Pre GE2025 Miongoni mwa kosa kubwa watakalolifanya CCM ni kumpitisha Samia Hassan kuwa mgombea wa urais

Pre GE2025 Miongoni mwa kosa kubwa watakalolifanya CCM ni kumpitisha Samia Hassan kuwa mgombea wa urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah kuna mtu anawachokoza huku....
 
Ila alikua ana nafasi kubwa mno ya kushinda kwa sababu ya kuwa tu mwanamke, angecheza kama Pele angevunja rekodi .
Mkuu,
Lazima mama Samia ashinde kwa kishindo hata kwa bao la mkono Kama la nauye.
Ukisha kua mwenyekiti wa CCM na amiri JESHI mkuu (Jemedari)
Kitatengenezwa kiini macho hii nchi tunaijua Wacha mchezo..
 
Mkuu,
Lazima mama Samia ashinde kwa kishindo hata kwa bao la mkono Kama la nauye.
Ukisha kua mwenyekiti wa CCM na amiri JESHI mkuu (Jemedari)
Kitatengenezwa kiini macho hii nchi tunaijua Wacha mchezo..
Ashinde tu , kama wananchi wataunga mkono sioni cha kuongeza hapo mkuu.
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Uko sawa 100%
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Usipoteze mda wako Mzee,nyie simamisheni Wapinzani wenu na unganeni ila Urais mtaishia kuusikia ,hata wasimamishe Jiwe na Wapinzani hamshindi achilia mbali SSH.
 
Kuhusu CCM, ni kweli kuwa mabadiliko ya viongozi yanaweza kuleta matumaini mapya na kuchochea ushindani. Ikiwa SSH atagombea, wapinzani wanaweza kupata fursa nzuri ya kushinda, hasa kama wananchi wanahisi kutoridhishwa na uongozi wa sasa.

Ni muhimu kwa vyama vya siasa kuzingatia maoni ya wananchi na kufanya mabadiliko yanayohitajika ili kuimarisha demokrasia na maendeleo ya nchi.
 
Pengine kuna mazuri amefanya ila huyu Mama hana ki smart cha kupendwa kusema ukweli huku mtaani hawamuelewi kabisaaa yaani kazi atakuwa nayo kwenye uchaguzi.
Hayo mazuri labda ya kufikirika sana kama yapo.
 
Lucas Mwashambwa Tlaatlaah kuna mtu anawachokoza huku....
inaonekana mtoa hoja alichukuliwa msukule na ameachiwa jana tu kwahiyo bado saikolojikali hayuko sawa....

but endapo ataridhia kugombea URAIS Dr.Samia Suluhu Hassan ana uwezekano wa kupata zaid ya ushindi wa kishindo wa zaid ya 90%. na jambo muhimu zaid ni kwamba makundi mbalimbali ya vijana pande zote za nchi, wamekusudia kumchangia fedha za kuchukulia formu lakini pia za kampeni, licha ya kua CCM ina fedha nyingi zaid....
Alionacho ataongezwea...

Jambo jingine,
ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan is the darling of the citizens all over the country. Amebeba ndoto na matarajio ya maisha ya vijana na wanainchi wote ndani ya maisha yao.

Kila mTanzania anamuunga mkono na atamchagua Dr Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi mkuu ujao kwasababu ya nia na dhamira yake njema ya kuleta mabadliko nchini na hakuna namna nyingine 🐒

ushindi wa kishindo ni Lazima
 
Back
Top Bottom