Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Wewe ni mjinga na unafuata mkumbo hujui ulikotoka,ulipo na unakokwenda ,hivi unapinga kuwa wafia dini mnajinadi MZAZI ni Mungu wa pili pia waheshimu wazazi wako upate kuishi miaka mingi duniani?

Kinachowasimbua Wafia dini ni unafiki na uongouongo tu kwa kukariri ujinga,MZAZI akichukizwa kwa matendo yako mabaya baada ya kukuapiza na akakulaani lazima utadhurika lakini leo hii wangapi mnaapa kwa biblia na misahafu kupitia majina ya yesu na muhamadi na bado mkafanya maovu na msidhurike??

Wachungaji,maaskofu,mapadei,nk wangapi wanawaibia watu mali na pesa kwa kisingizio cha sadaka na zaka na kuwa matajiri wakubwa na kuwaacha waumini wao wakiwa masikini huku wao wakilindwa na mabodigadi/walinzi na silaha kwanini wasilindwe na huyo "yesu" wako?

Yesu si chochote wala lolote ni mhusika mkuu ktk kitabu cha riwaya cha biblia na hao wengine walio ktk biblia ni wahusika wadogowadogo kama walivyo wahusika wengine kwenye riwaya zoote za kusadikika/fiction
Leo ndo nimekutana na mwendawazimu hahaha!!! Nilikuwa nasikia tu mwendawazimu lkn nilikuwa sijakutana nae hahahaha! Kumbe ndo wako hivi!
 
Ni kujibu swali gani ambalo sijakujibu? Hivi mimi na wewe nani anastahili kuwa shetani iwapo unamtangulia yesu mzungu wa kuhadithiwa usiye na nasaba naye na kuwakana wazazi wako ambao ni nasaba yako?
Nasaba inakufanya uishi milele sio. Nmekuuliza swali kuhusu mzazi ukimkana unapata madhara gani umeshindwa. Kaa kushoto na bhangi zako.
 
Mkuu hata mashehee baadhi kule madrasa kazi yao kubwa ni KULAWITI WATOTO,,, haya mambo haya dini ITABAKI NA NAFSI YAKO hakuna mahala pana usalama et ostazzzz anakula KITIMOTO
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Kuhusu kusilimu nenda kwenye msikiti wowote ambao upo karibu na eneo lako uulizie viongozi wa msikiti ukishaonana nao waambie kuwa unataka kusilimu watakuelekeza utaratibu unaotakiwa!.
Muhimu elewa kwamba kusilimu ni bure hakuna malipo yoyote utakayotakiwa kulipia zaidi ya kutamkishwa shahada ya kukubali na kutamka kwamba hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni mtume wa Allaah.
 
Mkuu hata mashehee baadhi kule madrasa kazi yao kubwa ni KULAWITI WATOTO,,, haya mambo haya dini ITABAKI NA NAFSI YAKO hakuna mahala pana usalama et ostazzzz anakula KITIMOTO
Alafu kula kitimoto ndo wanaona dhambi lkn kuzini aah!
 
Nimeshangaa sana Kuna sehemu nimeona umesema baada ya kupata akili wakati kwa kuwakiri kwako wana wa makobazi unaonekana bado haujapata akili
 
NYIE NI WAKRISTO JINA MKRISTO WA KUZALIWA NA BABA NA MAMA

BADO HUJAFIKA LEVO YA UKRISTO
.
Huyo siyo mkristo. Aheri hata angesema kuwa yeye ni mpagani aliyeamua kuwa muislam.

Hakuna mkristo anayeujua ukristo halafu akaenda kwenye uislam, inakuwa ni sawa na mtu aliyeamua kupotea kabisa, maana kuna mafundisho mengi kwenye uislam ni upotofu mtupu.

Yesu, nafsi yaMungu, aliweka bayana yaliyopo katika mpango wa Mungu Baba.

Alisema bayana kuwa katika ufufuko hakuna kuoa wala kuolewa, kwani nyote mtakuwa kama malaika, lakini watu wanaambiwa wajilipue wafe, eti watakapofika ahera watapokelewa na mabikira 72 wa kulala nao, na watakutana na mito ya pombe, na mtu na akili yake timamu anaamini! Tamaa zake za uzinzi na ulevi, anahamishia mpaka hata baada ya kifo!!

Tuzidi kuombea wanaopotoshwa kwa mafundisho ya uwongo, wamwelekee Mungu wa kweli. Ni jambo hema, kwa nchi zenye waislam wengi, kama Indonesia, idadi kubwa ya waumini wa miislam wanabatizwa na kumkiri Kristo.

Siku zaja ambapo watu wote watakiri kuwa Kristo ni Bwana, mteule wake BABA wa mbinguni.
 
Kama wanatumia biblia unasali lkn kwa kupima je neno linalotoka Ni la uzima?

Utapata hasara Kama umeenda bila yesu. Lkn Kama yesu unae hakuna wa kukuweza Bali wewe utawabadili wao.
Kwani wewe hiyo biblia yako ni wapi alisema Uwe naye wakati wewe si myahudi au wewe ni myahudi mweusi??
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Tafuta fedha punguza uchawa.
 
Huyo siyo mkristo. Aheri hata angesema kuwa yeye ni mpagani aliyeamua kuwa muislam.

Hakuna mkristo anayeujua ukristo halafu akaenda kwenye uislam, inakuwa ni sawa na mtu aliyeamua kupotea kabisa, maana kuna mafundisho mengi kwenye uislam ni upotofu mtupu.

Yesu, nafsi yaMungu, aliweka bayana yaliyopo katika mpango wa Mungu Baba.

Alisema bayana kuwa katika ufufuko hakuna kuoa wala kuolewa, kwani nyote mtakuwa kama malaika, lakini watu wanaambiwa wajilipue wafe, eti watakapofika ahera watapokelewa na mabikira 72 wa kulala nao, na watakutana na mito ya pombe, na mtu na akili yake timamu anaamini! Tamaa zake za uzinzi na ulevi, anahamishia mpaka hata baada ya kifo!!

Tuzidi kuombea wanaopotoshwa kwa mafundisho ya uwongo, wamwelekee Mungu wa kweli. Ni jambo hema, kwa nchi zenye waislam wengi, kama Indonesia, idadi kubwa ya waumini wa miislam wanabatizwa na kumkiri Kristo.

Siku zaja ambapo watu wote watakiri kuwa Kristo ni Bwana, mteule wake BABA wa mbinguni.

View: https://youtu.be/q-wTQ7f1_Zc?si=39l6vleJVwohQ69K
 
Atuangalii nani kaandika tunacho angalia alicho andikika ni cha HAKI na CHEMA na KWELI hata elimu ya dunia tunayo soma imetoka kwa hao hao wakoloni
Huo ndiyo ujinga sasa unaojiendekeza,haya haohao wazungu wamekuandikia kuwa umetokana na manyani,tena wakakuandikia umetokana na udongo,tena haohao wakakuandikia kuwa umetoka na adam,nk je yoooote umekubaliana nayo kuwa ni ya haki na mema?

Siyo kila alichoandika mzungu au mwarabu au MWAFRIKA ni cha haki ,chema au ukweli inapswa kudadisi na kujiongeza kulingana na uhalisia ,usiwe bwege!!
 
Leo ndo nimekutana na mwendawazimu hahaha!!! Nilikuwa nasikia tu mwendawazimu lkn nilikuwa sijakutana nae hahahaha! Kumbe ndo wako hivi!
Wewe mjinga na ukristo wako unadhani unathamani kuliko mjinga aliye muislam??

Siku ujitambua ndiyo utajua kuwa wewe ni mjinga,mpumbavu,na mtumwa wa fikra.

Ebu waulize watoto wako ambao hujawaambukiza ugonjwa wa ukristo au uislam kuwa kati yako wewe mzazi wake na yesu au muhamad nani bora,kwa vile mtoto huwa ni mkweli atakupa jibu fasaha!!
 
Mkristo wa kanisa lolote. Kanisani huendi kumfata mchungaji, unapeleka moyo wako ulio wazi kwa yesu.
Kanisa ajenge mchungaji kwa akili na pesa yake halafu useme unaenda kwa yesu kupeleka moyo huo ni ujuha mlioachiwa na ukoloni kwanini.

Wewe ni jiwe
 
Ila hizi imani mbili katika uislamu zimetoka wapi? Suni na shia!! Mungu mmoja wa kweli hangeruhusu huu mgawanyiko. Ukristu na uislamu ni utapeli tu!
 
Ndugu zako katika Imaan wanachinja wasioiamini dini ya haki huko Syria na mmekaa kimya.Dini unayoinadi inakuangusha kutokana na roho mbaya na mafundisho ya chuki
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Hiyo ndio ipo hivyo wala hakuna aliyechezea
"Atakayebadilisha Dini yake(Uislamu) muuweni." [Al-Bukhaariy]

Ikiwa murtad anatangaza waziwazi na anachochea wengine dhidi ya Uislamu, hukumu ya kifo inapaswa kutekelezwa na dola ya Kiislamu baada ya kumpa muda wa kutubu.
Ikiwa mtu ameritadi kimyakimya na hajafanya uasi wa wazi, basi hukumu inakuwa kati yake na Allah, na hana haja ya kuadhibiwa na wanadamu.
Eti dini ya haki
 
Kuhusu kusilimu nenda kwenye msikiti wowote ambao upo karibu na eneo lako uulizie viongozi wa msikiti ukishaonana nao waambie kuwa unataka kusilimu watakuelekeza utaratibu unaotakiwa!.
Muhimu elewa kwamba kusilimu ni bure hakuna malipo yoyote utakayotakiwa kulipia zaidi ya kutamkishwa shahada ya kukubali na kutamka kwamba hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni mtume wa Allaah.
Vipi ukitaka kujitoa kwenye uislamu wanakupokea vizuri hivyo hivyo?
 
Usimdanganye,Kule msikitini ataambiwa atamke maneno haya "Hakuna Mungu ispokuwa allah na Mihammad ni mtume wake"
Neno abudu kwenye shahada halipo.
Usikwepeshe ukafiri!
Kuhusu kusilimu nenda kwenye msikiti wowote ambao upo karibu na eneo lako uulizie viongozi wa msikiti ukishaonana nao waambie kuwa unataka kusilimu watakuelekeza utaratibu unaotakiwa!.
Muhimu elewa kwamba kusilimu ni bure hakuna malipo yoyote utakayotakiwa kulipia zaidi ya kutamkishwa shahada ya kukubali na kutamka kwamba hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni mtume wa Allaah.
,
 
Back
Top Bottom