Utofauti ni kuwa ata akiwa Rais ukiangalia miradi mingi bila uwepo wake isingewezekana, nakupa mfano bwawa la Mwal Nyerere lile Yeye kama yeye kusimama ule mradi ungekufa na hakuna rais yeyeto angeweza kuja kugusa tena, hiyo meli ya mpya Mv Mwanza Hapa kazi tu ni shinikizo lake yeye, Busisi pale ni shinikizo lake, ule mradi wa ujenzi wa njia 8 ulikuwa uende mpaka Chalinze kwa mkopo wa World Bank! Ila World Bank waligoma kutoa hela badae na wakaishia kutoa fedha ya Interchange, Magufuli aliamua Kujenga kwa bajeti ya Tanzania ata kwakuanzia mpaka Kibaha alafu huko mbele tutajua inafikaje Chalinze, kufufua Shirika la ndege ni utashi wake yeye kama yeye tu ila nakukumbusha tena sio kama ndege hazina umuhimu ila sisi wenyewe ni madalali sana wa makabulu, tutashindws kuhudumia zile ndege mwisho wa siku zitauzwa kwa bei chee ata million 500 huko kwa makabulu then wao watazitumia kama alizokaacha Nyerere.
Kingine nikukumbushe kuwa Magufuli ndiye alimshauri Mzee Mkapa kila pato la makusanyo ya mwezi itengwe bilion 2 kwaajili ya ujenzi wa barabara iwe inaenda Tanrods kuliko kusuburi wahusan ambao walikuwa wanajivutavuta.