johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #121
Kuna tofauti kati ya kufananisha na kulinganisha!Kuna watu hawana akili, na ndio hao wanakuwa mboga za matapeli kama akina Gwajima, Marehemu Mam Lwaikatare, MWINGIRA, na kadhalika. Hao wote ni wapiga dili zao binafsi, ni kundi la mashetani, huwezi wafananisha na watu wanao fanya kazi ya Mungu kwa dhati.
Hakika mkuu.Kiukweli katika madhehebu yanayozingatia muda Katholic wanaongoza,wanakwenda kwa muda sahihi,tofauti na madhehebu mengine,nimesali madhehebu tofauti tofauti nimeona jinsi gani mengine wasivyozingatia muda
Hivi nan alianzisha hili dhehebu lililojikita ulimwenguni pote au Paulo kama. Sio petroLutheran wanafanana na Anglican wale wanaoitwa Low Church mfano Dodoma.
Katoliki wanafanana na Anglican High Church mfano Tanga/Zanzibar
Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu by Masihi!Hivi nan alianzisha hili dhehebu lililojikita ulimwenguni pote au Paulo kama. Sio petro
Yohana Mbatizaji kama anavyojiita kwenye ID yakeNaona mambo ya muwamba ngozi...
DuhKwan hicho kitegauchumi Cha GwajiBoy Uno nacho Ni kanisa?
Mi najua Ni danguro ambalo Gwajiboy hujichagulia kondoo mweupe mweupe aliyenona aende kumpiga miti
Ukatoliki ni mapango wa shetani katika kulififisha Kanisa la Kristo duniani. NI WAABUDU SANAMU!Hivi nan alianzisha hili dhehebu lililojikita ulimwenguni pote au Paulo kama. Sio petro
Yesu hakuwahi kupiga kelele na kurukaruka madhabahuni kama baadhi ya matapeli wa kutumia dini wanavyofanya.Ulitaka wafanane? Umeshatofautisha huduma zao sasa unataka wafanane vipi? Au umevutiwa na kanzu na lugha ya upole? Unataka hao wengine watoe pepo kwa kubembeleza? Hata Yesu hakufanya hivyo. Ni mitazamo tu.
Nakuona mfuasi wa Ellen G White katika ubora wako [emoji23][emoji23][emoji23] Usishindane na kanisa la Kristo!Ukatoliki ni mapango wa shetani katika kulififisha Kanisa la Kristo duniani. NI WAABUDU SANAMU!
"WATU HAWA HUNIABUDU KWA MIDOMO YAO ILA MIOYO YAO IKO MBALI NAMI. NAO WANIABUDU BURE,WAKIFUNDISHA MAFUNDISHO YA WANADAMU."
Alama Kuu za kanisa TakatifuKanisa linapimwa kwa kutumia nini mkuu?
Wewe bila shaka utakua ni mpumbavu ambaye huelewi kitu.
Wewe una uwezo wa kulipima kanisa. Mwenye uwezo ni Mungu peke yake.
Hivyo hiyo kazi mwachie Mungu. Mungu ndiye anayejua ni yepi makanisa ya kweli. Yale yaliyo jengwa kwa msingi wa Yesu Kristo Mungu wetu wa kweli.
Bado sijakuelewaMzee wetu "belongs to many societies in his faith" Wakatoliki wamekwisha maliza heshima yao kwake, bado tusubiri wale wa "Paris Club" ambao ni lazima "chronologically" Mkulu wetu akapate kuwa ndiye mwana mrithi na kupewa ile pete ya maagano.
Ile zawadi ya tausi wale, wale, wale! Nje ya maagano ya mbio za mwenge wa uhuru, ni balaa tupu, ni misiba baada ya misiba. Ingawaje ni " consipiracy theory" bali yanayokwenda kutokea ni kifo rasmi ya chama tawala. Mods lirudisheni jukwaa la dini/imani ili yale yaliyokusudiwa kwa taifa hili, watumishi wa Mungu aliye hai wakapate kuyaweka hadharani.
Hahahahaha JUHA WEWE KWELIKWELIKasome biblia uimalize yote ukianza kuhubiri hutohubiri kwa kuwabembeleza watu, utahubiri kwa nguvu zote tena kwa sauti kubwa. usije ukadhani wanapenda kuhubiri vile yule ni Roho mtakatifu akisha jaa unajikuta unahubiri kwa nguvu.
Umechangia vyema sana kati ya wachangiaji wote.Lazima utakuwa Shemasi au Frateri! Hongera kwa kazi nzuri ya utume na endelea kuutangaza ukweli kusudi watu waujue.Alama Kuu za kanisa Takatifu
1) Liwe Kanisa la Kristo ambalo yeye mwenyewe Kristo alilijenga juu ya mwamba (Petro)
2) Liwe la mitume
3) Liwe linalotoa mafundisho matakatifu
4) Liwe catholic (yaani lililoeneo Duniani kote) maana Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake, nendeni Duniani kote. Kama walienda Duniani kote basi walilisimika Kanisa lake Duniani kote.
Kuna makanisa ambayo ni ya wanadamu, yameanzishwa na wanadamu, yanamilikiwa na wanadamu.
Lakini Kristo alianzisha Kanisa lake. Na kwa maneno yake alisema, 'Simon kuanzia sasa utaitwa Petro (from the greek word Petera means rock), na juu ya hiyo petera nitajenga Kanisa langu. Kwa hiyo Kanisa la Kristo, alilolianzisha Kristo alilijenga juu ya Petro. Kristo hakuanzisha makanisa bali alianzisha Kanisa. Ubinafsi uliwafanya wanadamu kujianzishia makanisa yao. Ndiyo maana leo utasikia Kanisa la Kakobe, Kanisa la Gwajima, Kanisa la mchungaji God, Kanisa la Luther, Kanisa la Motovia, n.k. Na kuna wajristo wanaenda kwenye makanisa haya ya watu binafsi! Ama kweli, ni utimilifu wa manebo yale, 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa'.
Ukweli ni kuwa wanadamu hatutakiwi kuwa na makanisa, Kristo pekee yake ndiye mwenye Kanisa, nasi tulistahili kuwa wafuasi tu wa Kanisa lake lakini siyo sisi kujianzishia makanisa yetu halafu tunajiita ni wakristo. Wakristo, ni wafuasi wa Kristo, ni waumini wa Kanisa la Kristo, siyo la Gwajima au la Kakobe au la mwingine awaye yeyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikutafute !!!??? Pole na Pole kweliImani ya makanisa ya Kikatoliki, na makanisa yote ya kiprotestanti k.v Lutheran, Anglikana, Moravian, Menonite, nk ni makanisa yanayomwabudu Mungu kwa kuishia kwenye nafsi. Nafsi ya mwanadamu imeundwa na components kuu tatu UTASHI, AKILI, na HISIA. Ibada zao zote huwa hazivuki hapa na kuingia rohoni.
Ibada zao zimekaa kiakili-akili, na kihekima-hekima tu,,. Ndio maana utakuta mtu anaitwa askofu mkuu ila hawezi kukemea viumbe vya rohoni kama mapepo/majini, ... kwa sababu roho hizi chafu hukemewa kwa namna ya rohoni.
Ninapoyasema haya sio kwamba ninamsapoti Gwajima, ila lipo Kanisa la kweli (sio Gwajima, na sio Katoliki). Ukitaka kulijua nitafute.
Jesus is Lord .