Miradi ya barabara inayotekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ni kama ifuatavyo

I hope watarudia hiyo kazi.... maana nimepita December ile lami kama walipuliza wino wa Bic 😁 😁 😁 .... layer ya juu ikitoka kidogo tu, unaona dongo jekundu
Wameanza rehabilitation hasa sehemu ya Dodoma na Iringa jirani na airport pale.
 
Sio kupigwa,wali underestimate loading yake kwa sababu hiyo barabara ina malofi mazito robo tatu ni mbao,,malori ni mengi kuliko magari mengine.

Ilitakiwa ijengwe kwa asphalt Ili iwe imara zaidi .
Imejengwa kwa asphalt ila surface dressing, Labda ulimaanisha Asphalt Concrete, Lami ya premix
 
Imejengwa kwa asphalt ila surface dressing, Labda ulimaanisha Asphalt Concrete, Lami ya premix
Mambo ya kitaalam sana haya, kwahiyo ili iwe imara zaidi ya pale ilitakiwa ijengweje Mkuu. Maana mimi nikiona rangi nyeusi ile naita mkeka umenga'aa[emoji3][emoji3].
 
Hizi barabara ni kuwa wanarudia kuzijenga au! Kama wanazirudia tuna safari ndefu sana ya maendeleo
 
Zenyewe hizi barabara zinajengwaga tuuuu mbona hatuoni cha maana
Tangu ni ujenzi tuuuuu
Kufa kufaaaana kuleni kodi
Kila awamu wanakuja na mtindo kwani hakuna mengine ya kuyafanyia kazi kila siku barabara vyoo madaraja tureni mnatuchosha
 
Ikulu ya Chamwino ilijengwa na Nyerere na Chimwaga pia Nyerere
 
ila hawa viongozi huwa wanachuki sana na kamda ya ziwa.....!! yaani asilimia kubwa ya miradi yao inaelekezwa Dodoma na mikoa mingine ya kiserikali lakini kanda ya ziwa hata hawaikumbuki sijui shida nini?
 
Mambo ya kitaalam sana haya, kwahiyo ili iwe imara zaidi ya pale ilitakiwa ijengweje Mkuu. Maana mimi nikiona rangi nyeusi ile naita mkeka umenga'aa[emoji3][emoji3].
Surface dressing ni ya kiwango cha chini na bei nafuu, ila sio guarantee ya kuharibika mapema
 
Hapo sijaona Ile ya kutoka USA ujenzi wa daraja pale Maji ya Chai na daraja la kikavu pamoja na lami toka USA mpaka Holili
 
Sio hivyo but jua kabisa anatekeleza ilani ile ile ya CCM ambayo ndio ya mwendazake
Hili ndio jibu sahihi halafu anaweza kiamua kuacha hizo project mbona kuna project Magufuli alizikataa Ila mama amezirudisha na hawasemi?
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
Hata hiyo 2026, si lazima ikubalike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…