FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Iliyoendelea ipo kibao tuu ila haiwezi kuwa ya kiupendeleo kama swali.
View: https://www.instagram.com/p/DBg2oFCt32R/?igsh=ZmNyeTVleTdvYnN6
View: https://www.instagram.com/p/DA28wZMuQi8/?igsh=MTRwdzRyamt0ZG03eQ==
Sasa kama miradi mikubwa yenye thamani kubwa imefanyika kwa wingi wilaya nyingine nje ya Chato, wao Chato walifanya kosa gani hasa hadi utamani wanyimwe hiyo miradi, ukizingatia Rais alitoka hapo?