Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
😊 Nimejikuta nimeangua kicheko kwa sauti ya juu mkuu..Ulichofanya ni utetez wa maneno matupu , hujaeleza fact yoyote ku disqualify hoja ya mdau.
Eti nafanya utetezi wa maneno matupu 😇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊 Nimejikuta nimeangua kicheko kwa sauti ya juu mkuu..Ulichofanya ni utetez wa maneno matupu , hujaeleza fact yoyote ku disqualify hoja ya mdau.
Swadaktaa kabisaaa. Maneno matupu kwa maana ya ukichokisema wewe, mtu yeyote yule hata asiye great thinker anaweza fanya. Wewe ilibid uje na heavy tangible facts za kuueleza umma tukuelewe. Samia anazingua sana😊 Nimejikuta nimeangua kicheko kwa sauti ya juu mkuu..
Eti nafanya utetezi wa maneno matupu 😇
Kwaio inabidi nije na data madawati mangapi yameongezeka, ajira mpya ngapi zimetengenezwa, madawa ya binadamu yamesambazwa na kufika mpaka VIJIJINI kwa KIASI gani, huduma za maji na umeme zimewafikia mpaka ndani ndani vijijini kwa kiwango gani.Swadaktaa kabisaaa. Maneno matupu kwa maana ya ukichokisema wewe, mtu yeyote yule hata asiye great thinker anaweza fanya. Wewe ilibid uje na heavy tangible facts za kuueleza umma tukuelewe. Samia anazingua sana
Si bora wafanye makosa ili Taifa lipone?Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.
Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.
Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.
CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.
Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Hapana, hizo habar za madawat wala sio maendeleo. Hayo ni mambo yapogo tu na rais ni aibu kuchukua credit kisa kujenga madarasa.. na sio madarasa ni majengo tu maboma.Kwaio inabidi nije na data madawati mangapi yameongezeka, ajira mpya ngapi zimetengenezwa, madawa ya binadamu yamesambazwa na kufika mpaka VIJIJINI kwa KIASI gani, huduma za maji na umeme zimewafikia mpaka ndani ndani vijijini kwa kiwango gani.
Ngoja tuwaite kina Lucas Mwashambwa , ChoiceVariable , E.t.c
Ngoja waje watujibu hizi hoja ntawauliza popote nikikutana nao Ila nacho jua watasema ni janga la dunia nzima..Hapana, hizo habar za madawat wala sio maendeleo. Hayo ni mambo yapogo tu na rais ni aibu kuchukua credit kisa kujenga madarasa.. na sio madarasa ni majengo tu maboma.
Hata hizo zahanat ni majengo tupu tuu hakuna watumishi hakuna vifaa wala madawa
Na si wote wananufaika na madarasa hayo.
Fuel ina panda daily
Chakula daily
Mafuta ya kula na ya taa
Thaman ya $ ina shoot daily
Nauli za usafirishaji juu
Miundombinu ya barabara hoi
Huduma za matibabu juuu
Haya ni mambo yanayomuhusu kila mtanzania haijalishi masikin au tajiri, popote alipo, mjini na vijijini
Kwaio inabidi nije na data madawati mangapi yameongezeka, ajira mpya ngapi zimetengenezwa, madawa ya binadamu yamesambazwa na kufika mpaka VIJIJINI kwa KIASI gani, huduma za maji na umeme zimewafikia mpaka ndani ndani vijijini kwa kiwango gani.
Ngoja tuwaite kina Lucas Mwashambwa , ChoiceVariable , E.t.c
Acheni visingizio nyie Wapinzani fake ,nyie mnapinga maendeleo nani awachague afu mnasingizia kuibiwa 😁😁Wananchi ni wapiga kura Mara zote uchaguzi wetu ni rigged.
Kazi zinaongea 👇👇Itapendeza mkuu maana nimeambiwa eti NAFANYA UTETEZI WA MANENO MATUPU 😊
Ni vyema Kama data zipo ziwekwe wazi ili wajionee
Mama mpaka 2030Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.
Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.
Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.
CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.
Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Watampitisha au atajipitisha?Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.
Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.
Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.
CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.
Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Yes. 0 x 0 = 0 + 0Yani hakuna la maana
Tungeruhusiwa kupiga kura mapema kama MAREKANI, Leo ningempigia SAMIAHili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.
Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.
Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.
CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.
Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Mkuu,
Lazima mama Samia ashinde kwa kishindo hata kwa bao la mkono Kama la nauye.
Ukisha kua mwenyekiti wa CCM na amiri JESHI mkuu (Jemedari)
Kitatengenezwa kiini macho hii nchi tunaijua Wacha mchezo..
Alipitishwa Magu na hakikuwa ki2 sembuse Samia!Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu.
Tangu akalie kiti cha urais ,kwa haraka haraka hapo ulipo ukiambiwa ni kipi cha maana alichokifanya jibu ni hakuna.
Zaidi na zaidi ni kuineemesha Zanzibar kupitia mgongo wetu.
Mikopo kila kukicha cha ajabu pesa zinaelekezewa ZNZ na wanaolipa ni watanzania bara.
CCM wanachotakiwa kukifanya kama bado wanamuhitaji basi wamsimamishe kama makamo wa rais na nafasi ya kugombea urais wamchague mwengine.
Uchaguzi utakuwa mrahisi sana kwa wapinzani kama SSH atagombea kiti cha urais.
Wewe ni MasabuliWe bro
hakuna alichofanya ?
SGR umeijenga wewe ?
Tanzania nzima kuna mradi wa darasa ya A level umejenga wewe ?.
Vituo vya Afya vinaendelea kujengwa.
Mtandao wa umeme wa REA unaendelea kujengwa.
Form six wanasoma bure.
Mwanafunzi wa chuo wanaendelea kupata mikopo.
Watumishi wanapanda madaraja kwa wakati.
Ajira zinaendelea kutolewa tena kwa haki.
Ruzuku inaendelea kutolewa kama kawaida
Bwawa la umeme limekamilika.
Yaani mama SSH anatenda kama maraisi wengineo. Kujenga kizimkazi sio kosa maana napo ni Tanzania hata wewe ukihamia huko utanufaika na hio miundombunu.
CCM wapo jikoni kukusanya taarifa zote za miradi aliyofanya mama SSH utaipata sooon kabla ya uchaguzi.
Kumbuka anaejenga nchi sio SSH ni mwananchi. Kwa hio zalisha ili maendeleo yapatikane.
Kinachokusumbua ni mfumo dume.
Watu wengi walidhani SSH atashindwa kuendesha nchi kumbe walijidanganya nchi haiongozwi na mtu mmoja, nchi ni mfumo. Raisi akifeli basi ni mifuumo mibovu ya nchi.
Mfano anaekusanya kodi ni TRA na kuziwasilisha hazina. Hazina wanatekeleza bajeti iliopangwa na bunge.
Hebu jaribu kuwa analytical zaidi sio kulaumu tu bila data za kutosha.
Niishie hapa.