Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

Au unanyanduana sana mkuu? Nasikia ni sababu, wanasema 1 ogasm ni kama kukimbia km 7 so tathimini unakimbia km ngapi km 7x...[emoji3]
Sio kweli. Mimi nilizeeka nilipokuwa na kitunza na kukibana ATHUMANI kichwa wazi kwenye boxerCC 150.


Ila nilipoanza kukifungulia ndio nimerudi kuwa kijana. Ingawa mwili umepungua kidogo.[emoji28]
 
Sasa ulitaka nani azeeke mkuu 😀😀😀
 
Acha pombe zinazeesha haraka sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…