Nipe link bossMashamba ya minazi ulizia kwenye what’supp groups.
Dah hapo mkwezi itabidi umlipe per month,ambao hatuwezi kuwaajiri hawa wakwezi sijui tutumie mbinu gani wezi wengi sanaKukomesha wezi, nenda na mkwezi wako mtoe mbali. Wale wakwezi wa karibu akishachuma nazi zako baada ya miezi miwili anarudi mwenyewe.
50 si umemnyonga sana mkuu?Ukiamua kuwa na shamba la heka mbili za minazi tunaita “kiunga”, jengo nyumba ya shamba ya vyumba viwili vya kulala na sebule kubwa. Nje weka Sim tank buns maji ya mvua na choo cha shimo. Weka jiko la gas.
Chumba kimoja weka mfanya kazi, chumba cha pili ni cha kwako kama itabidi ulale shamba. Sebule unahifadhia nazi kabla hazijaenda sokoni.
Kijana unampa 50,000 lakini ana uhuru wa kulima mazo ya kula kama mihogo, bamia, mahindi na kazi yake kubwa ni kuzunguka shamba.
Duh kweli sisi ni wanyonge aisee na ni kweli bara la gizaTulikula matunda ya porini na mizizi pia tuliwinda
Tikiti asili yake wapi maana ndo tunda langu pendwaMtama asili yake ni Afrika
Kwanini tikiti liitwe tunda poriAfrika ya Kusini. Hili ni la kwetu ingawa China na Mongolia wanalipenda sana. Haya ndiyo matunda pori tuliyokula.
Ipo mkuu tena ya ubora mzuri. KAPARATA ametengeneza hapo SIDO vingungutiLazima tufikirie mbele. SIDO wanaweza kutengeneza mashine za kukuna nazi na kukamua kama uzalishaji ni mkubwa.
Sikubali GMO bora mnazi kipemba sio hiyo ya kichina ya miaka mi3.
Lina uhusiani na timu ya simba. Na simba wakaa poriniKwanini tikiti liitwe tunda pori