Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Dunia ukifuata makundi ni chanzo cha kupotoka ,fuata mafundisho na jiepushe na makundi maana hayo makundi yanaongozwa na watu kama wewe.

Binadamu kiuhalisia wana uwezo unaofuata kwa kuelewa mambo ila wapo ambao wana IQ kubwa ,ila ukweli ni kwamba binadamu hata wawe na tofauti fulani kifedha ,elimu ,mamlaka na mambo mengi ila wote wanakuwa ni binadamu.

Kama dini ni maandiko basi fuata vitabu na sio makundi ya watu ,hata hapa bongo katiba ipo ila viongozi hawafuati ni kama imewekwa pembeni ...Ishu ya demokrasia imebaki kweny makaratasi.

Jambo unaliona lina mashaka sana achana nao ,kufuata mkundi sijui madhehebu ni mwanzo wa kupotoka jaribu kusoma na uwe katika sehemu dlama achana na mkundi.
 
Bora afrika tuwe na dini yetu wenyewe ma a hizi za kuletewa zinatufanya tunachukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe,ndio lengo lao kweli
Mbona wao hawauwani,kuuwana Africa kumekuwepo hata kabla ya dini soma historia.
 
Pole sana mkuu!

I know how you feel!

Had that experience before!

Tatizo kuu uliwekeza imani KWA watumishi wa MUNGU ambao HUWA Wana disapoint sana hasa nyakati hizi!!

Kinachohubiriwa SASA ni mafanikio ya majumba magari mapesa n.k

Hata huko KWA waislam ni hayo hayo utayakuta!!coz nikiwa mdogo niliwahi shuhudia vita vya kusaka uimam maikitini hengo zilitaka kutumia kukatana shingo watu wakazuia!!

Nikiwa mkubwa nimeshuhudia Kurudi nyuma KWA mtu makini niliemkubali sana anaitwa solomon kisa Askofu alimpa uchungaji mstaafu wa tanesco akamuacha solomon ambae walianza nae kazi ikiwa changa kabisa yaani kwenye kanisa la nyasi!!!

Mtafute Mungu binafsi hasa nyumbani kwako tu na porini !makanisani nenda kutembea tu kama mtalii yaani leo hapa kesho pale kama mtu anaetaka experience uzoefu tofauti!!


Ikikupendeza uamke saa tisa usiku wa manane umuite Mungu akupe muongozo!saa nane,saba,tisa ,kumi,kumi na MOJA alfajiri Mungu atakusikia Mkuu!!!

Naamini utapata MSAADA Mkuu!!
Amina sana umetoa ushauri wa kikubwa sana thank you so much
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Umeanza sasa kufunguka kiakili.
 
Kila la kheri na huko ukikuta shekh akufuraishi hamia budha...chokra chokra ukifa tukuchome.

Hoja zinazokufanya uhame ni dhaifu si za mtu aliyeko kwenye dini hiyo...wewe ni kobazi umekuja kuonyesha ujinga wako.
Siijui hata njia ya msikiti
 
Sijui anadhani akitishia hivyo watu watachangishana hela ili walimpe na kumbakiza?
Mtu anatuambia amesoma ila ameona lile ni sahihi. Badala ya kufanya maamuzi anakuja kujilizaliza huku.
Let Hela nibadili maamuzi
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !

"Itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

Kisha ukawaona watu wanaingia katika dini ya Mwenyezi Mungu makundi kwa makundi,

Basi hapo zisabili sifa za Mola wako na umtake msamaha ,hakika yeye ni mwingi wa kukubali toba".
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Kimbia haraka sana msikitini ukasilimishwe kabla hujachelewa na kufa kafiri.
 
Shida ilianzia kwenye nakanisa ya kilokole,waprotestanti walivyoona walokole wanachuma waumini wao na wenyewe ikabidi wabadilike. Shida ya pili ikaanzia tena huko huko kwa walokole, wachungaji wa kiprotestanti walivyoona wachungaji wa kilokole wanapiga hela kupitia mahubiri yao ya sadaka na wenyewe upepo umehamia huko.
Na bado hawajasema ,watasema tu.
 
Mbona wao hawauwani,kuuwana Africa kumekuwepo hata kabla ya dini soma historia.
Sure unasema ukweli. Ila dini imeleta chuki zaidi ,hapo za kale waliuana kisa ya ukabila kansa Ila saivi Kuna kansa ya udini. Yaani unakiona kuwa wewee ndiye mtt Halali wa mwenyezi Mungu wengine Ni wa shetani.
Mie huwa nawachora mnavyoringa na dini zenu hizo za kuletewa ,pia na mashua enzi hizo
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Kiongozi kipofu akimuongoza kipofu mwenzake wote hutumbukia shimoni. Tafuta kanisa linalohubiri kweli yote ya Yesu Kristo. Jipe muda kutafuta hayo makanisa ukishindwa omba msaada.
 
Kama wewe unahisi unaweza kumtafuta mungu mwenyewe bila kutegemea kanisa acha kusali umtafutie hata nyumbani kwako
Nilishafanya hivyo kitambo,maana neno linasema wamwabuduo halisi watamwabudu katika roho na kweli.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Jitu jeusi karma tako la iddi Amin linatamani kuwa mwarabu.

Mxiuuuuuuu
 
Aah aah. Sure, hii ndiyo ilimkuta Malcom x.
Umaarufu wake ukafanya waarabu(waislam wasikate mguu kwenye makazi yake.
End of day Akaitwa Saudi Arabia, akapewa Kaniki na tende then akatoka kwenye Media akasema" "Saudi Arabia ina uhuru wa kuabudu kuliko Marekani". Imagen!!..

Kuna taasisi inafadhiliwa na nchi za kiarabu inazunguka ulaya na marekani kutafuta Wazungu ma-homeless na kuwapa misaada kuwashawishi waslimu afterwards na kuwatangaza kuwa fulan na fulan kaiona Nuru, ameslimu.
Hiyo taasisi ndiyo ujikita kutoa propaganda kuwa fulan na fulan( watu maarufu) wameslimu kimya kimya ila hawataki kutangaza kwasababu ya kuogopa kuuliwa ama kufilisiwa na Marekani. 😂
Wazungu hawajawashtukia kabisa Hawa mabwana madevu ndio maana huku Afrika wanatumia vikundi vya kijihad maana wakija kwa mfumo huo sisi tunawajua vizuri zaidi ubazazi wa mwarabu kuliko wazungu. Hata hii migration ya waarabu kukimbilia nchi za ulaya ni mkakati, hizi kampuni za waarabu zinazonunua timu kubwa za ulaya za mpira wa miguu ni mkakati, mikakati mingine ninkushawishi baadhi ya viongozi kujiunga na jumuia zao kama oic , kutoa misaada isiyo ya kimaendeleo kama kujenga misikiti hata sehemu ambayo binaadamu hayupo wakiamini huko MBELENI watakuja kulazimishwa watu kujaa humo
 
Jitu jeusi karma tako la iddi Amin linatamani kuwa mwarabu.

Mxiuuuuuuu
Tuendako huko mbele jinsi wanavyomuona mwarabu kama malaika, wakimtetea kwa makosa dhidhi ya ubinaadamu aliyoyafanya wakati wanukoloni, wafuasi wataanza kujipaka make up ili wafanane na mwarabu. Sasa hivi wameanza kwa kasi kupaka Ina ndevu ili zionekane kama za mwarabu
 
Hujawahi kuwa na Imani thabiti Kwa unayemuamini,usingetetereshwa na mambo yaliyokwisha tabiriwa tangu enzi za manabii,hakuna jipya lolote hapo kwenye yanayoendelea Sasa kwenye kanisa,hakuna jipya kuhusu manabii fake walishatabiriwa,watu kupenda pesa ilishatabiriwa,ila Kwa vile uko na Imani ya haba huku hapakufai,hamia tu upande wa pili....Maana ufalme wa Mungu utatekwa na wenye nguvu na wenye misuli ya Imani imara
 
Sasa umepoteza imani na ukristo/wachungaji huko uendako utapoteza marinda.
Biliv me!
 
Back
Top Bottom