Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Weka contact number zako
 
Unaweza kum-approach mwanaume unayemtaka huko mitaani kama ilivyoleta tangazo hapa jukwaani.
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Hapo penye dini ushanikosa maana ninasifa zote ulizoainisha
 
Mie zote ninazo, Tatizo ni hapo kwenye POMBE,..

Kila la kheri Mungu akujalie umpate asiyetumia Pombe..

Ingawaje ninaamini ukikuta mwanaume hanywi Pombe ujue hana akili..

Nimeoa.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Huna akili mwenyewe... Mlevi kama wewe ndo huna akili maana inajukikana kisayansi kuwa pombe inaua seli za ubongo. We uliyezoea kufakamia mipombe ndo umeshapungukiwa na seli hizo...
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Kama bado uko sealed ni pm.
Sitaki kuoa Mke wa mtu.
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila


cc: Nzi a.k.a. Diamond Platinumz
 
Yaani ndo umejiunga tu JF juzi, leo unaanza kutafuta mume. Nyie semeni tu kuna watu mnawasaka humu mkawafunge kwenye viroba na kuwatupa coco Beach.
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
0683594371 nitafute kwenye hiyo namba
 
Huna akili mwenyewe... Mlevi kama wewe ndo huna akili maana inajukikana kisayansi kuwa pombe inaua seli za ubongo. We uliyezoea kufakamia mipombe ndo umeshapungukiwa na seli hizo...
Watu kama wewe wake zenu wanabanduliwa na sisi wanywa pombe..
 
Dada yangu Mume anajitokezaga mwenyewe...hapa huwezi kupata mume wa kukuowa
 
Ungetaja miaka 60 kunajamaa anaitwa Le mubebez aka kinukta au kibamia... Tungekuunganisha nae
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila

HABARI,
"usernamet,
Hongera kwa kujitokeza wazi,Ila wewe hujadhibitisha kama na wewe unamapenzi ya dhati na si ya masihara,Pia elimu ya diploma ya course gani,Je na wewe unajitambua,Msafi,Mtanashati,Uko serious,La mwisho kubwa zaidi Utoe uhakika kwamba atalea watoto wake sio wa wenzake.Asante

LUMUMBA
 
Mie zote ninazo, Tatizo ni hapo kwenye POMBE,..

Kila la kheri Mungu akujalie umpate asiyetumia Pombe..

Ingawaje ninaamini ukikuta mwanaume hanywi Pombe ujue hana akili..

Nimeoa.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hizi dharau sasa
 
Back
Top Bottom