Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

Grudges , grudges, grudges.............she hold those for a loooooong time .

Ila sheria za kiislamu tamu sana kwa sababu kwenye mirathi hadi wazazi wapo pia mfano mume anaweza rithiwa na mke wake, watoto wake , wazazi wake na kuna muda hadi ndugu baadhi upande wa mume wanarithi na kwa mke vivyo hivyo.

Na kuwatunza wazazi wawili ni jukumu la lazima la mtoto as long as upo hai na kushindwa kufanya hivyo ni madhambi makubwa mno.
Utamu uko wapi sasa hapo?!
 
Huna mtoto wewe eti mpenzi mtazamaji .
....hta wewe utazeeka na unakuta umefanya effort ila pesa ulilipia ada watoto na wakipata baadae wasikuangalie wewe Uwe mpenzi mtazamaji ni wao na wake zao tu how will you feel?fucking ushauri....
Kutunza wazazi ni hisani tu, sio wajibu.
Wazazi wanatakiwa watafute pesa zao wawaachie watoto wao urithi.
 
Kw nini wazazi wake hawakutafuta pesa ??
Kobe yeye kwa nini hakuwapa ama kuwasaidia wazazi wake akiwa hai?

Mwanaume cha kwanza unachotakiwa kufanya ukifanikiwa ni ku uplift kwanza background yako kabla hujaamua kusimama mwenyewe.

How comes jamaa aliwaacha na kuwatelekez wazazi wake bila kuwainua?

Watu weusi wa ulaya wana malezi mabaya sana. Angalia Ronaldo, amepata pes acha kwanza ni nyumbani, kuinua watu wako, kuinua ndugu zako kisha unaamua kujiinua mwenyewe

Shida ilikua kwa kobe, alikua mtu wa hovyo.
 
Sasa unalaumu nn hapo?
Wazazi walikuwa na maisha yao wakamzaa kobe.
Kobe akawa na maisha yake akatengeneza familia yake, maana yake kobe akawa kizazi kingine mbele.
Sasa mzazi anahusikaje hapo zaidi ya hisani tu?
Yaani nisiipende familia yangu kwa sababu ya mzazi wangu?
Mzazi anatakiwa kuwa mpenzi mtazamaji..
Anajukumu la kupenda mkwe wake na wajukuu pia, akitimiza hilo atapendwa na familia yote na hizo offer atapata tu, kama si kwangu basi kwa mke wangu au wajukuu zake.
Eti wakamzaa Kobe [emoji23][emoji23]
 
Sikia wewe
images%20(67).jpg
 
Huu ujinga ndio sitarajii kufanya kama nitakuwa na mali nyingi.

Tunafika pahali tulipo ndugu na wazazi wakiwa wamepambana kwa jasho na damu tena kwa kuuza mali zao, tena kwa kujinyima kula na kuvaa.

Tukishapata mali na mungu akatuchukua wanabaki wanafaidi mke na watoto ambao kiuhalisia hawana mchango wowote wewe kufika hapo ulipo zaidi ya kutumia walichokukuta nacho.

Mtu kama umejaliwa mali andika mapema angalau 35% hadi 40% irudi kwa familia yako waliokutengeneza kufika hapo ulipo.
 
Huu ujinga ndio sitarajii kufanya kama nitakuwa na mali nyingi.

Tunafika pahali tulipo ndugu na wazazi wakiwa wamepambana kwa jasho na damu tena kwa kuuza mali zao, tena kwa kujinyima kula na kuvaa.

Tukishapata mali na mungu akatuchukua wanabaki wanafaidi mke na watoto ambao kiuhalisia hawana mchango wowote wewe kufika hapo ulipo zaidi ya kutumia walichokukuta nacho.

Mtu kama umejaliwa mali andika mapema angalau 35% hadi 40% irudi kwa familia yako waliokutengeneza kufika hapo ulipo.
Ni wajibu wa kisheria na maadili wazazi kulea na kutunza watoto wanaowazaa, sio wajibu wa watoto kutunza waliowazaa, ni hisani tu. Ndio maana mzazi anaweza kupelekwa mahakamani akaamriwa na mahakama kisheria kutoa matunzo ya mtoto ila mtoto hawezi kupelekwa mahakamani akaamriwa kutoa matunzo ya wazazi au ndugu.
 
Ni wajibu wa kisheria na maadili wazazi kulea na kutunza watoto wanaowazaa, sio wajibu wa watoto kutunza waliowazaa, ni hisani tu. Ndio maana mzazi anaweza kupelekwa mahakamani akaamriwa na mahakama kisheria kutoa matunzo ya mtoto ila mtoto hawezi kupelekwa mahakamani akaamriwa kutoa matunzo ya wazazi au ndugu.
Nimeshaamua hivyo, Mali zangu lazima wazazi wangu wafaidi, wao ndio walionitengeneza. Imefika hatua wanaume tunatafuta mali za kunufaisha ukweni.

Ukiondoka wanaobaki wanakenua meno na kufaidi mali zako ni mke, watoto na ndugu wa mkeo. Huu upumbavu sifanyi
 
Ni haki yako kuamua hivyo, ila usiwashangae au kuwazodoa wanaoamua tofauti na hivyo.
Nimeshaamua hivyo, Mali zangu lazima wazazi wangu wafaidi, wao ndio walionitengeneza. Imefika hatua wanaume tunatafuta mali za kunufaisha ukweni.

Ukiondoka wanaobaki wanakenua meno na kufaidi mali zako ni mke, watoto na ndugu wa mkeo. Huu upumbavu sifanyi
 
Back
Top Bottom