Mipango miovu ya Tundu Lissu yabainika. Soma barua ya inayofichua mipango hiyo

PATHETIC! Shame on you.

 
 

Hiyo ni fake organization. Fake letter. Fake individual. Hakuna kitu kama "Whistleblowers Investigation Worldwide". Pia, Kiingereza kilichotumika kwenye hiyo barua kina walakini.
 
Yaani hapa ndipo mlipo bugi.
 
Mlikataa private org kufanya upelelezi leo hii mmeikubali barua hii ya mabeberu kweli ccm ni mambuzi jike ambayo hayapo katika heat period hivyo yanaogopa beberu .
 
No concrete substance is revealing in this letter. It is a letter written by grieved individuals on reasons very well known to them.
 
Before doing a due diligence research, I doubt the authenticity of this letter!.
Nime search hii organisation, it doesn't exist. Nime search huyo signatory, he doesn't exist!.

P
 
Kiingereza chenyewe cha kimanyema polepole acha ufidhuli umeandikia chumbani ukatumia letterhead ngeni pole×2 umechelewa umekuwa pole×4
 
Hivi mtu unapanga shambulio na kujeruhiwa vibaya ili ukifa nani apate faida sasa maana unacheza na mdomo wa simba hapo hiyo sio movie jamani, hapo kuna uhai huwa haurudi tena ukifa na historia inafutika
 
Kuna Mambo kadhaa ya kuangalia na kujiuliza juu ya andiko hili. Moja, Hakuna Taasisi hiyo duniani; ila ipo Network inayohusu mambo hayo. Pili, lugha iliyotumika katika barua hiyo haiakisi maudhui yaliyomo; ni lugha ya kijana wa Form Three anayeshiriki debate tuu na sio vinginevyo. Tatu, Maudhui yaliyomo na baadhi ya "Maneno msingi" ni maneno yaliyoundwa hapa hapa nchini. Inaudhi na kutia shaka sana juu ya weledi wa baadhi ya WaTanzania; simply a shame!! Nne, Hoja zilitumika ni za kitoto na zinachanganya. Kwenye mada yeyote, huwezi kuchanganya maudhui. Mfano, huwezi kuwa unaongelea utengenezaji wa gari halafu ukaweka hoja ya mpika vitumbua. Hakuna ushabihiano wenye tija. wake up my goo people of tanzania. Hitimisho: Kwa ujumla wake, maneno na aya husika ni maneno ya kila siku tuyasikiayo nchini, hivyo kumfanya msomaji aone kuwa ni barua ya kughushi. Yaani hata mtoto mdogo mwenye kupata maksi nzuri tu primary school anaweza kubaini ukweli. So, pathetic. We are indeed doomed as a country!! Wahusika jengeni hoja AGAINST uhalisia na sio kukurupuka kuleta umbea kwenye mtandao wenye weledi. Acheni siasa uchwara!!! Have a Splendid day and commenting!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…