Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Usimdanganye,Kule msikitini ataambiwa atamke maneno haya "Hakuna Mungu ispokuwa allah na Mihammad ni mtume wake"
Neno abudu kwenye shahada halipo.
Usikwepeshe ukafiri
,
 
Sijui kama zina utofauti ila mara nyingi Wakristo hutamka na kuandika Wakristo. Wakati waislamu hutumia Wakristu.

Mnaweza fanya resarch ndogo kujiridhisha.
 
Ndugu zako katika Imaan wanachinja wasioiamini dini ya haki huko Syria na mmekaa kimya.Dini unayoinadi inakuangusha kutokana na roho mbaya na mafundisho ya chuki


Eti dini ya haki
Sina uhakika kama kuna watu wanauliwa na kama wapo itabidi nihakikishe kuwa kweli Waislamu ndio wanaowaua halafu nijue sababu then ndo nijudge
 
Kwahiyo wewe na ushetani wako wote unanizidi Nini mimi? Pumbavu kweli wewe.

Weka hoja hapa, unafikiri Mimi unaweza kunishawishi kwa matusi? Weka hoja acha umama.
 
Kanisa ajenge mchungaji kwa akili na pesa yake halafu useme unaenda kwa yesu kupeleka moyo huo ni ujuha mlioachiwa na ukoloni kwanini.

Wewe ni jiwe
Weka hoja matusi Mimi huwa sichukii kabisa.

Weka hoja hapa ukishindwa kwendaaa!
 
Kwani wewe hiyo biblia yako ni wapi alisema Uwe naye wakati wewe si myahudi au wewe ni myahudi mweusi??
Kasome vizuri biblia then njoo hapa. Kwa Sasa wewe bado Sana unamaliza bando lako Mr. Alafu baadae uanze kulalamika maisha magumu hahaha
 
Quran ni mkusanyiko wa matamko ya wajinga na wenye chuki dhidi ya wengine. Ni katiba ya wauaji.
 
Kasome vizuri biblia then njoo hapa. Kwa Sasa wewe bado Sana unamaliza bando lako Mr. Alafu baadae uanze kulalamika maisha magumu hahaha
Hapo ndipo ilipo Aya inayokuambia Uwe na Yesu?
 
Ndiyo kazi ya akili binafsi ni kuchunguza kupima kuchambua na kuja na jibu la maana zaidi...kwani kuna mzungu kakushikia akili ...jifunze kutumia akili binafsi kupambanua mambo au unataka kutuambia akili ni kukataa kila kitu cha mzungu na kuamini kila kitu cha mwafrica?🙄 au tukikubali kila kitu unachosema wewe ndiyo akili?🙄 wacha upuuzi wa ccm ..tumia akili
 
Nakusubiri uniambie towashi ni Nani kwa Kiengereza na kigiriki , usinikimbie
 
Usimdanganye,Kule msikitini ataambiwa atamke maneno haya "Hakuna Mungu ispokuwa allah na Mihammad ni mtume wake"
Neno abudu kwenye shahada halipo.
Usikwepeshe ukafiri

,
Wewe siyo mwislamu wala hujawahi kuona mtu akisilimu!

Mimi ni muislamu wa kuzaliwa na ni mwalimu wa dini hii , nilishasilimisha watu kadhaa na nilishaona watu wakisilimishwa !.
Maneno anayotamka mtu anayesilimu ni shahada mbili ambazo kwa kiarabu anatamkishwa kama ifuatavyo:.
أشهد أن لا إله إلا الله.
وحده لا شريك له ،
و أشهد أن محمدا رسول الله.
Ash hadu Allaa ilaaha illa llaah ,
Wah dahu laa shariika lahu.
Wa ash hadu anna Muhammada rasuulu llaah.

Maana yake. " Nashuhudia ( wengine husema nakiri kwa moyo na kutamka kwa ulimi ) ya kwamba hapana au hakuna mwenye kuabudiwa kwa haki
( Wengine husema hakuna au hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki) Isipokuwa Allaah ( wengine husema mwenyezimungu ) .
Na ninashuhudia ( nakiri kwa moyo na kutamka kwa ulimi ) ya kwamba Muhammad ni mjumbe ( wengine husema mtume ) wa Allaah.
Kumbuka hutamkishwa shahada hizo kwa kiarabu kwanza halafu hutamkishwa maana yake kwa kiswahili.
Wengine huongeza kusema :
"Na kwamba Yesu au Isa mwana wa Maryamu siyo Mungu Wala siyo mtoto wa Mungu ila ni mtume wa Mungu.
Maelezo haya ya mwisho kuhusu Yesu sio lazima kumtamkisha mtu anayetaka kusilimu ila baadhi ya walimu humtamkisha muislamu mpya kwa lengo la kumtoa katika itikadi yake ya zamani endapo muhusika alikuwa mkristo kabla hajasilimu.
 
Mbona hata sunni na shia uwa wanatafsiri tofauti, sunni wanawahi kusherehekea sikukuu ya kula pilau kabla ya shia. Sunni wanapenda sana kufuga midevu mpaka kwenye kifua lakini shia wao watu wa suti suti.

Kinachofanana labda ni issue ya kupenda sana kunywa pombe ya kwenye mito ya pombe inayotiririka na mabikira 72 wa kiarabu.
 
Uislam ndani yake una mgawanyiko kama ulivyo ukristu, kuna shia, sunni, ahmadia etc. Wewe umetaja mifano michache kwa upande wa wakristu, ila nikuulize unawafahamu boko haram, Isis, Al shabab etc. Labda huko ni mbali, umewahi jiuliza waganga wengi wanatokea dini zipi?. Fanya utafiti zaidi utapata majibu.
 
Vipi ukitaka kujitoa kwenye uislamu wanakupokea vizuri hivyo hivyo?
Wakupokee kivipi wakati unajitoa?!
Kwa mfano mwanachama wa CCM akitaka kijitoa CCM kwenda chama kingine Hawa CCM watampokeaje vizuri ?!
Ni jumuia gani hapa duniani inayompokea mtu anayeondoka?!
Mara zote anayepokelewa ni yule anayekuja !. Anayeondoka hapokelewi sehemu yoyote !.
 
KWenye kuslimu si kuna kubadilisha jina kusajiriwa kama member mpya, sasa ukitaka kujitoa maana yake si kiungwana si unatikiwa kwenda kuaga pamoja kufuata taratibu za kuondoa jina lako kwenye membership database
 
Dini haimpeleki mtu mbinguni bali Imani thabiti Kwa Mwenyezi Mungu,aliyeziumba mbingu na nchi
 
KWenye kuslimu si kuna kubadilisha jina kusajiriwa kama member mpya, sasa ukitaka kujitoa maana yake si kiungwana si unatikiwa kwenda kuaga pamoja kufuata taratibu za kuondoa jina lako kwenye membership database
Kulingana na mfano nilioutoa, je utaratibu huo wa kuaga kiungwana huwa upo kwa mtu anayehama chama kimoja cha siasa kwenda chama kingine ?!
Je huko makanisani watu wanaotaka kuachana na ukristo kwenda dini nyingine huwa kuna utaratibu wa kuaga na kusighn out kuuacha ukristo na maaskofu huwa wanawapokea vizuri watu wanaouacha ukristo kwenda dini nyingine?!
 
Carry on, no body can undo/rewire your altred mental faculties, pls remain blessed always
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…