Mimi ni mtoto mdogo ila pesa imejaa

Mimi ni mtoto mdogo ila pesa imejaa

Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.

Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.

Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.

Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.

Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Rekodi zinaonyesha watu wa aina hii, ni makapuku wa kutisha!
 
Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.

Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.

Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.

Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.

Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Acha kelele wewe fukara mkubwa

Huna hela wewe, kelele tu


Wewe na doto magari wote ni uharo tu
 
We kijana yote unayozungumza upo sahihi kwasabbu ni hisia na mawazo yko binafsi.
Ila nakushauri, huku sio sehemu sahihi ya mtu kama wewe kuja kupayuka kwa kutumia nguvu nyingi kiasi hicho!!.

Ungekuwa kule SURA YA KITABU malengo na dhumuni lako vingefikia kiwango cha juu zaidi ya matarajio yko, mfano umeishazoea kupost vipicha na makolokolo kibao, na hayo ndio watoto wa shule na mapunguani hupenda, just Go there..👉

NB: Huku hupawezi tuachie mtandao wetu.
 
Unapesa ila huna raha, kila giza likiingia ni majuto, unalilia gizani.
 
We kijana yote unayozungumza upo sahihi kwasabbu ni hisia na mawazo yko binafsi.
Ila nakushauri, huku sio sehemu sahihi ya mtu kama wewe kuja kupayuka kwa kutumia nguvu nyingi kiasi hicho!!.

Ungekuwa kule SURA YA KITABU malengo na dhumuni lako vingefikia kiwango cha juu zaidi ya matarajio yko, mfano umeishazoea kupost vipicha na makolokolo kibao, na hayo ndio watoto wa shule na mapunguani hupenda, just Go there..👉

NB: Huku hupawezi tuachie mtandao wetu.
Tafuta hela masikini wewe
 
Me nilijua nimekimbia makasiliko ya huyu jamaa ila kila kona yupo na ishu zake ndio hizi hizi
Anyway saw mkuu maana pesa imekuwa ngumu san kama ww umeweza kuitega na unaipata ni jambo zuri
Ila usitufokee bando letu ujue..
 
Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.

Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.

Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.

Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.

Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Ufukara wa fikra ndo huu miaka 28 unajiona mdogo tena unajiita mtoto . Hii ni kichekesho Cha karne sura kama ajabu
 
Back
Top Bottom