Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
1998 wakati wa njaa ya Fungafunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1961?????1961
Wazee hawa hawa kina Grahams ?Radhi za wazee wanasikiliza hanii ya Zuchu
Ndio hata NECTA haipo wakati huo sisi tunafanya1961?????
Jmn ndo ulimaliza la Saba?1998 wakati wa njaa ya Fungafunga
Mwaka 2022View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Hata kama ndio msikilize hanii na siendi ya zuchu? Remmy ongala anajisikia vibaya mno.Wazee ni hazina ya Nchi
Penye Wazee hakuharibiki jambo
hahahHumu kuna wazee sana ambao hata kurusha jiwe litue mita 3 mbele hawawezi. Kwahiyo tuwe makini tusijepata radhi za jf.
Wape maandazi yawang'oe meno 😂hahah
Hahaha.......... hao itakuwa Wazee wa Mjini, sisi wa Mwaka 47 tunamsikiliza Mbaraka Mwinshehe 🤗Hata kama ndio msikilize hanii na siendi ya zuchu? Remmy ongala anajisikia vibaya mno.
Ndio kaimba nyimbo gani iliyobamba miaka ya 47Hahaha.......... hao itakuwa Wazee wa Mjini, sisi wa Mwaka 47 tunamsikiliza Mbaraka Mwinshehe 🤗
Kasikilize nyimbo za "Mapenzi yanitesa na "Shida"Ndio kaimba nyimbo gani iliyobamba miaka ya 47
Hadi wewe ulibubujikwa na machozi ?😂Kasikilize nyimbo za "Mapenzi yanitesa na "Shida"
Nakumbuka hiyo nyimbo ya kwanza ilinifanya nimwage machozi wakati nilipopigwa kibuti na Bibi yenu wa kwanza 🙌
Hapakuwa na darasa la Saba miaka hiyo, ilikua la nne, ukifaulu unaenda middle school mpk la 8, secondary la 9 na kuendelea.1961?????
Mwaka 1996 Shule ya msingi Rulenge wilayani Ngara.View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...