Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

1. Nyuki hakumbatiwi.
2. Usinifuate Hata mimi sijui njia
3. Kalamba dume mchezo ukaisha.
4. Hakuna mwanaume tasa, tatizo ni kulenga tu.
5. Chizi kaoa
6. Mpira anao mamba, wapambe wataucheza?
7. Gusa uone
8. usilishangae baba yako analo
9. Hapa nakuachia ushuhuda tu
10. Utabaki ukisoma namba
11. Kwa nini unanifuata?
12. Chizi kakabidhiwa rungu katikati ya soko.
 
nimeipenda sana namba 1,

1 Kama shida ingekuwa sumu tungekufa wengi

Kobe naye anaonewa sana ona sasa

2. kobe hapimwi homa
3..kuchinja kobe kunataka timing

Bado ya nne..

4.Ukimtoa gamba kobe umemuua



""THE ONLY ABSOLUTE TRUTH IS THAT THERE ARE NO ABSOLUTE TRUTHS" "
 
ukiona cheupe ,cheusi kipo!


"THE ONLY ABSOLUTE TRUTH IS THAT THERE ARE NO ABSOLUTE TRUTHS"
 
Mmmmmhh!! Misemo mingine jamani! "Ukitaka kujua mbio ya Kinyonga,Choma kichaka"
 
yatimaaa adekiiiii....
kirukee cha ibweeeeeeee....
twesivukaaa mpakaa kimanyike....
 
Raha ya KIMIN mguu. Ole Wao Wafuatao Nyayo za Simba. Ikororo Lyiseka Isaa? Hata Bibi alikuwa Msichana.
 
Back
Top Bottom