Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mungu ni mmoja,

Ukristo,
Uyahudi,
Uislam na dini zingine,ni njia tu ya kumfikia Mungu mwenye haki.

Yaani umeshuka kwenye Golden deer umeamua kupanda Majinjah kifupi safari yako utafika tu
Usinikumbushe bhana.... Safari na Majinjah.... Hahahahaha.... Sintakaa kusahau siku ile😆🤗
 
Ili umjue yesu vizuri unatakiwa uwe mkristo.
Mimi Leo niende TRA nianze kuwafundisha namna ya kukusanya mapato wenye TRA yao kweli sio uchizi huo.

Kanisa ni mkusanyiko. Mkutano vilevile Ni mkusanyiko wenye agenda fulani.

Yesu iwe anatawadha, anaingia msikitini hawezi kuwa Islam. Kwahiyo Mimi nikitawadha tayari nmekuwa mwislamu?

Mnadanganywa tu na ninyi mnakubali. Uislam umekuja duniani miaka Kama mianne baada ya yesu atakuwaje mwislamu? Hao Wayahudi wenyewe hawajawahi kuwa Islam. Kama Ni hivyo basi waislam mngekuwa Wayahudi ili muendane na taratibu za ibada zao.
 
Hauwezi kuwa na kichwa!
 
Hiyo mbona hata muhammad alisema kuhusu jinsia tatanishi au msahafu umekupiga chenga 😁😁
Mwambie Mchungaji wako alete aya kama niliyokuwekea hapo juu na hii nakuwekea


 
Mwambie Mchungaji wako alete aya kama niliyokuwekea hapo juu
Aya gani uliyoleta ...ipo wapi ?yesu ajawai kuongea upumbavu hata sekunde moja ya maisha yake....kasome injili vizuri...mtu atazaliwaje shoga wakati ushoga uja baada ya kutenda tendo.la ushoga....kasome kilicho andikwa usiokoteze vichrkesho vya mashabiki wa dini wanavyo post kitandaoni kisha unasema ni aya
 
Dini ya uongo,ushenzi na unafiki,diji ya shetani mkuuu.

Only a fool can become a muslm,muslm is like a fungal disease

1 Kings 22:22 " 'By what means?' the LORD asked. " 'I will go out and be a lying spirit in the mouths of all his prophets,' he said. " 'You will succeed in enticing him,' said the LORD. 'Go and do it.'

1 Kings 22:23 "So now the LORD has put a lying spirit in the mouths of all these prophets of yours. The LORD has decreed disaster for you."
 


 
Inaonesha bado hujamjua Mungu...

Naona unalinganisha taratibu za maisha ya watu walizoamua kuziita dini ya Ukristo na kusudi halisi la Yesu Kristo...
 

Uwe mkristo wa kanisa lipi , kwani kuna madhehebu ya Baptist tu peke yake zaidi ya elfu 10 tofauti, hujaja madhehebu mengine . Halafu biblia ndio hazina idadi na kila moja inasema vyake
 
Haya soma alicho sema yesu

Mathayo 19
10. Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11. Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
12. Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
 

Mimi nagusia hiyo aya ya Mathayo 19:12

Sijui umeangalia biblia ipi , kwani matowashi ni nani kwa kiengereza na kigiriki ??
 
Ungekuwa mkatoliki wala usingeandika uharo wote huo. Wewe kwanza sio mkristo. Umejikanyaga kwenye maandishi yako mwenyewe. Acha kulazimisha watu kwenda kwenye imani iliyoanzishwa na mbaka watoto, aliefitini ndoa ya mwanae na akaoa mke wa mwanae wa kufikia, muuaji, mwizi, muongo, haki unayosemea ni ipi? Eti haki.
 

Kwani wewe unafuata imani iliyoanzishwa na muongo Paulo au yule aliyeruhusu ushoga ??

Paulo ankwambia

Warumi 7

. 18 Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna wema wo wote ndani yangu mimi, yaani katika mwili wangu wa asili. Ingawa nina nia ya kutenda lililo jema, lakini ninashindwa kulitenda. 19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo. 20 Basi kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
 
Kwani wewe unafuata imani iliyoanzishwa na muongo Paulo au yule aliyeruhusu ushoga ??
Huna ujualo. Na aliewadanganya ndio hovyo kabisa, Paulo kaamzisha kanisa gani kwa mfano? Waislam bana, wanahangaika na Paulo bila kujua kanisa lilivyoanza. Shida ata mtume wenu hakuwa anajua kusoma kwahiyo nae alikuwa anaskiliza story anachanganya na zake, na majini tena yale kichwani ukiweka na hallucinations dah. 😅 Eti Paulo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…