Mipango miovu ya Tundu Lissu yabainika. Soma barua ya inayofichua mipango hiyo

Mipango miovu ya Tundu Lissu yabainika. Soma barua ya inayofichua mipango hiyo

Jee barua za Robert Nairobi ndio zimeandikwa na intellectuals?
 
Ku google huo utopolo ni kuonyesha una chembembe za kuuamini! Ukiitazama tu hiyo barua kama ni mzoefu wa haya mambo unabaini haraka kuwa ni ya kubumba na hutapoteza tena muda wa kuhangaika nayo!
Ni kuwa makini tu na si vingine.
 
Your efforts do not make the west happy[emoji23][emoji23].
Bangi za rejareja hizi
 
Letterhead gani ambayo haina hata address! Barua muindikie Lumumba halafu mseme imetoka Norway!
 
Kuna mtu anaweza kupanga kupigwa risasi 30+? Kwa mkataba upi aliyonayo yeye na mungu?
Kwa hio lissu anamamlaka ya kuwaondoa polis kwenye lile eneo wanapoishi naibu speaker na mawaziri aisee mataga lazima yatage
 
Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.

View attachment 1547398

====

Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.

WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Narudia kwa kusema, TL hakuna mgombea pale, yule ni 100% kibaraka. IWatu wengi hawajui Tanzania ni nchi pendwa sana Mungu, atatuvusha tena katika kipindi hiki.
 
Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.

View attachment 1547398

====

Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.

WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Ndugu mjenga barua hiyo imeandikwa na mtu aliyeishia form 4 au 6 na wajinga tu ndio wanaweza kuikubali hata kutokana na kiingereza chake kibovu kabisa. CCM inabidi mwende shule mkasome zaidi bado mpo nyuma sana.
 
Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.

View attachment 1547398

====

Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.

WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Of course inajulikana Lissu anamtumikia nani.
Siyo siri, watanzania wengi wanajua, acha serikali. Fuatilia alliance ya viongozi wa dini na maneno yao.

Ujumbe wao unaonekana.
 
Eti Tundu Lisu alikaa kikao kupanga namna watskavyompiga risasi 🤣🤣🤣
Wanalumumba mnakwama wapi?
 
Mbona mnahangaika sana? sasa hapo ndio siri gani mmegundua?
Mbona hii barua ipo hata ktk maeneo mengi 🤣
 
Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.

View attachment 1547398

====

Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.

WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Hamnazo kabisaa wewe
 
Back
Top Bottom