Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
Tafuta helaHizi sasa ndoto za alinacha.
Kuna magonjwa ya akili ambayo moja ya dalili zake ni "delusion of grandeur".
Inawezekana unayo haya magonjwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaHizi sasa ndoto za alinacha.
Kuna magonjwa ya akili ambayo moja ya dalili zake ni "delusion of grandeur".
Inawezekana unayo haya magonjwa.
mfundishe mwanao siku akipata hela usiwaone ambao hawajapata kuwa n wapumbavu ............................nashangaa taira mmoja anaandika hapa uzi wakati mm bado anasikiliza matangazo yanayosema kwa msaada wa watu wa marekani...........🙄Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Mimi sitafuti hela, hela inanitafuta mimi.Tafuta hela
Tafuta helaHahaha,
Ukute hiyo pesa mingi ni laki moja na nusu
Tafuta helamfundishe mwanao siku akipata hela usiwaone ambao hawajapata kuwa n wapumbavu ............................nashangaa taira mmoja anaandika hapa uzi wakati mm bado anasikiliza matangazo yanayosema kwa msaada wa watu wa marekani...........🙄
Tafuta helaMimi sitafuti hela, hela inanitafuta mimi.
habari yako binti yanguSawa
Utuambia shilingi ngapi? BrazaTafuta hela
Ambazo hazihesabikiUtuambia shilingi ngapi? Braza
Ukiniona Mimi ujue umeona helaChief Godlove, Kiongozi wa Chama na Serikali, Mtoto mdogo mwenye hela. Najua reply yako lazima itakuwa " Kwa namba gani"
Salama Babuu za kwako?habari yako binti yangu
With due to respect una upeo mdogo sanaTafuta hela
Tafuta helaWith due to respect una upeo mdogo sana
Jicho la tatu
MUNGU ni mwema leejaySalama Babuu za kwako?
Tafuta helaPamoja kwamba jamaa ana majigambo. Ila hizi account za majina yake Huwa zinatumiwa na matapeli
Nimewaza itakua kuna expert member kabisa kaamua kubadili jina lake ajiite hili,.Pamoja kwamba jamaa ana majigambo. Ila hizi account za majina yake Huwa zinatumiwa na matapeli