Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Iki gonga mfupa lazima uhamishe upande, haya nenda jukwa la kiingereza, wewe ni mtoto mdogo, huna hoja huna hoja hapa si mahala pako nenda kwa wapagani wenzako
 
Mimi nimeamua kukiri waislamu wengi wa bongo ni wakora wanaotumika Dini kutengeneza hirizi na kutumikia majini kama Chuma ulete nk... lakini viongozi wao Hawakemei hadharani.

Hii imetengeneza kubweteka ktk kufanya kazi halali, kujiamini kusiko na mashiko (kujiamini hewa).
Pia kutofanya maendeleo makubwa kwa kuwa wanaamini peponi ndio makao ya milele ndipo kunatakiwa kujengwa zaidi 😅😅😅
 
umepotea sana na subiri kwenda motoni.
 
Tafuta Msikiti ambayo upo karibu nao , Mtafute Kiongozi wake ( Imaan) .Kubwa atakutamisha maneno machache tu tayari utakua muislamu . Ukitoka hapo unatakiwa uanze kujifunza dini Sasa , ili ufanye ibada zako kwa Elimu na sio kwa Ujinga. KARIBU KATIKA DINI YA HAKI, ALLAH Akupe kila la kheri.
 
Unaabudu Mungu au unaabudu dini?
Mbn watanga tanga na dini.
KUna tofauti kubwa kati ya dini na wokovu.
kwann wengi wenu huw mna slim kpnd cha ramadhan?? Futari au??.
KIla dini ina mapungufu yake.
Fata yaliyo mema.
 
Usimcheweleshe mtu kusilimu kwa taratibu za kizushi,mtu kusilimu wala haihitaji kiongozi amsilimishe,ni muumin yoyote aweza kumtamkisha shahada kisha akawa muislam
 
kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri
Mashaallah.
Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri kwa kuijua HAKI na BATILI na kuichagua haki ikuongoze.
Nenda kwenye msikiti ulio karibu nawe utasilimishwa.
 
Hata ingekua mimi ni wewe ningebadilisha tu dini ni bora hata ningekua mpagani lakini siyo kwenda kuomba toba na baraka mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto kama huyu jamaa View attachment 3261635
Huyu mduko wa cement yule mwingine jiwe, ni yaleyale ila kila mmoja ana tafsiri yake.
 
Zote ni dini nzuri, shekhe/padri akilawiti haina maana waamini wake wote wana tabia hizo.

Si uislam wala ukristo kote kuna makanjanja, makanjanja ya kikristo yako wazi sana ni rahisi kuyajua. Makanjanja ya kiislam nayo yapo ila huwa yanatumia sana maneno ya kwenye quran na kiarabu kwa wingi wakijinasibiaha na uislam ili kuvuna wateja.
 
Hujawahi kuwa mkristu. Mkri Kwa Mkristu wa kweli hawezi badili imani ya kweli kwenda kwenye imani zingine. Ukristu ndiyo dini peke inayo taja Mungu wa kweli.
 
Hizo dini hujazijuwa vizuri wewe mtafute Mungu toa sadaka endelea na mambo yako.

Ukifanikiwa kuwa karibu na viongozi wa hizo dini zote unaweza usiende kwenye nyumba za ibada tena.

Kuna mambo ambayo hiyo dini wangeiacha, ingepata wafuasi wengi ila kwakweli , kuchochea mauaji kwa wasio wafuasi wa dini yao, na habari za majini, zinanipa mashaka kidogo.
 
Na Mungu wa kweli hatetewi na mwanadamu kiumbe alichokiumba mwenyewe kinamtetea vipi??? Mungu wa kweli hujitetea mwenyewe kwa vitendo, akisema anashusha moto unashuka. Hili swala la kusema unamtetea Mungu au unampigania Mungu ni uongo mtupu.
Basi masheikh na maostazi wanajipa jukumu la kumtetea mnyazi mngu as if yeye hajui kujipambania
 
Mengine yote uliyoyaongelea sijui ukristu hivi na hivi sikuyaangalia.

Kuwa na dini ni kuwa na upande.

Ni kama Yanga na Simba!

Ukisikia mtu anasema mimi ni Simba dam dam lakini nawapenda sana Yanga, elewa mtu huyo ni Yanga lakini kaamua kuwatukana Simba.

Kwa mada hii, wewe ni muislam uliyeamua kuuzodoa ukristu kwa kucheza na saikolojia za wafia dini.

Hii sielewi wewe inakujenga ama kukusaidia nini!
 
Ikiwa bibilia yako tu huwezi kuielewa uta uelewa uislamu?, uislamu ni mfumo wa Maisha (political, economically, socially, ideological etc) , Islamic is territory
Koran ni kakitabu kama kwa kipeperushi , hakuna chochote Cha maana zaidi ya mashahiri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…