Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Due to heat reduction which can be caused by friction btn tyr and rami.. that why we use black colour in tyreKwanini matairi ya gari ni meusi
Njoo nikuweke na Kepler's equationπππ naomba unikome
Utanipa law of flotationππππππππ njoo unikomeshe nakusubiri kwa hamu zote
Napenda zaidi law of friction ππUtanipa law of flotation
Ati?? πDue to heat reduction which can be caused by friction btn tyr and rami.. that why we use black colour in tyre
Law of friction state that....Napenda zaidi law of friction ππ
Maninaaaa mi nimeshiba alaaaahAti?? π
Au anakwambia,Law of friction state that....
At any condition the friction btw skin ..... Ay basi
Yes ....Au anakwambia,
When a hard object is inserted into a soft hole, the friction becomes fire.
ππππ Au wanakwambia,Maninaaaa mi nimeshiba alaaaah
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ushindwe na ulegeeYes ....
While petroleum jerry remain costant K
Hivi wakati unahangaika kuomba kazi ya kufundisha humu jukwaani, serikali yako mpaka muda huu ina upungufu wa kutosha tu wa walimu wa masomo yako!! Na wala haina mpango mkakati wa kumaliza kabisa huo uhaba kwenye shule zake!!Habari zenu ndugu zangu.
kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Ninaombeni kazi ndugu zangu
Kwa sasa nipo kibaigwa
0778117626
Na pia kitu chochote kinapozamishwa kwenye shimo, usito wake hupotea na sehemu ya uzito huo hutolewa nje ni sawa na utamu wa mara ya kwanza unaoupata baada ya kimiminika hiko kufikia mwisho...ππππ Au wanakwambia,
Kitu kigumu kinapozama katika shimo laini, msuguano unabadilika kuwa moto kama ulimbo na ulimbombo.
Unaogopa nini.... ππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ushindwe na ulegee
UMESOMA CHUO GANI?
UALIMU WA PHYSICS NA SOMO GANI LINGINE?
Vizuri tu mkuuKwa hiyo mkuu yale ma Quantum physics yote unayajua?
Kuna shida katika mfumo wetu wa ElimuHz shule hazina msaada kwa wanafunzi.inahitajika elimu ya kujitegemea.
Hatari hapa nasubiria siku nikosee kutuma meseji kwa mke sijui itakuwaje....hilo timbwili lake sio la nchi hiiTatzo umeshazoea mambo ya mbususu,simu yako imehifadhi