Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Pombe, sigara, sukari na mafuta huzeesha watu sana epuka vitu hivyo. Kula matunda, vegetables na whole grains.
 
Pombe, sigara, sukari na mafuta huzeesha watu sana epuka vitu hivyo. Kula matunda, vegetables na whole grains.
Hii kitu inategemea na ubora wa pombe yenyewe , pombe zipo za kila aina ,kuna mpka pombe zenye mlo kamili ndani yake ni pesa yako tu😁
 
Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.

Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.

Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.

Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.

Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Una bahati sana maishani ndugu.Yaani umeanza kuiona kesho yako kwa kupitia leo hii?What a lucky you!
 
Hahahahahahaa nahis nasemwa mimi aiseee sijui
Hapa nilipo 34 ila hizo shikamoo nazopewa mpaka na 40+

Na mimi nimekubali hilo nikiulizwaga nasema nina 48fresh tu na wengi wanaamini

Sababu mvi
Upara unaanza kuja
Na hekima kidogo ndo baaasi
 
Zipo nyingi tu , bei inawekwa kulinga na ubora , ubora pia unazingatia afya ya mlaji ,ata kwenye bia ,sio kila bia zinafanana zinatofautina bei kulingana na ubora .
Kuna utofauti na mchanganyiko wa habari kuhusu pombe.Anayekunywa grants(ni bei gharama na ni kali)anaweza kufa haraka au kudhoofika kuliko anayekunywa bia za kawaida na ni bei ndogo tu.
 
Back
Top Bottom