Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Umenena kweli, biblia si maneno ya mungu - kwakuwa mungu ni shetani.
2 Kor 4:4-6 SUV
ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

Ninayemuabudu mimi haitwi mungu. Anaitwa Mungu
Yohana 4:23-24:
"Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli."
Wewe ni mtoto mdogo sana, note Quran kariim haiwezi Ikawa ngao yako, elimu yako ya bibilia na ukristo ni 0.000000% , toka lini yesu akawa mungu?, yesu huyu huyu, yaani unatoa maandiko ya kuunga unga,

yesu ali lala, yesu ali kula, yesu aliomba msaada, yesu alinyonya kwa mama, yesu uki mpiga anatoa damu,
Be serious 🤣 🤣 🤣 🤣 huyo hana sifa ya kua mungu, sifa yake huyo ni mja wa MUNGU
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.

Haya safari njema. Waswahili wanasema, hiari yashinda utumwa. Mimi imani yangu ntaenda nayo mpaka futi sita chini
 
Thibitisha pasi na shaka
Nithibitishe ibada ya jiwe jeusi la makka ?

Biashara inayowaingizia mamilioni wasaudia ?


Watu wanataka kutoana roho wanagombea ibada ya jiwe jeusi


 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Umezaliwa kwenye Ukristo, Umekulia kwenye Ukristo bahati mbaya umeondoka kwenye Ukristo bila KUMWAMINI YESU NA KUMPOKEA ROHO MTAKATIFU. Hapo huwezi kujua hata chembe ya maana ya Ukristo.
 
Hao ni Waromani ambao ndio walianzisha Uislamu

Ndio maana wote mnaabudu masanamu na mawe

Unawacheka wakatoliki ,hujui hao ndio mabosi zenu

Ona wenzako Hawa wanaabudu jiwe jeusi la makka

Eti dini ya hakiView attachment 3261864View attachment 3261865
Kwahiyo waroma mnaoabudu miungu watatu mungu mwenye mtoto yesu na kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement ndo mmeanzisha uislam ambao wao wanaabudu Mungu mmoja ambae hajazaa wala hajazaliwa? Mbona unajichanganya dogo?

Hapo kwenye hiyo picha iliyojaa waislam sioni mtu akiabudu hilo jiwe unalodai mbona hawajalipigia magoti kama huyu mwenzako alivyopigia magoti mifuko miwili ya cement
downloadfile.png
 
Kwahiyo waroma mnaoabudu miungu watatu mungu mwenye mtoto yesu na kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement ndo mmeanzisha uislam ambao wao wanaabudu Mungu mmoja ambae hajazaa wala hajazaliwa? Mbona unajichanganya dogo?

Hapo kwenye hiyo picha iliyojaa waislam sioni mtu akiabudu hilo jiwe unalodai mbona hawajalipigia magoti kama huyu mwenzako alivyopigia magoti mifuko miwili ya cementView attachment 3261867
Ibada ya jiwe jeusi la makka

Ona aibu ,unawasimanga wakatoliki kumbe hujui ni wenzenu

Hawa kwenye jiwe jeusi wanafanya nini hapa
FB_IMG_1741290421433.jpg
 
Mfano wako hauhusiani na hoja zangu.

Hoja zangu zimejikita katika kuthibitisha ukweli.

Huo mfano wako haujajikita katika kuthibitisha ukweli.

This logical fallacy is called non sequitur.

Wewe hujui tofauti ya "ajakwambia" na "hajakwambia", "alafu" na "halafu", hata herufi za Kiswahili hujui.
Unaona sasa wewe ni mpuuzi siku zote, kasome tena andiko la mleta uzi kataja ukristo na uislamu na siyo matapishi yako hayo, alafu sijui wewe una msongo wa mawazo, sasa hiyo mada ya lugha nenda jukwaa la lugha au bakita au tuki, hovyo kabisa
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Imani yako ndo itakuponya
 
As a web designer, I discourage having too many forum categories to ensure easy navigation.
By the way, nini maana ya Habari na Hoja Mchanganyiko. Tuanzie hapo kwanza 🙂
Habari na hoja mchanganyiko linahusu habari mpya na hoja mpya mchangnyiko updates zipo..
ila mambo yenu ya dini kila siku tunajadili mambo yaleyale kila siku tena kwa kutukanana..
HAIPENDEZI

ndo maana nikashauri lirudishwe jukwaa la dini mkamalizane huko wafia dini!
Logic and reason yenu ni ndogo mnaendeshwa na MIHEMKO NA HISIA SANA!
 
Ibada ya jiwe jeusi la makka

Ona aibu ,unawasimanga wakatoliki kumbe hujui ni wenzenu

Hawa kwenye jiwe jeusi wanafanya nini hapa
View attachment 3261868
Hapo Wamesimama na wameshika sehemu ya Nyumba iliyojengwa na Nabii Ibrahim, sehemu tukufu Al kaaba.

Haya leta elfu 40 ninunue mifuko miwili ya cement nikutengenezee sanamu uliombe toba kama mwenzako
downloadfile.png
 
Angaekuwa hakujiokoa angekuwa kaburini kama alivyo mudi

Nenda kalipie mawe umpigie shetani makka
Yaani mungu mpaka ana pigwa na kupigwa, na hao waroma, yeye amekaa, mungu huyo hata msalaba tu alishindwa kuubeba, tena wali muulia mbali, huna hoja
 
Yani unaniambia Nikasome historia aliyoandika kafiri mwenzako aneabudu na kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama wewe? Hizo ni akili au matope?
WAISLAM WOTE DUNIANI WANASWALI, KUCHINJA, NA MILANGO YA MISIKITI, KUELEKEZWA MAKKA, KUABUDU JIWE JEUSI.

Kutoka 20:4, Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini Duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia.

Kutoka 10:21, BWANA akamwambia Musa nyosha mkono wako kuelekea mbinguni, kuwe giza juu ya nchi ya Misri, watu wapapase papase gizani.

Kwa nini Mungu asimwambie Musa nyosha fimbo yako kuelekea Makka ? Waislam amkeni Makka hakuna kitu hapo jiwe jeusi hilo limechogwa na watu, na Mungu amekataza kusujudia jiwe lolote lililochongwa, waislam dunia nzima mnasuju na kuelekeza nyuso zenu Makka kwenye jiwe jeusi lililochogwa.

FB_IMG_1741291248123.jpg
FB_IMG_1741291262644.jpg
FB_IMG_1741290952012.jpg
 
Ndugu yangu hakuna dini itampeleka mtu mbinguni ila matendo yako. Sina hakika km unahama dini kwa lengo la kwenda mbinguni au kuepuka kadhia ulizozisema na ambazo kama ni msomaji wa biblia yote hayo yalishatabiriwa yatatokea na ambapo pia kwa maoni yangu ulitakiwa kuzikemea hizo kadhia badala ya kuzikimbia.

Hayo mambo yakitokea na huko ulipohamia. Je utahamia dini nyingine??
 
Umenena kweli, biblia si maneno ya mungu - kwakuwa mungu ni shetani.
2 Kor 4:4-6 SUV
ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

Ninayemuabudu mimi haitwi mungu. Anaitwa Mungu
Yohana 4:23-24:
"Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli."
Hivi mungu wako Wakati wana muulia mbali hii dunia alimkabidhi nani kwa muda ili yeye afe?,
 
Yani unaniambia Nikasome historia aliyoandika kafiri mwenzako aneabudu na kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama wewe? Hizo ni akili au matope?
WAISLAM KWANINI MKIENDA MAKKA LAZIMA MLIGUSE, MLIBUSU AU MLIPUNGIE MKONO JIWE JEUSI?
 
Back
Top Bottom