Mimi ni mmojawapo wa wanaune wenye shoo mbovu na wala siogopi chochote. Bado najiamini sana

Mimi ni mmojawapo wa wanaune wenye shoo mbovu na wala siogopi chochote. Bado najiamini sana

Wala hamna mkuu... siasa zangu ni za kijamaa.. haina pesa zaidi ya mahitaji ya muhimu tu
Kwa maisha yalivo magumu kwa sasa wengi wanapenda siasa za kijamaa sana kuliko ubepari, mi nna vitoweo vyangu najitahidi sana kuvisimamia siku za marejesho alhamisi na jumanne. Viko vinne ko jumanne asubuhi naandaa 14,000 na alhamisi vivo hivyo siwazi kabisa naitwa majina yote ya kiutawala
 
Huo ndo ukweli jamani ambao natamani kuusema... Nahisi mimi ntakuwa ni kati ya wale watanzania ambao tunashika mkia kwenye suala zima la kupiga show.

Niseme tu ukweli mimi ni mbovu sana, tena sanaa.. Sitaki kusema ni mbovu kiasi gani.. Ila nahisi ntakuwa nashika mkia.

Ila kizuri ni kwamba, pamoja na ubovu wangu, sijawahi kabisa kuwaza kwamba natakiwa nifanye improvement kwenye hili eneo... yaani najiona nipo perfect kabisa, kinyume na watu wengine ambao naona ni kama wanafanya uwekezaji mkubwa kwenye show..

Ila sasa ninachoshindwa kuelewa, nilitegemea ningekuwa napokea negative feedback kutoka kwa kambi ya upinzani, ila huwa sipati feedback yeyote baada ya uchaguzi... na kila ikitokea nimeitisha uchaguzi mwingine, basi vyama vya upinzani huwa wanaonesha mwitikio bila kutoa kasoro zozote za uchaguzi uliopita.

Sasa hii tabia ya hivi vyama vya upinzani kutokususia chaguzi, inanifanya na mimi niendelee kuamini demokrasia yangu ipo imara, ilhali mimi binafsi nikichunguza nchi jirani naona kabisa kuna mapengo kwenye demokrasia yangu.

Sasa sielewi.
1. Je? Vyama vya upinzani kwenye taifa langu ni vichanga, kwamba vinashindwa kubaini changamoto za kidemokrasia kwenye uchaguzi?

Ni hayo...

Elewa kwanza mada..hahahahaha
Nyie ndo hua mnasema hivo alafu dem akitoka huko ndani anachechemea, akikaa hakukaliki
 
Nyie ndo hua mnasema hivo alafu dem akitoka huko ndani anachechemea, akikaa hakukaliki
Huo ndo ukweli kabisa mkuu.. hakuna kutoka Jason kabisa kwenye show zangu... hahahaa
 
Nawaonea huruma wanawake wenzanguuu

Kumbe ndo maana wanaume wa Jf kutwa kunanga wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]

Shida ni nguvu Za kiume
Huruma kivipi mkuu.. hiyo si ndo safi sasa.. hakuna kuchubuana??? Au ligi ya 40 minutes ndo mnapendaa???
 
Hizo chaguzi za ndani nchi jirani ulizishuhudia ukiwa wapi?
Au story za kijiwe na video za ngono ndizo zinakudanganya?
Ni story za vijiweni mkuu.. ikiwemo JF... Kama kuna wemba wanaenda mpaka dakika 40... sasa mimi hapo najiona mgonjwa kabisa
 
Back
Top Bottom