Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
===========Wapi alipo Misanya Bingi?
Alikuwa kati ya watangazaji mahiri ndani ya ITV na Redio One na aliongoza vipindi mbali mbali ikiwemo Kipusa akirithi mikoba ya Abdallah Majura.
Ningependa kujua alipo huyu gwiji wa tasnia ya habari mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000.
Mtangazaji Mkongwe wa Radio nchini, DR. Misanya Bingi.
Aliyepata kuwa mtangazaji mahiri wa ITV ambaye sasa ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana alitunukiwa cheti chake cha PhD na sasa anajulikana kama Dkt Misanya Bingi.
JamiiForums inakupongeza kwa hatua hiyo na kukuombea wepesi huko kwenye uprofesa unakoelekea, hasa baada ya kutetea vyema andiko lako la "Female Circumcision" kwenye thesis yako.
Ni matumaini yetu wanafunzi wako wote hapo Sociology Dept. wanafurahi.
Hongera mwayego...... When one door is closed many others are open..