Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Rekodi zinaonyesha watu wa aina hii, ni makapuku wa kutisha!Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Sawa tajiri Nipe connection basi๐๐Tafuta hela
Yaah wabongo wengi wanapenda kutembea na upepo. Huyu hapa anasoma upepo aanze kutapeli watuNimewaza itakua kuna expert member kabisa kaamua kubadili jina lake ajiite hili,.
Jina lake la mwanzo hili hapa
Sidhani kama atawapata wa kuwatapeli humu na uchumi huuYaah wabongo wengi wanapenda kutembea na upepo. Huyu hapa anasoma upepo aanze kutapeli watu
Mademu ni rahisi sana kudanyikaSidhani kama atawapata wa kuwatapeli humu na uchumi huu
Acha kelele wewe fukara mkubwaHuwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Sidhani kama wadada wa humu hawajitambui namna hiyoMademu ni rahisi sana kudanyika
Ni uchoko ,kutumia jina la mwanaume mwenzio kutafutia kick,wewe tunakujua,ngoja tukukaushie tuTafuta hela mzee umeshazeeka Sasa
shalom... maghayaMmeshaanza sasa!
Ebu tafuteni hela huko๐ก
kua na adabu dogo hivyo visenti vya kubet visikufanye utanue makwapaWaambie vijana hao
Hamna tajiri humo ๐Amna bhana nilitaka tu walau nimjue kidogo tajiri nijifunze mawili matatu๐๐
Kumbe amna kitu
KwakweliHamna tajiri humo ๐
Tafuta hela masikini weweWe kijana yote unayozungumza upo sahihi kwasabbu ni hisia na mawazo yko binafsi.
Ila nakushauri, huku sio sehemu sahihi ya mtu kama wewe kuja kupayuka kwa kutumia nguvu nyingi kiasi hicho!!.
Ungekuwa kule SURA YA KITABU malengo na dhumuni lako vingefikia kiwango cha juu zaidi ya matarajio yko, mfano umeishazoea kupost vipicha na makolokolo kibao, na hayo ndio watoto wa shule na mapunguani hupenda, just Go there..๐
NB: Huku hupawezi tuachie mtandao wetu.
Ufukara wa fikra ndo huu miaka 28 unajiona mdogo tena unajiita mtoto . Hii ni kichekesho Cha karne sura kama ajabuHuwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Hawa ni aina ya watu wanaopata ahueni kwa kubeza watu.Amna bhana,. Automatically tu mtu unajikuta unataka umfatilie tajiri walau ujue historia yake upate cha kujifunza๐๐๐