Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Siku hizi vyama vingi pinzani vinapenda hivyo ili kulinda ofisi zake zisiharibike sana na mwisho wake kupunguza au kuepuka kabisa gharama za matengenezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maisha yalivo magumu kwa sasa wengi wanapenda siasa za kijamaa sana kuliko ubepari, mi nna vitoweo vyangu najitahidi sana kuvisimamia siku za marejesho alhamisi na jumanne. Viko vinne ko jumanne asubuhi naandaa 14,000 na alhamisi vivo hivyo siwazi kabisa naitwa majina yote ya kiutawalaWala hamna mkuu... siasa zangu ni za kijamaa.. haina pesa zaidi ya mahitaji ya muhimu tu
Huwezi ishi zaidi ya miaka 100 unatafuta ela za nini?Huo muda ungeutumia kutafuta hela, dakika zote hizo ili?
Kwa afya dakika 5 inatosha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio 100 tu Ila less than that au 90 bro ubatili mwingi kwa watuHuwezi ishi zaidi ya miaka 100 unatafuta ela za nini?
Nyie ndo hua mnasema hivo alafu dem akitoka huko ndani anachechemea, akikaa hakukalikiHuo ndo ukweli jamani ambao natamani kuusema... Nahisi mimi ntakuwa ni kati ya wale watanzania ambao tunashika mkia kwenye suala zima la kupiga show.
Niseme tu ukweli mimi ni mbovu sana, tena sanaa.. Sitaki kusema ni mbovu kiasi gani.. Ila nahisi ntakuwa nashika mkia.
Ila kizuri ni kwamba, pamoja na ubovu wangu, sijawahi kabisa kuwaza kwamba natakiwa nifanye improvement kwenye hili eneo... yaani najiona nipo perfect kabisa, kinyume na watu wengine ambao naona ni kama wanafanya uwekezaji mkubwa kwenye show..
Ila sasa ninachoshindwa kuelewa, nilitegemea ningekuwa napokea negative feedback kutoka kwa kambi ya upinzani, ila huwa sipati feedback yeyote baada ya uchaguzi... na kila ikitokea nimeitisha uchaguzi mwingine, basi vyama vya upinzani huwa wanaonesha mwitikio bila kutoa kasoro zozote za uchaguzi uliopita.
Sasa hii tabia ya hivi vyama vya upinzani kutokususia chaguzi, inanifanya na mimi niendelee kuamini demokrasia yangu ipo imara, ilhali mimi binafsi nikichunguza nchi jirani naona kabisa kuna mapengo kwenye demokrasia yangu.
Sasa sielewi.
1. Je? Vyama vya upinzani kwenye taifa langu ni vichanga, kwamba vinashindwa kubaini changamoto za kidemokrasia kwenye uchaguzi?
Ni hayo...
Elewa kwanza mada..hahahahaha
Yaaap mkuu tunajaribu jaribu
Nimetumia fasihi kidogoWatakuwa hawaJakuelewa mkuu...
Huo ndo ukweli kabisa mkuu.. hakuna kutoka Jason kabisa kwenye show zangu... hahahaaNyie ndo hua mnasema hivo alafu dem akitoka huko ndani anachechemea, akikaa hakukaliki
Pesa hamna mkuu.. siasa ni za kijamaa hahahaaaLkn pesa zipo eeeeh
Huruma kivipi mkuu.. hiyo si ndo safi sasa.. hakuna kuchubuana??? Au ligi ya 40 minutes ndo mnapendaa???Nawaonea huruma wanawake wenzanguuu
Kumbe ndo maana wanaume wa Jf kutwa kunanga wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]
Shida ni nguvu Za kiume
Hapo kweli kabisa ... sisi wa tako 3 huwa hatu cheat kabisa... hahahaaUkiwa wa tako 3 usiwe na maudhi.. ukiwa na maudhi unampoteza kabisa manzi..
Kumbe una experience mkuu... ki ukweli mapenzi sijayapa priority kabisa... naona kama ni kitu cha ziadaJina lako linathibisha usemayo.
Wachaga ni zero kabisa
AhahahaMm ndyo haisimami kbsa
Ni story za vijiweni mkuu.. ikiwemo JF... Kama kuna wemba wanaenda mpaka dakika 40... sasa mimi hapo najiona mgonjwa kabisaHizo chaguzi za ndani nchi jirani ulizishuhudia ukiwa wapi?
Au story za kijiwe na video za ngono ndizo zinakudanganya?
Dakika 40 kwani ni football match hiyo..!😅Hahahaaa.. kuna mdau katoa mwongozo kwamba at least dakika 40... .. sasa sijui itakuwaje maana kuna ambao ni one minute mechi imeisha..