betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,163
- 722
Mume alifariki kitambo mirathi ikagawanywa mama akachukua chake kwa maana hiyo kiwanja kilikiwa Mali hali ya mke .Na ikumbukwe ndoa ya Kikristo kifo kinaimaliza,maana hiyo hakuwa mke wa mtu Tena baada ya kifo mumewe.Sasa ndugu wa mume Mali inawahusuje hapo.Kiwanja kilikua cha mume lakin kwa msingi huo wana haki na jasho la ndugu yao
Hapana ndoa huvunjwa na kifo huyo alikuwa single wakati kifo kinamchukuaUpande wa huyo mama wanazingua. Mke kama aliolewa na mahari ilishatolewa, baada ya kufiwa na mumewe hakuolewa maana yake ni kwamba kila kitu hapo ni halali ya ukoo wa mume.
Hao wapogoro waache ujinga.
Haijalishi kazikwa wapi. Ukweli ni kuwa alikuwa single na no longer wife wa late husband.
Ndoa imekufa sio kila mpogolo wa morogora atazikwa huko.
Mbona huyo Tarimo wa juzi kazikwa mbeya yule aliyekufa Ukraine.
Huyu mliomzika bagamoyo mbona bado mnataka na Mali za marehemu na hamjamzikq huko Moshi?
Acheni utapeli mnauwana wenywe Vibinti vidogo vikatili ..huko machame wana sura za kijangili demu ana ngeu za uso kama jambazi .
Kweli kabisa chief.Hebu wajiulize huyu mjane angeamua kuuza baada ya kifo Cha mwanae walikuwa na nguvu ya kumzuia hao ndugu wa mume.Kama hapana amini Mali za ndugu Yao mwanaume ziliisha baada ya kugawiwa mjane baada ya mwanae kufa.Ndugu wa mume wajitafakarHaijalishi kazikwa wapi. Ukweli ni kuwa alikuwa single na no longer wife wa late husband.
Kiswahili kitarafa, ni "kufa".kudanja ndiyo nini?
Hapana ndoa huvunjwa na kifo huyo alikuwa single wakati kifo kinamchukua
wewe kwa akili yako ndogo huyo mama alioa au aliolewa.?Habari wadau.
Kama mnavyojua suala la mirathi linavyotolewa macho hapa Tanzania.
Jirani kwetu kuna mama amefariki na kuacha nyumba nzuri tu na hajaacha mtoto hata mmoja.
Historia ya huyu mama ( kabila mpogoro) mwaka 1991 aliolewa kwa ndoa ya kanisani na mume wake ( kabila mchaga)
Baada ya kufunga ndoa walinunua kiwanja na mume wake na kuzaa mtoto mmoja wa kiume.
Mwaka 1994 mume wa huyu mama alifariki na kumuacha mke na mtoto mmoja wakiwa hai.
Taratibu za mirathi ya mume wake zilifanyika baada ya msiba. Mama na huyo mwanae wakapewa hiko kiwanja maeneo ya tegeta kikiwa kitupu hakijaanzwa ujenzi wowote.
Maisha yakaendelea. Mama huyu hakuolewa tena . Aliendelea kuishi na mwanae kwa kupanga nyumba ya NHC keko. Na mdogo mdogo akaanza ujenzi wa nyumba katika kiwanja walichoachiwa na mumewe.
Alijenga nyumba nzuri tu ya kisasa. Na zingine ndogo ndogo pembeni za kupangisha. Maana kiwanja kilikuwa kikubwa sana ( maana enzi wananunua tegeta ilikuwa pori ardhi haina thamani miaka ya 90 muuzaji anakuuzia bonge la kiwanja kwa bei ndogoo..)
Baada ya kumaliza ujenzi yeye na mwanae waliendelea kuishi nyumba ya NHC na kule tegeta walipojenga wakapangisha wapangaji kadhaa.
Mwaka 2015 mama alipata msiba mwingine wa kufiwa na mtoto wake huyo mmoja kwa ajali ya gari na hii ikamfanya mama kubaki peke yake bila mtoto wala mume.
Mama akaendelea kuishi mwenyewe mpaka na yeye mama alipofariki mwaka huu mwanzoni.
Mwili wa mama ulisafirishwa kwenda moshi kuzikwa walipozikwa mume wake na mwanae.
Shida imekuja kwenye nyumba zilizojengwa na huyo mama. Ukoo wa mume unasema ni mali zao. Na ukoo wa mke nao unasema ni mali zao maana zimejengwa kipindi mume wa huyo mama ameshafariki.
Wataalamu wa mirathi Kesi kama hii upande upi kati ya ukoo wa mume na ukoo wa mume una haki ya kurithi hizo mali za huyu mama.
Wazazi wa huyu mama wote wameshafariki pia.
Acha uongo weweKama wanabackgroinds za uislamu hata ukweni wanaweza pata
Ndivyo nami ninavyoaminiHio uliyoquote inaongelea uhalali wa kuzikwa ukweni na sio uhalali wa ndugu wa mume kurithi mali. Mali iliyoachwa ni ya MKE ndie aliyeiendeleza mpaka ikafikia hapo. Ndugu wa Mume wanaendeshwa na tamaa tu
Mjane/single wote hawana waume na wanaweza kuolewa tena. Jikite kwenye hoja na si kuanza kuleta dharau.Tofautisha single na mjane.
Yaani wasomi WA siku hizi hata Akili ya kuchambua mambo hamna.
1.Kuzika marehemu siyo kigezo au sababu ya kuwa na uhalali wa kisheria wa kurithi mali za marehemu uliyemzika.Sio Utapeli.
Kama MKE kazikwa upande wa mume, tafsiri yake bado ni Mali ya Ukoo wa mumewe.
Kama Ndoa ilivunjika au ilivunjwa, sio sababu ya kuzika MKE upande wa mumewe.
Hao Ndugu wa Mke ndio wanashida.
Sema ni vile Watu hawaelewi haya Mambo.
Mwanamke akishaolewa anakuwa hayupo Chini ya umiliki WA ukoo wake tena, anaenda kwenye umiliki wa ukoo WA mwanaume.
Ni vile kizazi cha sasa kimeshavurugwa
Na sahv watoto,vijana wanasikilizia urithi tuWapumbavu wengi badala ya kutafuta chako, unasubiri mtu afe uanze kulia timing mali za marehemu
Habari wadau.
Kama mnavyojua suala la mirathi linavyotolewa macho hapa Tanzania.
Jirani kwetu kuna mama amefariki na kuacha nyumba nzuri tu na hajaacha mtoto hata mmoja.
Historia ya huyu mama ( kabila mpogoro) mwaka 1991 aliolewa kwa ndoa ya kanisani na mume wake ( kabila mchaga)
Baada ya kufunga ndoa walinunua kiwanja na mume wake na kuzaa mtoto mmoja wa kiume.
Mwaka 1994 mume wa huyu mama alifariki na kumuacha mke na mtoto mmoja wakiwa hai.
Taratibu za mirathi ya mume wake zilifanyika baada ya msiba. Mama na huyo mwanae wakapewa hiko kiwanja maeneo ya tegeta kikiwa kitupu hakijaanzwa ujenzi wowote.
Maisha yakaendelea. Mama huyu hakuolewa tena . Aliendelea kuishi na mwanae kwa kupanga nyumba ya NHC keko. Na mdogo mdogo akaanza ujenzi wa nyumba katika kiwanja walichoachiwa na mumewe.
Alijenga nyumba nzuri tu ya kisasa. Na zingine ndogo ndogo pembeni za kupangisha. Maana kiwanja kilikuwa kikubwa sana ( maana enzi wananunua tegeta ilikuwa pori ardhi haina thamani miaka ya 90 muuzaji anakuuzia bonge la kiwanja kwa bei ndogoo..)
Baada ya kumaliza ujenzi yeye na mwanae waliendelea kuishi nyumba ya NHC na kule tegeta walipojenga wakapangisha wapangaji kadhaa.
Mwaka 2015 mama alipata msiba mwingine wa kufiwa na mtoto wake huyo mmoja kwa ajali ya gari na hii ikamfanya mama kubaki peke yake bila mtoto wala mume.
Mama akaendelea kuishi mwenyewe mpaka na yeye mama alipofariki mwaka huu mwanzoni.
Mwili wa mama ulisafirishwa kwenda moshi kuzikwa walipozikwa mume wake na mwanae.
Shida imekuja kwenye nyumba zilizojengwa na huyo mama. Ukoo wa mume unasema ni mali zao. Na ukoo wa mke nao unasema ni mali zao maana zimejengwa kipindi mume wa huyo mama ameshafariki.
Wataalamu wa mirathi Kesi kama hii upande upi kati ya ukoo wa mume na ukoo wa mume una haki ya kurithi hizo mali za huyu mama.
Wazazi wa huyu mama wote wameshafariki pia.
Kiwango chako cha elimu tafadhali sana??Kesi si kesi, kifo si taraka ndiyo sababu mpogoro alizikwa Moshi, mke alirithi mali za mumewe na zake hivyo upande wa mke hauna chao kwani walikwishalipwa chao(mahali).