Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
dunia siku hizi ni kijiji - wesite haipo!Source kwenye website yao ya WIW
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dunia siku hizi ni kijiji - wesite haipo!Source kwenye website yao ya WIW
Mtaumia sana Machadema! mitano tenaaa!! CCM Woyeeeeeeeeee!CCM imechoka kabisa!
Ni kuwa makini tu na si vingine.Ku google huo utopolo ni kuonyesha una chembembe za kuuamini! Ukiitazama tu hiyo barua kama ni mzoefu wa haya mambo unabaini haraka kuwa ni ya kubumba na hutapoteza tena muda wa kuhangaika nayo!
Kwanza hakuna taasisi hiyo. Ukisoma content kuna hoja ilikuwa inazimwa. Barua imeandikwa hapohapo Dar.Barua mmeandika wenyewe kama kawaida yenu.
Kwa hio lissu anamamlaka ya kuwaondoa polis kwenye lile eneo wanapoishi naibu speaker na mawaziri aisee mataga lazima yatageKuna mtu anaweza kupanga kupigwa risasi 30+? Kwa mkataba upi aliyonayo yeye na mungu?
Kwa hio lissu anamamlaka ya kuwaondoa polis kwenye lile eneo wanapoishi naibu speaker na mawaziri aisee mataga lazima yatage
Narudia kwa kusema, TL hakuna mgombea pale, yule ni 100% kibaraka. IWatu wengi hawajui Tanzania ni nchi pendwa sana Mungu, atatuvusha tena katika kipindi hiki.Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.
View attachment 1547398
====
Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.
WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Kwani anashindwa nini!!
Ndugu mjenga barua hiyo imeandikwa na mtu aliyeishia form 4 au 6 na wajinga tu ndio wanaweza kuikubali hata kutokana na kiingereza chake kibovu kabisa. CCM inabidi mwende shule mkasome zaidi bado mpo nyuma sana.Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.
View attachment 1547398
====
Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.
WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Hizi ndio propaganda za mabeberu.Huu ugoro unatofauti gani na huu? View attachment 1547410
Of course inajulikana Lissu anamtumikia nani.Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.
View attachment 1547398
====
Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.
WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.
Hamnazo kabisaa weweTundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.
View attachment 1547398
====
Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati wenye nia ovu kwa Tanzania baina ya Amsterdam, TL na baadhi ya taasisi za kimataifa za kuvuruga uchaguzi Mkuu wa 2020. Amsterdam aliwahi kufanya hivyo katika nchi za Togo (2010), Guinea (2010) na Taiwan (2018). Mwaka 2016 kituo cha habari cha Aljazeera kilitoa taarifa ya kuichunguzi kuhusu vurugu zilizochochewa na Amsterdam katika nchi hizo kwenye taarifa iliyopewa kichwa cha habari "the election parasite web" ambayo ilipigwa marufuku siku chache baada ya kuwekwa hadharani.
WIW imeenda mbali kwa kuandika kwamba kupigwa risasi TL ni mpango uliosukwa mwaka 2017 na yeye mwenyewe akishiriki. WIW inasema inao ushahidi wa TL kukutana na taasisi za Ulaya nchini Tanzania mwezi March 2017 na kupanga njama dhidi ya serikali ya JMT. WIW wanamuhakikishia rasi wa JMT kwamba yataibuka makubwa zaidi kuhusiana na njama hizo siku za karibuni.