Nakucheki inboxHabari zenu ndugu zangu.
kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Ninaombeni kazi ndugu zangu
Kwa sasa nipo kibaigwa
0778117626
Sina direct answer ila kiufupi ni tokea mwanzo wa black hole formation..How does black matter escape black hole?
Central of gravity....Ok....na hivi kwa nini matairi ya gari za kawaida zina tread lakini magali ya formula one hayana na zinakimbia kweli kweli?
vizuri Mtu na nusu amenijibu vizuri ila kama ni mtihaani amekosa maana ametumi ung'e ung'e licha ya mimi kumsihi ni la saba D. Sasa hapo mimekosea nini! cha kuniambia siko serious?Acha utoto na upuuzi kwenye mada serious. Nenda Itongoitale huko
Kwani mkuu unapajua huko ilongolatile au πππππvizuri Mtu na nusu amenijibu vizuri ila kama ni mtaani amekosa maana ametumi ung'e ung'e licha ya mimi kumsihi ni la saba D. Sasa hapo mimekosea nini! cha kuniambia siko serious?
Ila we ndugu yangu bana.. tajiri wa ming'ombe na mimpunga πππ toka Bunambiyuvizuri Mtu na nusu amenijibu vizuri ila kama ni mtaani amekosa maana ametumi ung'e ung'e licha ya mimi kumsihi ni la saba D. Sasa hapo mimekosea nini! cha kuniambia siko serious?
ππ kwao huko MkuuKwani mkuu unapajua huko ilongolatile au πππππ
Mmh! Kiingereza sasa!Can you mentions the branches of phyics
ππππππ Nimecheka sana aiseeee an the way jamaa umemjibu jamaa kama umemuoneaππ kwao huko Mkuu
jamaa ametisha humo theory yake imekaa kwenye mifano ambayo ni kama halisi tuVipi mzeya...nawe unaikubali hiyo theory....mwamba eistein alituliza akili hapo sii mchezo.
Ukiielewa mzeya unasema aisee duniani kuna watu walibarikiwa akili
Hana shida ndugu yangu huyoππππππ Nimecheka sana aiseeee an the way jamaa umemjibu jamaa kama umemuonea
Ahahahhaa jamaa hayo seriously huyo kabisa et ππππHana shida ndugu yangu huyo
tena nimejitahidi can you imegne nilipelekwa la kwanza hata kiswahili sijiu lakini nakabahatika kumaliza la saba na hutu tukingereza twakuombea maji na kutogozea form four feiller. Kwa nini usinipe big upMmh! Kiingereza sasa!
Ila we ndugu yangu bana.. tajiri wa ming'ombe na mimpunga
Ni gravitation kati ya dunia na mweziMkuu nini huwa kinasababisha maji ya bahari kuondoka na kurudi?
Hayapendi kukaa sehemu moja...Mkuu nini huwa kinasababisha maji ya bahari kuondoka na kurudi?
Kwambajamaa ametisha humo theory yake imekaa kwenye mifano ambayo ni kama halisi tu