tofauti ya JPM na JK ni kwamba JPM miradi mingi aliianzisha tu na mingi haikuvuka hata asilimia 10 ndiyo mama anahangaika nayo sahivi. Miradi aliyokamilisha ni Kijazi exchange na Mfugale flyover pengine na wa Chato Airport ambao hauna maana tena maana ulikuwa uwanja wake binafsi na yeye ameshakufa
substandard unamaanisha nini. We hakuna unalojua kuhusu ujenzi. Kikwete miradi yake ni mingi ukianzia na huo wa UDOM kujenga chuo kikuu kikubwa kuliko vyote africa mashariki na kati. Mabarabara; Kuunganisha makao makuu ya mikoa karibu yote kwa lami, aliunganisha Dodoma na Iringa, Songea na Mtwara kupitia Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Aliunganisha mikoa ya Arusha, Manyara, Singida na Dodoma. Aliunganisha Mbeya na Sumbawanga. Aliunganisha Sumbawanga na Katavi. Aliunganisha Shinyanga na Tabora kupitia Nzega. Aliunganisha Singida na Tabora kupitia Itigi na Uyui. Aliunganisha Mwanza, Geita na Kagera. Alijenga barabara ya lami kutokea Tinde(Shinyanga) kuipitia Kahama mpaka Karagwe mpakani mwa Nchi yetu na Rwanda.Kikwete alikamilisha miradi mingapi ndani miaka 10, embu itaje ukiondoa substandard chinese made udom?
Bomba la umeme linazalisha 60% ya umeme TanzaniA? wewe ni mpumbavu na rofaHabari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
substandard unamaanisha nini. We hakuna unalojua kuhusu ujenzi. Kikwete miradi yake ni mingi ukianzia na huo wa UDOM kujenga chuo kikuu kikubwa kuliko vyote africa mashariki na kati. Mabarabara; Kuunganisha makao makuu ya mikoa karibu yote kwa lami, aliunganisha Dodoma na Iringa, Songea na Mtwara kupitia Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Aliunganisha mikoa ya Arusha, Manyara, Singida na Dodoma. Aliunganisha Mbeya na Sumbawanga. Aliunganisha Sumbawanga na Katavi. Aliunganisha Shinyanga na Tabora kupitia Nzega. Aliunganisha Singida na Tabora kupitia Itigi na Uyui. Aliunganisha Mwanza, Geita na Kagera. Alijenga barabara ya lami kutokea Tinde(Shinyanga) kuipitia Kahama mpaka Karagwe mpakani mwa Nchi yetu na Rwanda.
Alijenga upya barabara kutoka Arusha-Makuyuni-Minjingu. Barabara za mipakani; Alijenga upya Barabara kutoka Arusha-Namanga. Alijenga barabara kutoka Njia panda ya Himo mpaka Tarakea. Alijenga Barabara kutoka Musoma mpaka Sirari. Alijenga barabara kutoka Tanga mpaka Horohoro. Alijenga barabara kutoka Songea mpaka Mbinga ambayo sahivi ndiyo inamaliziwa kuelekea Mbamba Bay wilaya ya Nyasa. Ongezea na wewe km ni mtanzania. Alipanua uwanja wa ndege wa JULIUS NYERERE. Kikwete ndiyo aliyejenga mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar Es Salaam. Hiyo ni baadhi ya miradi na hatukuona makeke yoyote mtu wa watu ni mnyenyekevu mpaka leo.
Kuna VICHAA watadai hata Daraja la Mwl Nyerere Kigamboni limejengwa na MagufuliHabari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Kweli una AKILI NDOGO Miradi yote imejengwa na Serikali hata Kichaa hili analijuaCha muhimu ni kwamba miradi yote imejengwa na Chama Tawala CCM
Chadema hata Visima vya Sabodo viliwashinda kwenye Halmashauri walizoziongoza
Hahahah tatizo lenu JPM alijua ni wajinga ndio maana akawageuza mtaji wake. Kumbe ulidhani Maji ndio yanazalisha umeme kuliko gesi? Basi wewe ndio mjinga huku unadhani una akili.Bomba la umeme linazalisha 60% ya umeme TanzaniA? wewe ni mpumbavu na rofa
Mbona nimetaja hao wote soma para ya mwisho....Safi sana, malizia pia hata Udom alijenga Kikwete pia, kabla ya Kikwete kulikuwa hakuna Tanzania kila kilianzia kwa Kikwete, umemponda Magufuli na kumsifu Kikwete hauna tofauti na mashabiki wa Magufuli na uko subjective zaidi lkn unasahau Kikwete alichukuwa nchi kutoka kwa Mzee Mkapa na Mzee Mkapa kwa Mzee Mwinyi na Mzee kutoka kwa Mwalimu Nyerere, lkn wewe umeanzia kwa Kikwete you are no diffrent uko hapa kuendekeza kigi za kitoto.
Next time jaribu kuwa objective badala ya kuwa subjective na emotional.
Utofauti ni kuwa ata akiwa Rais ukiangalia miradi mingi bila uwepo wake isingewezekana, nakupa mfano bwawa la Mwal Nyerere lile Yeye kama yeye kusimama ule mradi ungekufa na hakuna rais yeyeto angeweza kuja kugusa tena, hiyo meli ya mpya Mv Mwanza Hapa kazi tu ni shinikizo lake yeye, Busisi pale ni shinikizo lake, ule mradi wa ujenzi wa njia 8 ulikuwa uende mpaka Chalinze kwa mkopo wa World Bank! Ila World Bank waligoma kutoa hela badae na wakaishia kutoa fedha ya Interchange, Magufuli aliamua Kujenga kwa bajeti ya Tanzania ata kwakuanzia mpaka Kibaha alafu huko mbele tutajua inafikaje Chalinze, kufufua Shirika la ndege ni utashi wake yeye kama yeye tu ila nakukumbusha tena sio kama ndege hazina umuhimu ila sisi wenyewe ni madalali sana wa makabulu, tutashindws kuhudumia zile ndege mwisho wa siku zitauzwa kwa bei chee ata million 500 huko kwa makabulu then wao watazitumia kama alizokaacha Nyerere.Hata hiyo miradi ya wakati wa JK sifa wanampa yeye (mwendazake) ati ndo alikuwa Waziri wa Ujenzi lakini hawampi sifa Waziri wa ujenzi wa awamu yake. Naamini hata mganga aliyempa nguvu yule bwana yule naye kafia zake mbali ili asije kumtengeneza kiongozi mwingine wa mfano wake.
Hivi unajua hiyo gesi ya kikwete ndio unazalisha 60% ya umeme wote Tanzania? Lakini ingekua bwana Fulani duh tusingepumua. Punguzeni ujuaji Kila awamu imefanya miradi mingi tu tusimkuze sana mtu mmoja as if wengine hawakufanya loloteWerevu wanalazimisha kuwa wajinga zaidi pale wanapoambiwa JPM amejenga vituo vya afya nchi nzima, bwawa la JKNHP, SGR, flyover, barabara kubwa ya njia nane, meli kedekede, na mambo haya yako hadi makwao wanakoishi
Eti wanataka wawe vipofu na viziwi wasione wala kusikia alichofanya huyu mwamba!
Pumbavu sana mnaodhani ni wasomi na werevu halafu mnalazimisha kufunga masikikio na kuziba macho yenu kisa JPM kamwambia Mbowe alipe kodi blicanas akajidai eti yeye ni mpinzani atapiga kelele kwa mabeberu!
Acheni wehu basi nyinyi wasomi!
Mkifanya vema hata nyinyi tutawapongeza tuu!
Hapo ulipo huna lolote na ndiyo maana anazungumziwa JPM
Kama isingewezekana bila JPM imekuaje Sasa hao kina January na Samia tulioambiwa ni mafisadi wamemaliza bwawa na wanalijaza Maji? Au akifanya JPM pekee ndio anaweza wengine hawawezi chochote?Utofauti ni kuwa ata akiwa Rais ukiangalia miradi mingi bila uwepo wake isingewezekana, nakupa mfano bwawa la Mwal Nyerere lile Yeye kama yeye kusimama ule mradi ungekufa na hakuna rais yeyeto angeweza kuja kugusa tena, hiyo meli ya mpya Mv Mwanza Hapa kazi tu ni shinikizo lake yeye, Busisi pale ni shinikizo lake, ule mradi wa ujenzi wa njia 8 ulikuwa uende mpaka Chalinze kwa mkopo wa World Bank! Ila World Bank waligoma kutoa hela badae na wakaishia kutoa fedha ya Interchange, Magufuli aliamua Kujenga kwa bajeti ya Tanzania ata kwakuanzia mpaka Kibaha alafu huko mbele tutajua inafikaje Chalinze, kufufua Shirika la ndege ni utashi wake yeye kama yeye tu ila nakukumbusha tena sio kama ndege hazina umuhimu ila sisi wenyewe ni madalali sana wa makabulu, tutashindws kuhudumia zile ndege mwisho wa siku zitauzwa kwa bei chee ata million 500 huko kwa makabulu then wao watazitumia kama alizokaacha Nyerere.
Kingine nikukumbushe kuwa Magufuli ndiye alimshauri Mzee Mkapa kila pato la makusanyo ya mwezi itengwe bilion 2 kwaajili ya ujenzi wa barabara iwe inaenda Tanrods kuliko kusuburi wahusan ambao walikuwa wanajivutavuta.
Mfuko wa barabara uliasisiwa wakati wa JK? Acha kuongea uongo.Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Ahahahahah!Duuuh!! JPM anazidi kuwatesa baadhi ya watu ingawa alishakwenda,nafikiri uwezekano upo wa wengine kuugua uchizi kisa wivu juu yake!!
Imeisha au bado ipo mingine!Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Ndio hivyo hampendi facts mnataka kusikia mnachopenda tu.Wivu tu
Songas aliianzisha JK? Ni kweli wachina walijenga bomba la gas kutoka Mtwara kwenda Kinyerezi. JK alijenga Kinyerezi Phase 1, 150 MGW. Phase two waliojenga Toshiba, ilifuata wakati wa awamu ya tano.Hivi unajua hiyo gesi ya kikwete ndio unazalisha 60% ya umeme wote Tanzania? Lakini ingekua bwana Fulani duh tusingepumua. Punguzeni ujuaji Kila awamu imefanya miradi mingi tu tusimkuze sana mtu mmoja as if wengine hawakufanya lolote
Labda kama huna unalolijua kuhusu ilo bwawa, ila unabyomuona Samia na Janauary wanaubunifu wowote? Just be neutral! Samia anavyomuona ni mtu ambae anasumbua kichwa chake kutafuta taarifa? Kubuni vitu?Kama isingewezekana bila JPM imekuaje Sasa hao kina January na Samia tulioambiwa ni mafisadi wamemaliza bwawa na wanalijaza Maji? Au akifanya JPM pekee ndio anaweza wengine hawawezi chochote?
Uzuri umepata logic nayosema... Road fund ameleta mwingine Barabara kajenga JK..... JK kaweka Bomba JPM kajenga Kinyerezi 2!! And goes on and on. Point ni kwamba Kila Rais alifanya kwa sehemu yake na mwingine kaendeleza so kumtukuza JPM pekee nakusema waliopita hawakufanya kitu inakera sana.Mfuko wa barabara uliasisiwa wakati wa JK? Acha kuongea uongo.
How many times the efforts to ditch out the project have failed? Hakuna kitu kinachofanyika gizani kisijulikane mwangani. Mbwembwe za kubeza jina la JPM ndio linalofanya atamkwe sana kwa wema au ubaya.Kama isingewezekana bila JPM imekuaje Sasa hao kina January na Samia tulioambiwa ni mafisadi wamemaliza bwawa na wanalijaza Maji? Au akifanya JPM pekee ndio anaweza wengine hawawezi chochote?
Miaka 10 huwezi kufanya na kumaliza kila kitu. That is not possible. What we miss as a country ni continuity. Tunafanya kama vile kila awamu ni private project ya watu fulani.Uzuri umepata logic nayosema... Road fund ameleta mwingine Barabara kajenga JK..... JK kaweka Bomba JPM kajenga Kinyerezi 2!! And goes on and on. Point ni kwamba Kila Rais alifanya kwa sehemu yake na mwingine kaendeleza so kumtukuza JPM pekee nakusema waliopita hawakufanya kitu inakera sana.