Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #41
Joka Kuu,..wakati mwingine huwa nakuonea huruma sana.
..unajua vijana wa siku hizi, unaohangaishana nao, hawana mazoea ya kusoma vitabu vingi.
..mtu mwenye mazoea ya kusoma vitabu hatokuwa na shida, au hatotaharuki, akikutana na maandiko yako.
Usinionee huruma mimi hii kazi ya kufundisha naipenda sana ndiyo
maana unaniona sibanduki hapa.
Wala sihangaishani na mtu yoyote tuko kufunzana nikitegemea kuwa
wako watakaojua starehe iliyomo ndani ya vitabu.