Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Nikushukuru kwanza kwa kulitambua Hilo. Ila nikushauru kitu kimoja kabla hujaamua kuhamia kwa waislamu. Chunguza vizuri dhehebu la waadventista wasabato utagundua kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui anadhani akitishia hivyo watu watachangishana hela ili walimpe na kumbakiza?
Mtu anatuambia amesoma ila ameona lile ni sahihi. Badala ya kufanya maamuzi anakuja kujilizaliza huku.
 
Bora hata na wewe umemgundua mapema. Huyu ni mvaa kobazi. Ameamua kutumia njia ya kizamani kuja kuwaharibia watu wa imani nyingine.
 
Uko sahihi kabisa baada ya miaka 10 ukristo utakuwa sawa na fiesta.
Ona ibada za siku hizi za akina amsanja vijana wanapenda vitu rahisi rahisi.
Manabii sasa ndio usiseme.
Ukristo unajifia
Ukristo wa kweli upimeni kwa kutumia neno la Mungu mtagundua bado IPO dini isiyo na mawaa
 
Nikushukuru kwanza kwa kulitambua Hilo. Ila nikushauru kitu kimoja kabla hujaamua kuhamia kwa waislamu. Chunguza vizuri dhehebu la waadventista wasabato utagundua kitu
Hao wasabato na mafunzo yenu ya yule mchungaji na mwalimu wenu mwanamama anayewafundisheni kwamba mwanaume hatakiwi kula wali?
Good thing kuhusu wasabato ni kulana kwenye Makambi tu.
 
Swali fikirishi ulokole maanayake nini hebu baelezee
 
Nakazia
 
Hukuwahi kuokoka na kuishi maisha ya wokovu wala hukumjua Yesu Kristo. Ungejua hayo usingetamani kutoka katika ukristo. Hata hivyo unakufuru, we ungehamia tu kimyakimya kwenye uislam ambao tayari unaupenda
 
Hao wasabato na mafunzo yenu ya yule mchungaji na mwalimu wenu mwanamama anayewafundisheni kwamba mwanaume hatakiwi kula wali?
Good thing kuhusu wasabato ni kulana kwenye Makambi tu.
Labda nikutoe wasiwasi hamna mtu aliyewahi kusema wanaume wasile wali. Wala kanisa la kweli halifati maagizo ya wanadamu ni neno la Mungu pekee
 
Kila la kheri na huko ukikuta shekh akufuraishi hamia budha...chokra chokra ukifa tukuchome.

Hoja zinazokufanya uhame ni dhaifu si za mtu aliyeko kwenye dini hiyo...wewe ni kobazi umekuja kuonyesha ujinga wako.
 
Pole sana mkuu!

I know how you feel!

Had that experience before!

Tatizo kuu uliwekeza imani KWA watumishi wa MUNGU ambao HUWA Wana disapoint sana hasa nyakati hizi!!

Kinachohubiriwa SASA ni mafanikio ya majumba magari mapesa n.k

Hata huko KWA waislam ni hayo hayo utayakuta!!coz nikiwa mdogo niliwahi shuhudia vita vya kusaka uimam maikitini hengo zilitaka kutumia kukatana shingo watu wakazuia!!

Nikiwa mkubwa nimeshuhudia Kurudi nyuma KWA mtu makini niliemkubali sana anaitwa solomon kisa Askofu alimpa uchungaji mstaafu wa tanesco akamuacha solomon ambae walianza nae kazi ikiwa changa kabisa yaani kwenye kanisa la nyasi!!!

Mtafute Mungu binafsi hasa nyumbani kwako tu na porini !makanisani nenda kutembea tu kama mtalii yaani leo hapa kesho pale kama mtu anaetaka experience uzoefu tofauti!!


Ikikupendeza uamke saa tisa usiku wa manane umuite Mungu akupe muongozo!saa nane,saba,tisa ,kumi,kumi na MOJA alfajiri Mungu atakusikia Mkuu!!!

Naamini utapata MSAADA Mkuu!!
 
Ukristo sio dini, ni mahusiano yako Binafsi na Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa Maisha yako

Kanisani atuendi Kwa ajili ya kukamilisha ratiba , ibada inaanzia moyoni mwako , kama Moyo wako umeharibika haijalishi ibada ni nzuri kiasi gani ?

Yesu alisema tuondoa Kwanza boriti kwenye macho yetu kabla ya vibanzi vya wengine, ukimwangalia Yesu udhaifu wa wengine ni sehemu ya kuwaombea

Hata hao unaowasema wako Sawa pia wanaudhaifu wa kwao, cha muhimu ni kumwangalia Yesu maana ndiye aliyekufa Kwa ajili ya dhambi zetu nje ya hapo, unakuwa MTU wa dini
 
story za nini sasa? Utakavyo kuwa na uwe! Imani is so personal that you do not need somebody to cement it!
 
huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu
Ushasema ukiristu au ukristo ulimuona Yesu Kristo mwenyewe amesuribiwa akiwa amevaa magunia au alivaa magome ya mti pale kwenye ule mti alipokua amewambwa?

Pale juu alipowambwa alikua Uchi ndio namaanisha Uchi Uchi Uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…