Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kuna mkaka tulimaliza nae primary kazeeka mnoo..ila ni anakunywa huyoo kaota kipara..Inawezekana anakunywa pombe za buku, buku hizo katika sekta za kuzeesha hazijambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mkaka tulimaliza nae primary kazeeka mnoo..ila ni anakunywa huyoo kaota kipara..Inawezekana anakunywa pombe za buku, buku hizo katika sekta za kuzeesha hazijambo.
😁😁😁 hizo pombe za bei ndogo ni sumu watu wanakunywa tu mradi wayumbe , kuna pombe ukinywa unatakata usoni ata kama una kipara lazima king'ae.Kuna mkaka tulimaliza nae primary kazeeka mnoo..ila ni anakunywa huyoo kaota kipara..
Pombe, sigara, sukari na mafuta huzeesha watu sana epuka vitu hivyo. Kula matunda, vegetables na whole grains.Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Hii kitu inategemea na ubora wa pombe yenyewe , pombe zipo za kila aina ,kuna mpka pombe zenye mlo kamili ndani yake ni pesa yako tu😁Pombe, sigara, sukari na mafuta huzeesha watu sana epuka vitu hivyo. Kula matunda, vegetables na whole grains.
Hahaha ni pombe ipi ina mlo kamili.Hii kitu inategemea na ubora wa pombe yenyewe , pombe zipo za kila aina ,kuna mpka pombe zenye mlo kamili ndani yake ni pesa yako tu😁
Una bahati sana maishani ndugu.Yaani umeanza kuiona kesho yako kwa kupitia leo hii?What a lucky you!Mimi ni kijana mdogo tu ila nimezeeka usoni yaani ghafla tu ile sura konki ya kiutu uzima mixer upara kwa mbali naviona mwilini.
Nikitulia hâta bar wale machinga huwa wananiletea nguo na viatu vya kizee kizee yaani masuruali mabwanga ni viatu vya ajabu ajabu.
Wale machinga wenye vitu vya kijana kijana huwa wananipita direct.
Nikafanya research roughly kwenye umri wangu watu wanaongeza miaka 9 hadi 12.
Hii imenifanya akili iwe matured sina muda kabisa na vitu visivyo na maana
Ni dogo kiumri ila kimwonekano kazeekaMbona haya mambo uliyoyaandika unaonekana bado ni dogo sana
🤣🤣🤣Wasiliana na Humphrey Polepole mnaweza kushirikiana kutafuta tiba kwa pamoja.
Zipo nyingi tu , bei inawekwa kulinga na ubora , ubora pia unazingatia afya ya mlaji ,ata kwenye bia ,sio kila bia zinafanana zinatofautina bei kulingana na ubora .Hahaha ni pombe ipi ina mlo kamili.
Pombe kali na chafu.Kazi ngumu, Pombe kali, Wanawake Wazee= Uzee huu hapa dakika O tu.
Huyu mleta thread atakua classmate wako kay 😁Kuna mkaka tulimaliza nae primary kazeeka mnoo..ila ni anakunywa huyoo kaota kipara..
Kabisa Mkuu! Pombe kali inauzwa buku mbili unatagemea nini?Pombe kali na chafu.
Kuna utofauti na mchanganyiko wa habari kuhusu pombe.Anayekunywa grants(ni bei gharama na ni kali)anaweza kufa haraka au kudhoofika kuliko anayekunywa bia za kawaida na ni bei ndogo tu.Zipo nyingi tu , bei inawekwa kulinga na ubora , ubora pia unazingatia afya ya mlaji ,ata kwenye bia ,sio kila bia zinafanana zinatofautina bei kulingana na ubora .
Apo unakua umejinunulia misumari nusu kwa matayarisho ya geneza lako ubavu wa kulia.Kabisa Mkuu! Pombe kali inauzwa buku mbili unatagemea nini?
Mkuu hizo grants ni feki nyingi na unakuta mtu anazibugia kwa fujo bila kuzingatia ustaarabu wakeKuna utofauti na mchanganyiko wa habari kuhusu pombe.Anayekunywa grants(ni bei gharama na ni kali)anaweza kufa haraka au kudhoofika kuliko anayekunywa bia za kawaida na ni bei ndogo tu.