Mimi nikiwa Mtanzania tena mzazi mwenye uchungu na matukio ya utekaji, hii inanifanya niichukie nchi yangu. Njii ipi nzuri ya kutatua ili tatizo?

Ccm haitokubali mabadiliko ya uongozi kistarabu, ipo tayari hats kuua ili mradi ibakie madarakani. Kama tutashindwa kufanya mabadiliko Sasa ya katiba ndiyo tusije kutarajia kuitoa madarakani ccm
 
Chama cha demokrasia na maendeleo mmeshindwa kuwaongoza wanachama wenu kutusaidia kupata katibapya kweli?

Natumai kama tukiwa na katiba mpya mambo mengi ya kuogopa kutembea ama kufanya mambo yako mtu unakuwa huru na Wala hakuna cha kuogopa. Kwa Sasa mwanasiasa anashindwa kufanya siasa kuhofia kutekwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240823-054534.png
    417.6 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…