Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Mimi kwenye utajiri huko tiyari nishamaliza hapa natafuta ufalme wa mbinguni tuuTafuta hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwenye utajiri huko tiyari nishamaliza hapa natafuta ufalme wa mbinguni tuuTafuta hela
Tafuta helaMimi kwenye utajiri huko tiyari nishamaliza hapa natafuta ufalme wa mbinguni tuu
Tafuta helaNimewaza itakua kuna expert member kabisa kaamua kubadili jina lake ajiite hili,.
Jina lake la mwanzo hili hapa
Tafuta helaHi takataka imekuja na huku?
Ukaona ukiishia insta haitoshi umeamua kutufata mpka huku we unautaka weweHuwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Kuna kijana kaniambia humu Kuna masikini wengi sana inabidi niwaamshe watafute helaUkaona ukiishia insta haitoshi umeamua kutufata mpka huku we unautaka wewe
Huna lolote😂😂,. Uwe makini mitandao haidanganyiTafuta hela
Tafuta helaHuna lolote😂😂,. Uwe makini mitandao haidanganyi
Itakuwa umebeti au korokoro la mchina.Ambazo hazihesabiki
Tafuta helaItakuwa umebeti au korokoro la mchina.
PamojaIPINDA KWETU!!
MJOMBA HAPA.
ALL THE BEST
WEWE NI BINADAM NUSU,UNAOJADILIANA NAO WANA VIDOLE 10 WAKATI WEWE UNA 9 TU.Tafuta hela
Tafuta hela acha makasirikoWEWE NI BINADAM NUSU,UNAOJADILIANA NAO WANA VIDOLE 10 WAKATI WEWE UNA 9 TU.
Mwenye hela anabet na kukataa watoto?Tafuta hela
Tafuta helaMwenye hela anabet na kukataa watoto?
😂😂😂😂😂 Punguza speed mtu asije lala na viatuMwenye hela anabet na kukataa watoto?
Wazee wa kufukua makaburi 🤣🤣Mwenye hela anabet na kukataa watoto?