Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Usimdanganye,Kule msikitini ataambiwa atamke maneno haya "Hakuna Mungu ispokuwa allah na Mihammad ni mtume wake"
Neno abudu kwenye shahada halipo.
Usikwepeshe ukafiri
Kuhusu kusilimu nenda kwenye msikiti wowote ambao upo karibu na eneo lako uulizie viongozi wa msikiti ukishaonana nao waambie kuwa unataka kusilimu watakuelekeza utaratibu unaotakiwa!.
Muhimu elewa kwamba kusilimu ni bure hakuna malipo yoyote utakayotakiwa kulipia zaidi ya kutamkishwa shahada ya kukubali na kutamka kwamba hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni mtume wa Allaah.
,
 
Sijui kama zina utofauti ila mara nyingi Wakristo hutamka na kuandika Wakristo. Wakati waislamu hutumia Wakristu.

Mnaweza fanya resarch ndogo kujiridhisha.
 
Ndugu zako katika Imaan wanachinja wasioiamini dini ya haki huko Syria na mmekaa kimya.Dini unayoinadi inakuangusha kutokana na roho mbaya na mafundisho ya chuki


Eti dini ya haki
Sina uhakika kama kuna watu wanauliwa na kama wapo itabidi nihakikishe kuwa kweli Waislamu ndio wanaowaua halafu nijue sababu then ndo nijudge
 
Wewe mjinga na ukristo wako unadhani unathamani kuliko mjinga aliye muislam??

Siku ujitambua ndiyo utajua kuwa wewe ni mjinga,mpumbavu,na mtumwa wa fikra.

Ebu waulize watoto wako ambao hujawaambukiza ugonjwa wa ukristo au uislam kuwa kati yako wewe mzazi wake na yesu au muhamad nani bora,kwa vile mtoto huwa ni mkweli atakupa jibu fasaha!!
Kwahiyo wewe na ushetani wako wote unanizidi Nini mimi? Pumbavu kweli wewe.

Weka hoja hapa, unafikiri Mimi unaweza kunishawishi kwa matusi? Weka hoja acha umama.
 
Kanisa ajenge mchungaji kwa akili na pesa yake halafu useme unaenda kwa yesu kupeleka moyo huo ni ujuha mlioachiwa na ukoloni kwanini.

Wewe ni jiwe
Weka hoja matusi Mimi huwa sichukii kabisa.

Weka hoja hapa ukishindwa kwendaaa!
 
Kwani wewe hiyo biblia yako ni wapi alisema Uwe naye wakati wewe si myahudi au wewe ni myahudi mweusi??
Kasome vizuri biblia then njoo hapa. Kwa Sasa wewe bado Sana unamaliza bando lako Mr. Alafu baadae uanze kulalamika maisha magumu hahaha
 
Quran ni mkusanyiko wa matamko ya wajinga na wenye chuki dhidi ya wengine. Ni katiba ya wauaji.
 
Huo ndiyo ujinga sasa unaojiendekeza,haya haohao wazungu wamekuandikia kuwa umetokana na manyani,tena wakakuandikia umetokana na udongo,tena haohao wakakuandikia kuwa umetoka na adam,nk je yoooote umekubaliana nayo kuwa ni ya haki na mema?

Siyo kila alichoandika mzungu au mwarabu au MWAFRIKA ni cha haki ,chema au ukweli inapswa kudadisi na kujiongeza kulingana na uhalisia ,usiwe bwege!!
Ndiyo kazi ya akili binafsi ni kuchunguza kupima kuchambua na kuja na jibu la maana zaidi...kwani kuna mzungu kakushikia akili ...jifunze kutumia akili binafsi kupambanua mambo au unataka kutuambia akili ni kukataa kila kitu cha mzungu na kuamini kila kitu cha mwafrica?🙄 au tukikubali kila kitu unachosema wewe ndiyo akili?🙄 wacha upuuzi wa ccm ..tumia akili
 
Ndiyo kazi ya akili binafsi ni kuchunguza kupima kuchambua na kuja na jibu la maana zaidi...kwani kuna mzungu kakushikia akili ...jifunze kutumia akili binafsi k7pambanua mambo au unataka kutuambia akili ni kukataa kila kitu cha mzungu na kuamini kila kitu cha mwafrica?🙄 au tukikubali kila kitu unachosema wewe ndiyo akili?🙄 wacha upuuzi wa ccm ..tumia akili
Nakusubiri uniambie towashi ni Nani kwa Kiengereza na kigiriki , usinikimbie
 
Usimdanganye,Kule msikitini ataambiwa atamke maneno haya "Hakuna Mungu ispokuwa allah na Mihammad ni mtume wake"
Neno abudu kwenye shahada halipo.
Usikwepeshe ukafiri

,
Wewe siyo mwislamu wala hujawahi kuona mtu akisilimu!

Mimi ni muislamu wa kuzaliwa na ni mwalimu wa dini hii , nilishasilimisha watu kadhaa na nilishaona watu wakisilimishwa !.
Maneno anayotamka mtu anayesilimu ni shahada mbili ambazo kwa kiarabu anatamkishwa kama ifuatavyo:.
أشهد أن لا إله إلا الله.
وحده لا شريك له ،
و أشهد أن محمدا رسول الله.
Ash hadu Allaa ilaaha illa llaah ,
Wah dahu laa shariika lahu.
Wa ash hadu anna Muhammada rasuulu llaah.

Maana yake. " Nashuhudia ( wengine husema nakiri kwa moyo na kutamka kwa ulimi ) ya kwamba hapana au hakuna mwenye kuabudiwa kwa haki
( Wengine husema hakuna au hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki) Isipokuwa Allaah ( wengine husema mwenyezimungu ) .
Na ninashuhudia ( nakiri kwa moyo na kutamka kwa ulimi ) ya kwamba Muhammad ni mjumbe ( wengine husema mtume ) wa Allaah.
Kumbuka hutamkishwa shahada hizo kwa kiarabu kwanza halafu hutamkishwa maana yake kwa kiswahili.
Wengine huongeza kusema :
"Na kwamba Yesu au Isa mwana wa Maryamu siyo Mungu Wala siyo mtoto wa Mungu ila ni mtume wa Mungu.
Maelezo haya ya mwisho kuhusu Yesu sio lazima kumtamkisha mtu anayetaka kusilimu ila baadhi ya walimu humtamkisha muislamu mpya kwa lengo la kumtoa katika itikadi yake ya zamani endapo muhusika alikuwa mkristo kabla hajasilimu.
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Mbona hata sunni na shia uwa wanatafsiri tofauti, sunni wanawahi kusherehekea sikukuu ya kula pilau kabla ya shia. Sunni wanapenda sana kufuga midevu mpaka kwenye kifua lakini shia wao watu wa suti suti.

Kinachofanana labda ni issue ya kupenda sana kunywa pombe ya kwenye mito ya pombe inayotiririka na mabikira 72 wa kiarabu.
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Uislam ndani yake una mgawanyiko kama ulivyo ukristu, kuna shia, sunni, ahmadia etc. Wewe umetaja mifano michache kwa upande wa wakristu, ila nikuulize unawafahamu boko haram, Isis, Al shabab etc. Labda huko ni mbali, umewahi jiuliza waganga wengi wanatokea dini zipi?. Fanya utafiti zaidi utapata majibu.
 
Vipi ukitaka kujitoa kwenye uislamu wanakupokea vizuri hivyo hivyo?
Wakupokee kivipi wakati unajitoa?!
Kwa mfano mwanachama wa CCM akitaka kijitoa CCM kwenda chama kingine Hawa CCM watampokeaje vizuri ?!
Ni jumuia gani hapa duniani inayompokea mtu anayeondoka?!
Mara zote anayepokelewa ni yule anayekuja !. Anayeondoka hapokelewi sehemu yoyote !.
 
Wakupokee kivipi wakati unajitoa?!
Kwa mfano mwanachama wa CCM akitaka kijitoa CCM kwenda chama kingine Hawa CCM watampokeaje vizuri ?!
Ni jumuia gani hapa duniani inayompokea mtu anayeondoka?!
Mara zote anayepokelewa ni yule anayekuja !. Anayeondoka hapokelewi sehemu yoyote !.
KWenye kuslimu si kuna kubadilisha jina kusajiriwa kama member mpya, sasa ukitaka kujitoa maana yake si kiungwana si unatikiwa kwenda kuaga pamoja kufuata taratibu za kuondoa jina lako kwenye membership database
 
Dini haimpeleki mtu mbinguni bali Imani thabiti Kwa Mwenyezi Mungu,aliyeziumba mbingu na nchi
 
KWenye kuslimu si kuna kubadilisha jina kusajiriwa kama member mpya, sasa ukitaka kujitoa maana yake si kiungwana si unatikiwa kwenda kuaga pamoja kufuata taratibu za kuondoa jina lako kwenye membership database
Kulingana na mfano nilioutoa, je utaratibu huo wa kuaga kiungwana huwa upo kwa mtu anayehama chama kimoja cha siasa kwenda chama kingine ?!
Je huko makanisani watu wanaotaka kuachana na ukristo kwenda dini nyingine huwa kuna utaratibu wa kuaga na kusighn out kuuacha ukristo na maaskofu huwa wanawapokea vizuri watu wanaouacha ukristo kwenda dini nyingine?!
 
1. Kwa kipindi chote cha Ukristo wako ni wazi kabisa hukujua ulichokuwa unakiabudu.

2. Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
3. Ibada yako ime base kwenye sheria zaidi. Wakati msingi wa Ukristo ni neema.

4. Mwisho, ni muhimu kutambua ibada ni ya mtu mmoja, na inahusu mahusiano yako binafsi na Mungu, sio kikundi.
Carry on, no body can undo/rewire your altred mental faculties, pls remain blessed always
 
Back
Top Bottom