Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Haki zote zimehifadhiwa

A friend in need is a friend in debt

nenda kapime ukidhani kuna dawa (pikipiki)
 
nimeipenda hiyo " kumbe chips ni viazi"

 
chezea mshahara usichezee kazi,mandimu,juice ya pilipili,Tanga kwetu,sidanganyiki,inshallah,
ditopile,safari salama.
 
Usiogope haiumiz ni umbile lake,talaka ya hawara makonde,kama weupe ni mali ubuyu usingepakwa rangi,
 
Wengine wanaandika kwenye magari makubwa y amizigo"Samaki mkubwa usiogope kuuliza bei"
 

Ng'ombe hazeeki maini..!
 
...........Kamweleze, nitajieleza, ni mwelewa, atanielewa..............

..........njaa haina ubaunsa........................................................
Hii kwenye Red inaleta maana sana.imekaa vizuri
 
Mbuyu mkubwa lakin hauchongi hata stuli
 
ni kweli lakin hayakuhusu.
kwan umeulizwa?....
haya kaseme tena....
 
Heshima pesa...Ndevu Urembo!
Wachawi basi....ukimwi unatosha!
Kusoma kuelewa...kukesha kukariri
!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…