Mimi ni mtoto mdogo ila pesa imejaa

Rekodi zinaonyesha watu wa aina hii, ni makapuku wa kutisha!
 
Nimewaza itakua kuna expert member kabisa kaamua kubadili jina lake ajiite hili,.
Jina lake la mwanzo hili hapa
Yaah wabongo wengi wanapenda kutembea na upepo. Huyu hapa anasoma upepo aanze kutapeli watu
 
Acha kelele wewe fukara mkubwa

Huna hela wewe, kelele tu


Wewe na doto magari wote ni uharo tu
 
We kijana yote unayozungumza upo sahihi kwasabbu ni hisia na mawazo yko binafsi.
Ila nakushauri, huku sio sehemu sahihi ya mtu kama wewe kuja kupayuka kwa kutumia nguvu nyingi kiasi hicho!!.

Ungekuwa kule SURA YA KITABU malengo na dhumuni lako vingefikia kiwango cha juu zaidi ya matarajio yko, mfano umeishazoea kupost vipicha na makolokolo kibao, na hayo ndio watoto wa shule na mapunguani hupenda, just Go there..๐Ÿ‘‰

NB: Huku hupawezi tuachie mtandao wetu.
 
Unapesa ila huna raha, kila giza likiingia ni majuto, unalilia gizani.
 
Tafuta hela masikini wewe
 
Me nilijua nimekimbia makasiliko ya huyu jamaa ila kila kona yupo na ishu zake ndio hizi hizi
Anyway saw mkuu maana pesa imekuwa ngumu san kama ww umeweza kuitega na unaipata ni jambo zuri
Ila usitufokee bando letu ujue..
 
Ufukara wa fikra ndo huu miaka 28 unajiona mdogo tena unajiita mtoto . Hii ni kichekesho Cha karne sura kama ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ