Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo hii wakati mwingine huwa inaliwaza sana. Siku moja bosi wangu aliniudhi kiasi cha kutamani kumchinja. Nilipofika maeneo ya Mazense, ilipita coasta mbele yangu imeandikwa "Msamehe aliyekuudhi, ni shetani kamtuma ili ugongeshe gari lako" Nilifarijika na kuanza kuwa makini nisije goga magari ya watu.
 
Ntakusema kwa Baba
Siri yako
Waheshimu Wakongwe
Usimwambie Mtu
Watachonga sana
Panda Ukazibe
Tenga halibebi Maji
Utakula Jeuri yako
Mjini Shule
Monica Lewinsky
Ngoma ya Watoto Haikeshi
Mume wa Mama Yako ni Baba Yako
Wowowo
Vuuuuuuu!
 
Aidakishi
Posho kwa mbinde
Kwasababu kazi zinafanana ila mkubwa kwako
Mwaga mboga nimwage ugali
Mwenye dada hakoso shemeji
 

Mbuzi ni mbuzi,ubeberu ni cheo tuuu,
tonge halichagui mboga
njia ya chooni haioti majani
Hatutaki siasa za kale, siku hizi tuna wahi kubalehe
kusoma kuelewa,kukesha mbwembwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…