Mimea jamii ya kunde inafanya nitrogen fixation kwenye udongo na kuongeza available organic nitrogen in soil.Tulipokua wadogo ninakumbuka tulipanda kunde na maharage chini ya minazi. Walisema kunde zinatoa nutrition inayohitajika kwa minazi.
Hakika kilimo hiki ni cha kimkakati na uwekezaji ukiwa mzuri kitatutoa kimasomaso.Lazima tufikirie mbele. SIDO wanaweza kutengeneza mashine za kukuna nazi na kukamua kama uzalishaji ni mkubwa.
Tui la nazi ni bidhaa inayouzika mno duniani, kutokana na utandawazi dunia nzima inakula curry na curry bila tui la nazi haiwi curry. Bado mapishi mengine.Hakika kilimo hiki ni cha kimkakati na uwekezaji ukiwa mzuri kitatutoa kimasomaso.
Government intervantion is inescapable for this bro. Hata uwe na innovation kiasi gani without government intervantion you will stuck.Serikali haiwezi kua solution ya kila kitu
Serikali haijui kufanya chochote,na inachofanya turn out to be bad or sub standard
Kama zao halina utility value,law of economics inasema litakufa tu regardless.
Cha msingi ni zijengwe economic policies zitakazoleta incentive kwa yeyote atakaelima,kama hakina economic incentive kwa mlimaji basi that thing will be a failure
Mazao yalikuja mengi na yakatoweka na yatakuja mengine pia,dunia ina miaka 4 bilioni,unachokihofia ni mainstay tangu mababu na mababu
Wananchi wafanye innovation wao kama wao wa seed storage and preservation fuelled na economic benefits nk,sera ziwekwe hizi industry kama industry zifunguke
Utaokoa some and others will die and disappear due to kukosa value at this age and times.
Serikali hua haina akili na passion na dedication kama wananchi mmoja mmoja...
Tena serikali zenyewe ndio hizi maiti za mapumbavu ya CCM,forget that solution
Wiki moja iliyopita nimepanda miche 25.
Mbona mashine za kukunia nazi zipo zimejazana huko sokoni.........Lazima tufikirie mbele. SIDO wanaweza kutengeneza mashine za kukuna nazi na kukamua kama uzalishaji ni mkubwa.
Ati unasema?!!!njoo uchukue shamba,eka moja laki tatu.pwani
Miche ya asili iko vemaShamba la minazi linakuhakikishia maisha ya watoto na wajukuu zako watavuna kwa miaka 90.
Mama yangu alipanda ndizi mzuzu mashina 200 na yote anavuna Ramadan hii. Mkungu sh 5,000 shambani.Sorry nje ya mada .
Nina mpango wa kulima migomba heka 5.kwangu Mimi Naona zao la migomba linawai kumtoa mtu.manake mwaka mmoja mavuno tayali.ntapanda mwaka huu mwezi wa 9.
Ni wazo mwakani ntajalibu Hilo zao pia
Mwaka 1986 hivi, Mheshimiwa Rais Mwinyi alitoa hadhari kuhusu kudharaulika kwa zao la nazi. Hasa uvunaji uliopindukia wa madafu, n.k. Akasema, itafika siku nazi itakuwa inauzwa moja sh. 100. Adjusting for inflation, bei ya nazi itakuwa imepanda kama alivyosema Mheshimiwa Mwinyi sr.Kila baada ya miezi mitatu unaangua nazi unalipa ada ya watoto.
Shamba la minazi linakuhakikishia maisha ya watoto na wajukuu zako watavuna kwa miaka 90.
Karibu mzee, ulime naziAti unasema?!!!
Kuna miaka kumi ya ku sacrifice lakini baada ya hapo kama una heka moja una uhakika wa milioni 2 kila baada ya miezi mitatu...wakati mwingine nadhani minazi ni investment nzuri kuliko uwekezaji ktk miti ya nguzo/mbao.
..tatizo linakuja kwenye matunzo ya minazi toka kupanda mpaka itakapoanza kutoa matunda.
Mwaka 1986 hivi, Mheshimiwa Rais Mwinyi alitoa hadhari kuhusu kudharaulika kwa zao la nazi. Hasa uvunaji uliopindukia wa madafu, n.k. Akasema, itafika siku nazi itakuwa inauzwa moja sh. 100. Adjusting for inflation, bei ya nazi itakuwa imepanda kama alivyosema Mheshimiwa Mwinyi sr.