Mimi ni mwalimu wa science (Physics), ninaombeni kazi ndugu zangu

Mimi ni mwalimu wa science (Physics), ninaombeni kazi ndugu zangu

Asante sana
Acha kupoteza muda na kulialia! Hujaijua thamani yako… hivi unajua kwamba yale mashule ya washua kule Upanga wanawataka sana waalimu wa Science ?! Tena hautachukua muda mrefu utakula mkataba pale na angalau mambo yataanza kuwa sawa…, anza kwenda SHAABAN ROBERT peleka maombi na uombe appointment na Director au HR au Principal, toka hapo Nenda Aga-khan onana na watu hao ukiwa na maombi yako na C.V kisha maliza na AL-MUNTAZIR.

Usiache kupita na pale IST elementary school wakupe muongozo wa kupeleka maombi…, maana wale hawaingiliwi kichwa kichwa.

Hutakosa kazi shule mojawapo amini amini nakwambia. On your spare-time uende na Feza pia.
 
Umehitimu 2022 Ila mpaka sasa umeshafundisha shule kadhaa!! Ukaingia mazima kwenye biashara nako mambo hayajaenda vzr ndani ya hii miaka miwili??
Yani toka 2022 mpaka 2024 umeshafundisha, umeshafanya biashara na sasa unatafuta kazi.??
Nafikili TATIZO SIO KAZI BALI WEWE NDIO .
Mchambuzi wa Maisha ya watu umeshawasili
 
Umehitimu 2022 Ila mpaka sasa umeshafundisha shule kadhaa!! Ukaingia mazima kwenye biashara nako mambo hayajaenda vzr ndani ya hii miaka miwili??
Yani toka 2022 mpaka 2024 umeshafundisha, umeshafanya biashara na sasa unatafuta kazi.??
Nafikili TATIZO SIO KAZI BALI WEWE NDIO .
Kama una background nzuri economically + watu wa kuwategemea hautanielewa ila kama wewe ndie top perfomer na first born kwenu, utanielewa vizuri
 
Can you mentions the branches of phyics and their importance in our daily life. Kumbuka mimi ni la saba D.
12. Condensed Matter Physics
  • Definition: Condensed matter physics deals with the physical properties of solid and liquid matter, particularly at the atomic and molecular scale. It is concerned with the study of materials and their properties.
  • Key Topics:
- Crystallography
- Semiconductors
- Superconductivity and magnetism
- Nanomaterials and nanotechnology
- Applications: Material science, electronics, nanotechnology, and the development of new materials for various industries.

13. Plasma Physics
  • Definition: Plasma physics is the study of plasma, which is the fourth state of matter (besides solids, liquids, and gases). Plasma consists of charged particles such as ions and electrons.
  • Key Topics:
- Plasma confinement and fusion
- Electric and magnetic fields in plasma
- Space weather and solar physics
- Applications: Nuclear fusion research, space propulsion, and plasma-based technologies (e.g., plasma TVs, ion engines).


nakupa homework utafute branches zilizobaki
 
Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.
Aisee
Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.
Sasa kama una uwezo mzuri wa kufundisha physics na ulishafundisha shule kadhaa, kwanini usirudi huko huko kwenye shule husika maana wanakujua?!!

Mwalimu aliyethibitika kuwa mzuri ni vigumu kukataliwa
 
Hydraulic compression inafanya kazi kwa kutumia shinikizo la kioevu (mafuta au maji) kupitisha nguvu katika mfumo wa hydraulic. Kwa kutumia kanuni ya Pascal, shinikizo linapoongezwa katika sehemu moja ya mfumo, linaenea kwa usawa na kusababisha compression ya vitu au sehemu zinazohitaji nguvu kubwa. Mfumo huu unatumika sana katika viwanda, ujenzi, na magari kwa sababu ya ufanisi wake, udhibiti wa nguvu, na uwezo wa kutoa nguvu kubwa kwa matumizi ya kifaa kidogo.
Umedesa kwenye AI apps wewe.
 
Sawa
Nifatilie

Kwanza

Physics is a branch of science that deals with the study of matter, energy, and the fundamental forces of nature. It explores how things work in the universe, from the smallest particles to the largest structures. Physics can be divided into several major branches, each focusing on different aspects of physical phenomena. Here are the main branches of physics:

1. Classical Mechanics
- Definition: Classical mechanics is the study of the motion of bodies under the influence of forces. It deals with objects that are much larger than atomic particles and moves at speeds much less than the speed of light.
- Key Topics:
- Newton's Laws of Motion
- Kinematics (study of motion)
- Dynamics (forces and their effects on motion)
- Statics (forces in equilibrium)
- Fluid mechanics
- Rigid body mechanics
- Applications: Engineering, construction, vehicle motion, and most everyday activities.

2. .Quantum Mechanics
- Definition: Quantum mechanics is the branch of physics that deals with the behavior of matter and energy at very small scales, typically at the level of atoms and subatomic particles.
- Key Topics:
- Wave-particle duality
- Uncertainty principle (Heisenberg)
- Quantum entanglement
- Quantum tunneling
Mkuu ACHA kuwajibu hao jamaa!!

Naweza kukupa connection tatizo mshahara kama wa tempo vile!!labda kama ukipiga Tuition vile!!
 
Kwanini ukithrow mpira kwenye maji haudundi kama unavyodunda kwenye ardhi ?
Hii ikuoneshe ni jinsi gani huwezi kuikimbia physics kwenye maisha yako ya kila siku

Mpira kutokudunda ukitua kwenye maji unasababisha na vitu vingi

kuna fluid resistance ambayo husababisha molecules za maji zisiuruhusu mpira kuondoka kwenye surface ya maji, kuna surface tension ya maji kuna bouyant force na vitu vingine ambavyo havipo kwenye ground ya kawaida
Kuyajua zaidi nitafute kwa hiyo namba
 
Habari zenu ndugu zangu.

kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .

Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.

Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.

Ninaombeni kazi ndugu zangu

Kwa sasa nipo kibaigwa

0778117626
H
Habari zenu ndugu zangu.

kama nilivyojitambulisha mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu wa somo la physics mwaka 2022 na G.P.A ya 3.7 .

Nina uwezo mzuri wa kufundisha vidato vyote (form 1 mpaka form 6) na vyuo vya kati pia.

Nimefundisha shule kadhaa za sekondari kabla ya kuingia mazima kwenye ujasirimali ambako pameenda isivyo.

Ninaombeni kazi ndugu zangu

Kwa sasa nipo kibaigwa

0778117626
Hongera sana mkuu kwa kuhitimu chuo. Utapata kazi, wakati ukifika utapata tu. Kahama -SHY kuna shule nyingi sana za private kajaribu kuomba Kwema Modern, Anderleck Ridges, Mhongolo Progressive, St John wa II, pia kwa Iringa jaribu kuomba ST Dominic Savio, Mungu akutangulie akutangulie sana. Pia kuwa na subira kila kitu kitakaa sawa.
 
Samahani waonaje ukijichanganya gereji,unaweza kuwa fundi mzuri ati,labda kama hutaki kuchafuka na hiki ndo uwaponza wasomi wengi,,kuna jamaa elimu yake la saba anapiga hela ndefu katika sekta hiyo,lkn huwa nashangaa wanawezaje hawa na elimu yao ndogo hivyo.
Mkuu nilisha waaza hivi ila sielewi wanalipanaje na maboss wa magereji
 
Hatari sii mchezo.
Mie nikiwaza jamaa alivyokuwa anashusha namba za calculus, numerical analysis na hesabu za quantum mechanics alafu anasota ujue inauma sana.
Its painful sana,mi namwonea wivu pia,mi niliyajaribu hayo masomo lkn siku fanikiwa at high level,.,namba ilikuwa tamu sana,lkn najiuliza au jamaa kuna mahala alijikwaa nini!!!,maana naona kuna mengi angeweza fanya tokana na haya masomo kuwa hot cake katika nyanja nyingi,na kwenye uhasibu watu hawa huwa wanapeta sana kwasababu yakujua nambazi.
 
Its painful sana,mi namwonea wivu pia,mi niliyajaribu hayo masomo lkn siku fanikiwa at high level,.,namba ilikuwa tamu sana,lkn najiuliza au jamaa kuna mahala alijikwaa nini!!!,maana naona kuna mengi angeweza fanya tokana na haya masomo kuwa hot cake katika nyanja nyingi,na kwenye uhasibu watu hawa huwa wanapeta sana kwasababu yakujua nambazi.
Connection kaka
 
Back
Top Bottom