha ulevi ,jaribu kutumia showergel nzuri wakati wa kuoga sio unatumia sabuni ya kuoshee vyombo ndio maana ngozi inakomaa kama kenge.
 
Back
Top Bottom