Pre GE2025 Miongoni mwa kosa kubwa watakalolifanya CCM ni kumpitisha Samia Hassan kuwa mgombea wa urais

Pre GE2025 Miongoni mwa kosa kubwa watakalolifanya CCM ni kumpitisha Samia Hassan kuwa mgombea wa urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
😊 Nimejikuta nimeangua kicheko kwa sauti ya juu mkuu..

Eti nafanya utetezi wa maneno matupu 😇
Swadaktaa kabisaaa. Maneno matupu kwa maana ya ukichokisema wewe, mtu yeyote yule hata asiye great thinker anaweza fanya. Wewe ilibid uje na heavy tangible facts za kuueleza umma tukuelewe. Samia anazingua sana
 
Swadaktaa kabisaaa. Maneno matupu kwa maana ya ukichokisema wewe, mtu yeyote yule hata asiye great thinker anaweza fanya. Wewe ilibid uje na heavy tangible facts za kuueleza umma tukuelewe. Samia anazingua sana
Kwaio inabidi nije na data madawati mangapi yameongezeka, ajira mpya ngapi zimetengenezwa, madawa ya binadamu yamesambazwa na kufika mpaka VIJIJINI kwa KIASI gani, huduma za maji na umeme zimewafikia mpaka ndani ndani vijijini kwa kiwango gani.

Ngoja tuwaite kina Lucas Mwashambwa , ChoiceVariable , E.t.c
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Si bora wafanye makosa ili Taifa lipone?
 
Kwaio inabidi nije na data madawati mangapi yameongezeka, ajira mpya ngapi zimetengenezwa, madawa ya binadamu yamesambazwa na kufika mpaka VIJIJINI kwa KIASI gani, huduma za maji na umeme zimewafikia mpaka ndani ndani vijijini kwa kiwango gani.

Ngoja tuwaite kina Lucas Mwashambwa , ChoiceVariable , E.t.c
Hapana, hizo habar za madawat wala sio maendeleo. Hayo ni mambo yapogo tu na rais ni aibu kuchukua credit kisa kujenga madarasa.. na sio madarasa ni majengo tu maboma.
Hata hizo zahanat ni majengo tupu tuu hakuna watumishi hakuna vifaa wala madawa

Na si wote wananufaika na madarasa hayo.

Fuel ina panda daily
Chakula daily
Mafuta ya kula na ya taa
Thaman ya $ ina shoot daily
Nauli za usafirishaji juu
Miundombinu ya barabara hoi
Huduma za matibabu juuu

Haya ni mambo yanayomuhusu kila mtanzania haijalishi masikin au tajiri, popote alipo, mjini na vijijini
 
Hatoshi kuingia tena ikulu,kuna methali inasema,

When a clown moves into a palace,she doesn't become a queen ,the palace becomes a circus..
 
CCM inabebwa na polisi pamoja na tume ya uchaguzi. Kinyume na hapo, mpaka muda huu tungekuwa tumeshaisahau.
 
Hapana, hizo habar za madawat wala sio maendeleo. Hayo ni mambo yapogo tu na rais ni aibu kuchukua credit kisa kujenga madarasa.. na sio madarasa ni majengo tu maboma.
Hata hizo zahanat ni majengo tupu tuu hakuna watumishi hakuna vifaa wala madawa

Na si wote wananufaika na madarasa hayo.

Fuel ina panda daily
Chakula daily
Mafuta ya kula na ya taa
Thaman ya $ ina shoot daily
Nauli za usafirishaji juu
Miundombinu ya barabara hoi
Huduma za matibabu juuu

Haya ni mambo yanayomuhusu kila mtanzania haijalishi masikin au tajiri, popote alipo, mjini na vijijini
Ngoja waje watujibu hizi hoja ntawauliza popote nikikutana nao Ila nacho jua watasema ni janga la dunia nzima..

Watasema vita vya urusi vs Ukraine kifupi ni majanga ya dunia nzima so it's beyond mama Samia power

Case study zipo nyingi sanaaa angalia nchi zote Kenya, senegali , Zimbabwe, congo drc, Uganda, Gabon, Cameroon, Nigeria mifano ipo mingi Sana huko kote Kuna social, economic,political unrest Kama hapa kwetu Tz
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Mama mpaka 2030
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Watampitisha au atajipitisha?
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Tungeruhusiwa kupiga kura mapema kama MAREKANI, Leo ningempigia SAMIA
 
First day tu alipo sema "Mimi ni Rais wa JMT mwenye jinsia ya kike " nika jua hamna kitu hapa
 
Mkuu,
Lazima mama Samia ashinde kwa kishindo hata kwa bao la mkono Kama la nauye.
Ukisha kua mwenyekiti wa CCM na amiri JESHI mkuu (Jemedari)
Kitatengenezwa kiini macho hii nchi tunaijua Wacha mchezo..

Je unafahamu nini maana ya Jemadari ?
Je unafahamu jinsi anavyopatikana?
 
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.

Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.

Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.

CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.

Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Alipitishwa Magu na hakikuwa ki2 sembuse Samia!
Kwa CCM wanachohitaji ni kupitisha mtu wao tu then baada ya hapo wanatoa maelekezo kwa Tume yao na vyombo vya dola imeisha hiyo
 
We bro
hakuna alichofanya ?
SGR umeijenga wewe ?
Tanzania nzima kuna mradi wa darasa ya A level umejenga wewe ?.
Vituo vya Afya vinaendelea kujengwa.
Mtandao wa umeme wa REA unaendelea kujengwa.
Form six wanasoma bure.
Mwanafunzi wa chuo wanaendelea kupata mikopo.
Watumishi wanapanda madaraja kwa wakati.
Ajira zinaendelea kutolewa tena kwa haki.
Ruzuku inaendelea kutolewa kama kawaida
Bwawa la umeme limekamilika.
Yaani mama SSH anatenda kama maraisi wengineo. Kujenga kizimkazi sio kosa maana napo ni Tanzania hata wewe ukihamia huko utanufaika na hio miundombunu.
CCM wapo jikoni kukusanya taarifa zote za miradi aliyofanya mama SSH utaipata sooon kabla ya uchaguzi.
Kumbuka anaejenga nchi sio SSH ni mwananchi. Kwa hio zalisha ili maendeleo yapatikane.
Kinachokusumbua ni mfumo dume.
Watu wengi walidhani SSH atashindwa kuendesha nchi kumbe walijidanganya nchi haiongozwi na mtu mmoja, nchi ni mfumo. Raisi akifeli basi ni mifuumo mibovu ya nchi.
Mfano anaekusanya kodi ni TRA na kuziwasilisha hazina. Hazina wanatekeleza bajeti iliopangwa na bunge.
Hebu jaribu kuwa analytical zaidi sio kulaumu tu bila data za kutosha.
Niishie hapa.
Wewe ni Masabuli
 
Back
Top Bottom