figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
nimeipenda sana namba 1,
1 Kama shida ingekuwa sumu tungekufa wengi
Kobe naye anaonewa sana ona sasa
2. kobe hapimwi homa
3..kuchinja kobe kunataka timing
wakati fulani nilikuwa tabora nikaliona basi moja linatoka urambo limeandikwa "shahidi vumbi"