Mimi nikiwa Mtanzania tena mzazi mwenye uchungu na matukio ya utekaji, hii inanifanya niichukie nchi yangu. Njii ipi nzuri ya kutatua ili tatizo?

Mimi nikiwa Mtanzania tena mzazi mwenye uchungu na matukio ya utekaji, hii inanifanya niichukie nchi yangu. Njii ipi nzuri ya kutatua ili tatizo?

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,104
Reaction score
917
🚨🚨 ndugu zangu hali ni mbaya, serikali imeshindwa kutuakikishia usalama kwa raia wake. Kiukweli hofu kwa jamii ipo juu tunakosa Amani kama vile hatuna serikali, jeshi la police ndiyo linaongoza kuteka raia wake na viongozi wapo kimya especially Mh. Rais wetu.

Kiukweli kunahaja wananchi kujitokeza na kuikemea na kuionya serikali kwa njia tofauti tofauti, ikibidi maandamoni ya amani na ikibidi kuelekeza kwenye vituo vyote vya police na kwengine kama vile majengo ya wakuu wa mikoa na wilaya.

Nawasilisha kwenu ndugu zangu.
 
🚨🚨 ndugu zangu hali ni mbaya, serikali imeshindwa kutuakikishia usalama kwa raia wake. Kiukweli hofu kwa jamii ipo juu tunakosa Amani kama vile hatuna serikali, jeshi la police ndiyo linaongoza kuteka raia wake na viongozi wapo kimya especially Mh. Rais wetu.

Kiukweli kunahaja wananchi kujitokeza na kuikemea na kuionya serikali kwa njia tofauti tofauti, ikibidi maandamoni ya amani na ikibidi kuelekeza kwenye vituo vyote vya police na kwengine kama vile majengo ya wakuu wa mikoa na wilaya.

Nawasilisha kwenu ndugu zangu.
Kila Raia mwema hawezi kufurahishwa na mienendo hii
 
Usiletee vurugu jmn ujui n mama anaongoza nchi hataweza ingia msituni atang'atwa na nyokaa tu akufeee
FB_IMG_1724330690583.jpg
 
Usiletee vurugu jmn ujui n mama anaongoza nchi hataweza ingia msituni atang'atwa na nyokaa tu akufeeeView attachment 3076784
Napendekeza kufanyike maandamoni kwa nchi nzima kwa pamoja,Kila mkoa na kuelekea katika ofisi za serikali na ikibidi kuwaomba wakuu waidara wang'atuke kwenye ofisi zao ambazo wameshondwa kutimiza majukumu yao hadi kuelekea hapa tulipo.
 
Mambo si mazuri kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20240822-215934.png
    Screenshot_20240822-215934.png
    134.9 KB · Views: 6
Napendekeza kufanyike maandamoni kwa nchi nzima kwa pamoja,Kila mkoa na kuelekea katika ofisi za serikali na ikibidi kuwaomba wakuu waidara wang'atuke kwenye ofisi zao ambazo wameshondwa kutimiza majukumu yao hadi kuelekea hapa tulipo.
Mdogo mdogo kitawakaa ,binadamu njaa ikimfika haswa Huwa awazi mara mbilii..

Tuache muda utaongeaaa
 
Mdogo mdogo kitawakaa ,binadamu njaa ikimfika haswa Huwa awazi mara mbilii..

Tuache muda utaongeaaa
Watawala wamepigwa na upofu hali imekuwa ngumu na ni hatari mtaani, wapo busy na kufanya ufisadi na kuwatumia watu wachache ambao ni wapumbavu na wenye tamaa(polisi,wasanii,machawa) ili tuendelee kuumizana wenyewe kwa wenyewe alafu wao waendele kufuja Mali za uma, na kuendelea kusalia madarakani kwa hila.
 
🚨🚨 ndugu zangu hali ni mbaya, serikali imeshindwa kutuakikishia usalama kwa raia wake. Kiukweli hofu kwa jamii ipo juu tunakosa Amani kama vile hatuna serikali, jeshi la police ndiyo linaongoza kuteka raia wake na viongozi wapo kimya especially Mh. Rais wetu.

Kiukweli kunahaja wananchi kujitokeza na kuikemea na kuionya serikali kwa njia tofauti tofauti, ikibidi maandamoni ya amani na ikibidi kuelekeza kwenye vituo vyote vya police na kwengine kama vile majengo ya wakuu wa mikoa na wilaya.

Nawasilisha kwenu ndugu zangu.
Haya matatizo hayaondoki CCM ikiwa madarakani.
 
🚨🚨 ndugu zangu hali ni mbaya, serikali imeshindwa kutuakikishia usalama kwa raia wake. Kiukweli hofu kwa jamii ipo juu tunakosa Amani kama vile hatuna serikali, jeshi la police ndiyo linaongoza kuteka raia wake na viongozi wapo kimya especially Mh. Rais wetu.

Kiukweli kunahaja wananchi kujitokeza na kuikemea na kuionya serikali kwa njia tofauti tofauti, ikibidi maandamoni ya amani na ikibidi kuelekeza kwenye vituo vyote vya police na kwengine kama vile majengo ya wakuu wa mikoa na wilaya.

Nawasilisha kwenu ndugu zangu.
Uichukie nchi yako kwa sababu ya uwepo madarakani watu wasiofaa?
Naona unachanganya mambo hapa. Hiyo nchi ni ya hao majuha? Mbona unawapa hadhi wasiyo istahili.

Usichukie nchi, chukia hao viongozi wabovu na fanya kila juhudi kuipigania nchi yako unayo ipenda kuondokana na hii aibu inayo tukabili sasa hivi.
Chuki zako zielekeze mahali stahiki. Kesho wakifurumushwa na nchi kurudi kwenye utulivu, bado utaendelea kuichukia?
 
Napendekeza kufanyike maandamoni kwa nchi nzima kwa pamoja,Kila mkoa na kuelekea katika ofisi za serikali na ikibidi kuwaomba wakuu waidara wang'atuke kwenye ofisi zao ambazo wameshondwa kutimiza majukumu yao hadi kuelekea hapa tulipo.
Hilo lina hita kufanyika kazi kubwa na ngumu sana kulitimiza, hasa hapa kwetu.
Lakini sisemi kuwa ni kazi isiyo wezekana, la hasha.
Kwa hali iliyopo sasa kidogo kuna urahisi wa kuwashawishi watu kuungana na kukataa uhayawani huu.

Kwanza wakati wenyewe ni mwafaka kabisa, tunapo elekea kwenye hizi chaguzi zinazokuja.
 
Back
Top Bottom