Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Hilo andiko la "juu ya mwamba huu" tafsiri yake mmepotoshwa sana.Nakuona mfuasi wa Ellen G White katika ubora wako [emoji23][emoji23][emoji23] Usishindane na kanisa la Kristo!
MT 6: 18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Asante kwa kunisahihishia lugha.Kuna tofauti kati ya kufananisha na kulinganisha!
Mkuu Biblia ipo straight haijapinda pinda! Mbona maandishi mengine mnaya'quote' kama yalivyo ila maandiko yanayoenda kinyume nanyi kama hili ndiyo mnajidai ooh sijui tafsiri imepotoshwa [emoji23][emoji23][emoji23] Basi tufanye na maandishi mengine yamepotoshwa!Hilo andiko la "juu ya mwamba huu" tafsiri yake mmepotoshwa sana.
Mwamba huu ni ufunuo aliyokuwa nao Petro kwa kumjua Yesu ya kuwa: "wewe ndiwe Kristo Mwana wa Mungu aliye hai"
Siku ukipokea wokovu utafunuliwa haya
Hueleweki na huenda huelewi. Huo siyo ufunuo bali ni maneno yaliyokuwa ya wazi ya Yesu Kristo kwa Petro. Yesu alimweka Petro kuwa kiongoxi wa kwanza wa Kanisa lake.Hilo andiko la "juu ya mwamba huu" tafsiri yake mmepotoshwa sana.
Mwamba huu ni ufunuo aliyokuwa nao Petro kwa kumjua Yesu ya kuwa: "wewe ndiwe Kristo Mwana wa Mungu aliye hai"
Siku ukipokea wokovu utafunuliwa haya
Hawa si ndio walitaka kufunga makanisa na wengine wakafunga kisa wanaogopa Corona, mpaka Rais Magufuli akawekemea,. Wewe umekwenda kuangalia mavazi tu sio 1 Samweli 16 7Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Gwajima atakuwa muubiri wa ChamaKuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Wanaboa sana kusingizoa watu mambo ya ajabu.wapiga ramli mmeanza
KIJANA WANGU UNAYE JIITA DAMU YA YESU. Hata yesu mwenyewe alisema si kila mtu aniitae bwana bwana, ataingi katika ufalme wake.Kujiita kuwa umeokoka akutakusaidia kupata wokovu. BALI NI WALE WATENDAO MPENZI YS MUNGU. Mungu anapenda nn kwa mwanadamu ?. MUNGU ANAPENDA KUABUNDIWA ( IBADA) Na ibada ni neno pana sana na inamfumo wake ambao MUNGU mwrnyewe aliuweka. Siyo mara ; maji ya upako, kitambaa, kukanyaga mafuta nk.KUOKOKA NI LAZIMA. USIPOOKOKA UTAANGAMIA KWENYE MOTO WA MILELE. SAA YA WOKOVU NI SASA.
Yesu ni Bwana.
Ni sawa na ukisikiliza hotuba ya makamu mwenyekiti wa CCM(Mangula) na ulinganishe na mihemko ya hotuba ya makamu mwenyekiti wa chama chetu (anayekuja).Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kakojoe ukalale sasaKuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kajambe ulale sasaKwan hicho kitegauchumi Cha GwajiBoy Uno nacho Ni kanisa?
Mi najua Ni danguro ambalo Gwajiboy hujichagulia kondoo mweupe mweupe aliyenona aende kumpiga miti
Kama mlivyozoea kujambishwa na mabwana zenu hapo Lumumba, mnajambishwa t@ko likitepweta kama la Bashite mnatemwa njeKajambe ulale sasa
Baba yako mwenyewe tapeli na mhuni ukibisha nakuwekea ushahidiMkuu usifananishe Maaskofu wa kweli na mhuni na tapeli Gwajiboy. Huyo kawapata wajinga wake anaendelea kuwatapeli.
Usipo mtaja Gwajiboy hipumuiGwajima ni kiongozi wa makanisa ya waroho sio makanisa ya kiroho.
Sawaa Nabii wa Uongo ,TumekuelewaaMkuu usifananishe Maaskofu wa kweli na mhuni na tapeli Gwajiboy. Huyo kawapata wajinga wake anaendelea kuwatapeli.