Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa husema yenyewe kwa matokeo yake (outcome) mdomo haukutangazi una pesa, vipi kati ya mabilionea 20 wametangazwa tuzi tupe jina lako hapo.Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi
Juzi not tuzi.Pesa husema yenyewe kwa matokeo yake (outcome) mdomo haukutangazi una pesa, vipi kati ya mabilionea 20 wametangazwa tuzi tupe jina lako hapo.
Ukiniona Mimi niombe pesaMwamba na huku upo kumbe?.
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi kiongozi wa chama na serikali.
Chief Godlove
Tena wewe ndio unaweza kuwa maskini tangu ghorofani hadi mfukoni,ila kujimwambafai upo tayari kwenda kukodi range iliuonekaneemooo.Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Una pesa kiasi gani?Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Tafuta helaTena wewe ndio unaweza kuwa maskini tangu ghorofani hadi mfukoni,ila kujimwambafai upo tayari kwenda kukodi range iliuonekaneemooo.
HazihesabikiUna pesa kiasi gani?
Tafuta hela"..Ukipata hela za kutosha usipige nazo picha.." Mwana FA
Tafuta helaMiaka 28 we ni kijana adulthood sio mtoto mdogo
Tafuta helaPesa husema yenyewe kwa matokeo yake (outcome) mdomo haukutangazi una pesa, vipi kati ya mabilionea 20 wametangazwa tuzi tupe jina lako hapo.
Tafuta helauna minyooo matakoni inakuwash kunywa dawa
Tafuta helaChief vimbao
Inunue JF utukomeshe tajiri.🤔Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Hizi sasa ndoto za alinacha.Hazihesabiki
Nitainunua usihofuInunue JF utukomeshe tajiri.🤔