Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Napenda sana ibada ,naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo ,miaka ya 1980 ---1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya mungu ,hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi, mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho ! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga ,kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000,Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine,wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani ,Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake ,Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena! Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa ! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah! Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !


Ujawahi kuufaham Ukristo, maana Biblia yako imetabiri yote hayo unayolalamikia kwamba yatatokea siku za mwisho.

Hakuna mwanadam aliyeonja kwa ukweli vipawa vya roho mtakatifu na kuvielewa anayeweza kuongelea swala la kuwa Mwislam.
 
Napenda sana ibada ,naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo ,miaka ya 1980 ---1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya mungu ,hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi, mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho ! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga ,kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000,Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine,wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani ,Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake ,Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena! Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa ! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah! Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Mmmmh kama ukristo wako,unaujenga kwa kuangalia watu na "wachungaji wa mchongo" Waliojaa kila Kona, utapotea, bongo hakuna mahubiri ni utapeli mtupu, wanahubiri sadaka tu,
Nenda YouTube, msikilize Myles
Munroe, John hagee, na wengine wa USA, harafu uje utoe mrjesho,
 
Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na

IMG_1974.jpeg
 
Yesu Hana kanisa ,kanisa linaongozwa na mchungaji Kila muumini ana mchungaji wake ,mchungaji akipotoka kanisa lote linapotoka !
Hapo sio kweli wakati WA Nuhu dunia nzima ya wakati wake ilipotea lakini Nuhu peke yake alikuwa mkamilifu mbele za Bwana

Wakati WA sodoma na Gomora mji mzima walikuwa wameharibika lakini Lutu pekee alikuwa amemempendeza Mungu

Wakati WA Musa Wana waisraeli wote walimuhasi Mungu lakini Musa alikuwa upande wa Mungu ni maamuzi yako kumchagua Mungu ni uchaguzi pia ukiona wengi wape ni Sawa pia lakini Mimi na Nyumba yangu tatamtumikia Bwana
 
Napenda sana ibada ,naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo ,miaka ya 1980 ---1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya mungu ,hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi, mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho ! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga ,kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000,Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine,wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani ,Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake ,Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena! Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa ! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah! Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
kwa kifupi, wewe sio mkristo, na sio mlokole, na kama ulishawahi kuwa mlokole basi ulikuwa mlokole wa dini haujawahi kukutana na Mungu moyoni mwako na bado ulikuwa unaelekea motoni kama wapagani wengine tu. hakuna mlokole wa kweli aliyewahi kukutana na Yesu moyoni aliyewahi kutamani uislam, Yesu Kristo ni Nuru ya Ulimwengu, huwezi kupenda giza kama ulishawahi kuonja nuru.
 
Wewe siyo mkristo uliyeokoka brother Bali ulikuwa unafuata mkumbo. Ungekuwa mkristo ungefuata maandiko maana hayo yote yapo katika maandiko.

Wewe unaangalia watu wanafanya nini na siyo neno la Mungu linasema Nini. Ukisoma mathayo 24 utaelewa.
 
Hama tu mkuu,wote tunabahatisha ukitaka kuwa atheist pia sawa bado kidogo sana tutaenda kuujua ukweli.

Kama leo unapumua kesho unaweza ukaamkia sehemu tofauti ukiwa tayari na jibu mkononi unasubiri nini?goodluck!
 
Uchaguzi ni wako,ila fuata nini maandiko yanasema maana ,yanasema jihadharani na roho zidanganyazo na mtawatambua kwa matunda yao.
 
Huko Vatican walijifungia siku 26 na mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini duniani
Wamekuja na mkakati gani siku zote hizo
Vatican na huyu ni maji na mafuta hapa ni vitu viwili tofauti vinazungumzwa
 
Napenda sana ibada ,naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo ,miaka ya 1980 ---1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya mungu ,hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi, mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho ! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga ,kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000,Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine,wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani ,Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake ,Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena! Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa ! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah! Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Hata Roman Catholic hapa nchini ni kizinguzungu tu. Utamsikia mtu akitamka Kristu/kristo, Yosefu/yusufu n.k. ilimradi vurugu tu siku hizi.
 
Uko sahihi kabisa baada ya miaka 10 ukristo utakuwa sawa na fiesta.
Ona ibada za siku hizi za akina amsanja vijana wanapenda vitu rahisi rahisi.
Manabii sasa ndio usiseme.
Ukristo unajifia
Nilimsikia nabii mkuu na mtume mkuu dr Geordavie kwamba yeye anafanya mambo makuu kuliko Yesu! Sababu yeye anatoa hela na misaada ya fedha na mitaji wakati Yesu hakutoa fedha wala mitaji. Waumini walishangilia na kuweka hela miguuni mwa mtume mkuu!
 
Napenda sana ibada ,naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo ,miaka ya 1980 ---1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya mungu ,hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco ,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi,wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi, mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho ! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga ,kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000,Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine,wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani ,Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake ,Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena! Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa ! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah! Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Kwani ulivyokuwa mkristo uliomba ushauri?
Kila mtu ana haki ya kuabudu dini anayoitaka hata ukiamua kuwa kwenye dini ya mashetani nenda tu.
Mna dini zenu unajificha na kujifanya mkristo wakati ukweli siyo
 
Back
Top Bottom