Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Dini inataka mtu ambaye ana positive thinking na good reasoning
Vinginevyo utakua hutamani mabaya ya dini yako yakisemwa. Mleta mada anayo good reasoning
 
Nikikumbuka Kuna mtu alisilimu kipindi Cha Ramadhani aseeh nachoka!

Ramadhani Mubarak watu wangu katika imani
 
Yupo mbinguni, mudi ameshaliwa na mchwa
Sasa wewe hutoliwa na hao nchwa?, yaani una mlinganisha aliye feli (yesu) na aliye faulu (mtume Muhammad) ?, are you serious 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hadi huruma siku zote Huwa hamna jipya,
 
Sasa wewe hutoliwa na hao nchwa?, yaani una mlinganisha aliye feli (yesu) na aliye faulu (mtume Muhammad) ?, are you serious 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hadi huruma siku zote Huwa hamna jipya,
Muhammad huyu alifaulu nini?

Mudi huyu asiyejua hatima yake na wanaomfata ndiye amefaulu kwenda wapi?

Yesu yupo mbinguni ,ana mamlaka yote ,

Unamfananisha na tapeli mudi asiyejua hatima yake na wanaomfata?
 
Kwasababu ni sehemu tukufu Nyumba iliyojengwa na Nabii Ibrahim kwa maelekezo ya Mungu
Ibrahimu wa kishmundu

Ibrahimu baba wa Uyahudi mtoto wa Mzee Tera hakuwahi kufika Maka kufanya huu ushirikina

Acheni kujinasibisha na baba wa Uyahudi, uislamu ni dini ya ujanjaujanja, propaganda inayotafuta popularity kwa kujibebisha na Uyahudi
FB_IMG_1741290421433.jpg
 
WAISLAM WOTE DUNIANI WANASWALI, KUCHINJA, NA MILANGO YA MISIKITI, KUELEKEZWA MAKKA, KUABUDU JIWE JEUSI.

Kutoka 20:4, Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini Duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia.

Kutoka 10:21, BWANA akamwambia Musa nyosha mkono wako kuelekea mbinguni, kuwe giza juu ya nchi ya Misri, watu wapapase papase gizani.

Kwa nini Mungu asimwambie Musa nyosha fimbo yako kuelekea Makka ? Waislam amkeni Makka hakuna kitu hapo jiwe jeusi hilo limechogwa na watu, na Mungu amekataza kusujudia jiwe lolote lililochongwa, waislam dunia nzima mnasuju na kuelekeza nyuso zenu Makka kwenye jiwe jeusi lililochogwa.

View attachment 3261878View attachment 3261879View attachment 3261880
Yani unamletea muislam maandiko juu ya kukataa ibada za sanamu wakati nyie kanisani ndo mmenunua mifuko miwili ya cement kutengeneza sanamu kwa mikono yenu alafu mnaliomba toba! We uliona wapi waislam wakatengeneza sanamu kwa mikono yao na wakaliomba toba kama huyu mwenzako?
downloadfile.png
 
Kwasababu ni sehemu tukufu Nyumba iliyojengwa na Nabii Ibrahim kwa maelekezo ya Mungu
Abraham ni baba yenu wa nje ya ndoa.Waislamu hamstahili kurithi chochote kutoka kwake.
 
Unaona sasa wewe ni mpuuzi siku zote, kasome tena andiko la mleta uzi kataja ukristo na uislamu na siyo matapishi yako hayo, alafu sijui wewe una msongo wa mawazo, sasa hiyo mada ya lugha nenda jukwaa la lugha au bakita au tuki, hovyo kabisa
Kwani Ukristo na Uislamu hapa JF hauhojiwi?
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Karibu kwenye dini tamu
 
Yani unamletea muislam maandiko juu ya kukataa ibada za sanamu wakati nyie kanisani ndo mmenunua mifuko miwili ya cement kutengeneza sanamu kwa mikono yenu alafu mnaliomba toba! We uliona wapi waislam wakatengeneza sanamu kwa mikono yao na wakaliomba toba kama huyu mwenzako?View attachment 3261886
Waabudu jiwe jeusi ya makka
FB_IMG_1741291248123.jpg
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
wewe hukuijua kweli,
na bado hujajua utaendelea kuhangaika hadi siku ya mwisho
Yaan utoke kwa mungu wa kweli uende kwa wafuga majini??
Utoke kwa Yesu aliyesema “ambae hana dhambi na awe wa kwanza kumpiga mawe uende kwa watu walioamuriwa kulipa kisasa (sehemu ya mungu)

Utoke kwne kweli uende kwenye dini iliyotoka kwene kuabudu sanamu na mungu baalii.

Anguko la karne
 

Yani unamletea muislam maandiko juu ya kukataa ibada za sanamu wakati nyie kanisani ndo mmenunua mifuko miwili ya cement kutengeneza sanamu kwa mikono yenu alafu mnaliomba toba! We uliona wapi waislam wakatengeneza sanamu kwa mikono yao na wakaliomba toba kama huyu mwenzako?View attachment 3261886
Hao ni wenzenu ,wote mnaabudu masanamu maana chimbuko lenu ni moja
images (2).jpeg
images (4).jpeg
 
Waabudu jiwe jeusi ya makkaView attachment 3261898
Dogo naona umechanganyikiwa unaanza kujiandikia mambo yako haya twende Hadithi namba 4117 iliyopo kwenye Sahihi Bukhari inasema:
Hadithi hii inahusiana na Jibril (Gabriel) kumjia Mtume Muhammad (SAW). Hii ni hadithi ambayo inasema kwamba Jibril alijitokeza kwa Mtume Muhammad (SAW) akiwa na umbo la mwanadamu ili kumfundisha kuhusu imani, ibada, na matendo mema. Hii ni sehemu muhimu katika mifano ya hadithi inayotufundisha kuhusu msingi wa imani katika Uislamu.

Hiyo yako inayosema ya kuwa walikua wanaabudu masanamu alikuandikia nani Padri au mchungaji?
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Majini na mapepo yanakuhusu
 
Dogo naona umechanganyikiwa unaanza kujiandikia mambo yako haya twende Hadithi namba 4117 iliyopo kwenye Sahihi Bukhari inasema:
"Mtume (SWALLALLAHU 'ALAYHI WASALLAM) alisema: 'Mtu yeyote ambaye atajitahidi kutafuta elimu, na akafanya juhudi kutafuta njia ya elimu kwa ajili ya kumtii Allah, Allah atamsaidia kumsaidia katika jitihada zake.

Hiyo yako inayosema ya kuwa walikua wanaabudu masanamu alikuandikia nani Padri au mchungaji?
Kwanza huyo Allah ni mungu wa kipagani

images (5).jpeg
images (2).jpeg
 
Umehamisha mada siyo ile hadithi namba 4117 uliyoipachika maneno yako ya kijinga uliitoa kwenye Sahihi Bukhari ya mchungaji wako kanisani au wapi?.

Hizo picha zako ni mambo yaliyoandaliwa na makafiri wenzako walewale wanaotengeneza sanamu kwa mikono yao na kuliomba toba
 
Muhammad huyu alifaulu nini?

Mudi huyu asiyejua hatima yake na wanaomfata ndiye amefaulu kwenda wapi?

Yesu yupo mbinguni ,ana mamlaka yote ,

Unamfananisha na tapeli mudi asiyejua hatima yake na wanaomfata?
Mpumbavu wewe kila sekunde ya Allah, utakua mpumbavu, hivi wewe dogo ndio una upumbavu kiasi hichi?, hivi nyinyi wakristo wa jamii forum mnaona huu upumbavu wa huyu mwezenu, hata kumtonya mna shindwa? ,


Je hadi leo hii hao waislaeli wana mkubali yesu??, wanafata walicho fundishwa na yesu?, je yesu kaacha athari yoyote huko islael hadi leo?,

Njoo sasa kwa mtume Muhammad, hebu anangalia alivyo faulu
Kaacha dini (athari kuanzia middle to far east) , Africa hadi ulaya
Jamii yake yote ina fata dini (makka na madina) na Saudi Arabia yote utaki chukua sumu kunywa hebu angalia basi hata bendera ya Saudi Arabia na hio ndio ilikua bendera ya mwamba mtume Muhammad, tena chini kuna upanga, hivi nchi ngapi zina ongoea ki arabu?,
Mtume Muhammad kafa na umri 63 note na ndio umri wa kustaafu kazini (60) ,
Kaacha watoto, kalea hadi wajukuu, kapigana vita (front line), kafanya biashara za kimataifa na kitaifa tena akiwa na umri mdogo sana,

Amekufa kaacha uislamu una tawala totally tena manaswara na mikafiri ilikua ina lipa kodi na ikisikia huyu Mtu ni muislamu ilikua inamuogopa

Amekufa kaacha makhalifa wana tawala dola la kiislammu

Alafu umlinganishe kidumme mtume Muhammad na yesu, na kuanzia sasa ukiona comment ukae kimya mpumbavu wewe
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Subiria matusi toka kwa hao wakiristuu,hawanaga hoja zaidi ya matusi makali!
 
Back
Top Bottom